Ahsantee sanaKuosha mavyombo,kufua,sijui kudekideki,,sijuimausafi gani vile aaaaah sio insue sana kwa mrembo wangu yann aote sugu za mikono bure,,mtoto mlain,,sura nzuri,,kishepu flan hiv amazing yaan nikimwona tu ndushe inasimama huyo ndio nae mtaka mm,,ajifunze zaid maujuz ya kitandani
Pesa ipo yann kumdekisha mrembo wangu,,atafanya mazoez ya kujenga fige sio manyama uzembe yaan mm nangalia uzuri tuuu mengine tutarekibishana
Ahsantee, kwa kweli sio kwamba hatujui kazi,ila uchovuu na sie tunaenda job,jmn hela tunatafta zitusaidie nini km sio kupunguza kazi km hz,Sasa huyo ni MKE au mfanyakazi wa nyumbani?Mambo ya MKEO ndiyo awe anapika na kufua ni MAMBO ya zanani sana mkuu!Mke ni mshauri wangu mkuu pia ni mtu wangu wa karibu kimwili na kiroho!
Mke wangu kupika ni weekends tu tukiwa home tena anapika chakula chetu tu!Tuache haya mambo kugeuza mke kama mfanyakazi!!Chakula cha watu wote hapa kwangu wapo wanaopika sio WIFE
This is so sweet..lakini huku mwishoni kumbe ni imaginary wife tena...
Umenikuna sanaHahaha hao ni wale wanawake mnaaoa mmekutana club...
Mpk unaoa ulikua hujui km hajui kazi...kabla hujaoa msome..mlete ghetto uone anachofanya..
By the way wako warembo ambao kazi zooteee tunajua..km unabisha njoo umuulize mme wangu....lol
Yani he's very handsome. LolWe kaka umenivutia....ngoja niishie hapa
Vijana wenzangu unapoamua kuoa mrembo, msomi na binti wa digital, lazima ukubaliane na haya;
1. Wasichana wengi sasa hawajui kupika. Wanajifanya wamechoka nitanunua msosi sana tu, tena usipokaza hata chai ataenda kununua.
2. Usishangae nguo zako kutofuliwa wiki mbili, anaweza kumuita mdogo ake anamlipa afue. Yeye anachart sio na wewe ujue ni shotizooo.
3. Kupiga deki sahau kijana mwenzangu. Aanze tu kupinda mgongo. Kama unataka usafi wa nyumba yako tafuta housegirl.
4. Jua kuwa utawahi wewe kuamka, yeye bado kalala. Amechoka kazi za ofisini za jana yake.
5. Bajet ya saloon iwepo ya kila wiki nywele na kucha.
Hahaha, kusema ukweli hata mimi najikutaga tu nafanya kazi ambazo huwa sizipendi kwasababu tu ya mazoea. Ambacho sitaki ni siku sijisikii kufanya halafu uanze kunisemasema. I'll do house chores when I want not because it's my responsibilityjamani mi nimekupenda bure ila nimezoeshwa mfumo dume ntajikuta nshajitutumua kukupikia asubuh sasa itakuwa balaa
Ndoa zilidumu kwasababu nyingi.Swali langu ni kwanini hizo ndoa za mababu unazoita za mfumo dume ndizo zilizodumu haswa na mpk leo mababu na mabibi zetu wanaishi pamoja? Unajua mikasa ya ndoa za sasa zenye lifestyle unayoisupport.
Miguu na kucha unasafisha wewe au wauza urembo!Hahaha hao ni wale wanawake mnaaoa mmekutana club...
Mpk unaoa ulikua hujui km hajui kazi...kabla hujaoa msome..mlete ghetto uone anachofanya..
By the way wako warembo ambao kazi zooteee tunajua..km unabisha njoo umuulize mme wangu....lol
Mtu kaishi kwao hadi katoka hajawahi osha hata kijiko, anamuona mama yake kila siku au weekend anavyotokwa jasho na kushindia pilika, hajawahi kumsaidia hata! Wewe mliyekutana ukubwani ndo akuonee huruma?Wanaume wengne wakitoka job anaoga na kukaa kw TV tuuu,mwanamke pia anapenda jmn
Sitetei Uzembe bt tusi expect mengi sana kwa wanawake
.mabinti nao wasiishie tu kujipamba warudi jikoni kujifunza namna ya kuaandaa chakula, kutandika vitanda na usafi wa mazingira kwa ujumla hapo watapata kufanikiwa kuwa na familia za kweli vinginevyo watakuwa wakuachik KIL
Hahahaa..lolestYani he's very handsome. Lol
Msaidizi wa nin?Mwanamke ni Msaidizi wa Mumewe,
My dear solution ni kuweka dada wa kazi wawili,hata we ukitoka mizunguko ukute nyumba iko Sawa,vinginevoo wanaume wa kiafrika mi siwezi mtegemea kwny shughul za nyumbaniMtu kaishi kwao hadi katoka hajawahi osha hata kijiko, anamuona mama yake kila siku au weekend anavyotokwa jasho na kushindia pilika, hajawahi kumsaidia hata! Wewe mliyekutana ukubwani ndo akuonee huruma?
Mimi mtu aliyelelewa kwenye mfumo dume simtaki kabisaa.