Kaka unapooa mrembo kubaliana na haya

Ahsantee sana
 
Ahsantee, kwa kweli sio kwamba hatujui kazi,ila uchovuu na sie tunaenda job,jmn hela tunatafta zitusaidie nini km sio kupunguza kazi km hz,
 
Wanaume wengne wakitoka job anaoga na kukaa kw TV tuuu,mwanamke pia anapenda jmn
Sitetei Uzembe bt tusi expect mengi sana kwa wanawake
 
Yan baadh ya wanaume hamjui kuwa toka enzi za Adam mwanamke aliumbwa kuwa MSAIDIZI wa mwanaume dat y mnasubutu kusema wanawake ni wa wavivu.Majukumu ni ya wote wawili mnasaidizana na c kwamba ni kaz ya mwanamke.
 
umeleta maada yenye nguvu sana warembo nawashauri kile wanachokisoma kwenye vitabu shuleni vinaakisi maisha yetu ya kila siku hivyo hawana budi kuyafanyia kazi kwa vitendo na si hadith tu vyakusimuliwa ndio maana wanasayansi wanafanikiwa kwa mambo mengi kutokana na kuzifanyia kazi nadharia zote na kuzifanyia majaribio mwisho wa siku wanatengeneza kifaa ambaccho kabla hakikuwepo na kuanza kutumiwa na watu... mabinti nao wasiishie tu kujipamba warudi jikoni kujifunza namna ya kuaandaa chakula, kutandika vitanda na usafi wa mazingira kwa ujumla hapo watapata kufanikiwa kuwa na familia za kweli vinginevyo watakuwa wakuachik KIL kukicha na kuwa manungaembe ya mitaani tu.. mimi ni hayo bandugu!
 
Hahaha hao ni wale wanawake mnaaoa mmekutana club...
Mpk unaoa ulikua hujui km hajui kazi...kabla hujaoa msome..mlete ghetto uone anachofanya..
By the way wako warembo ambao kazi zooteee tunajua..km unabisha njoo umuulize mme wangu....lol
Umenikuna sana
 
Ni uwoga wenu tu ambayo unawatia umaskini ibua CHOMBO kizuri hata hapo mademu wabaya wanayao yanayokera sana so tafuta tamaa ya MOYO wako
 


Hii ndo inasababisha hawa ma don touch wasiolewe,wanapenda kuwa na wanamme bomba but hawapendi majukumu ya ndoa na familia.wanaona kama mzigo vile.ndo maana pamoja na uzuri wao wananakia kuwa michepuko na single mothers.tena wanaongoza kuzaa na waume za watu(siyo wote ila asilimia kumi)
 
jamani mi nimekupenda bure ila nimezoeshwa mfumo dume ntajikuta nshajitutumua kukupikia asubuh sasa itakuwa balaa
Hahaha, kusema ukweli hata mimi najikutaga tu nafanya kazi ambazo huwa sizipendi kwasababu tu ya mazoea. Ambacho sitaki ni siku sijisikii kufanya halafu uanze kunisemasema. I'll do house chores when I want not because it's my responsibility
 
Swali langu ni kwanini hizo ndoa za mababu unazoita za mfumo dume ndizo zilizodumu haswa na mpk leo mababu na mabibi zetu wanaishi pamoja? Unajua mikasa ya ndoa za sasa zenye lifestyle unayoisupport.
Ndoa zilidumu kwasababu nyingi.

Wanawake walikuwa tegemezi. Hawamiliki kitu. Akuache akale nini?

Walifungwa kifikra kuwaona vibaya wanawake walioachana na waume zao.

Hata kutafutiwa mume walitafutiwa.

hawakuwa na uhuru wowote. Maisha yao yote ni kuishi kutunza mume na kuvumilia mateso yote.

Do you want that lifestyle back?
 
Hahaha hao ni wale wanawake mnaaoa mmekutana club...
Mpk unaoa ulikua hujui km hajui kazi...kabla hujaoa msome..mlete ghetto uone anachofanya..
By the way wako warembo ambao kazi zooteee tunajua..km unabisha njoo umuulize mme wangu....lol
Miguu na kucha unasafisha wewe au wauza urembo!
 
Wanaume wengne wakitoka job anaoga na kukaa kw TV tuuu,mwanamke pia anapenda jmn
Sitetei Uzembe bt tusi expect mengi sana kwa wanawake
Mtu kaishi kwao hadi katoka hajawahi osha hata kijiko, anamuona mama yake kila siku au weekend anavyotokwa jasho na kushindia pilika, hajawahi kumsaidia hata! Wewe mliyekutana ukubwani ndo akuonee huruma?

Mimi mtu aliyelelewa kwenye mfumo dume simtaki kabisaa.
 
.mabinti nao wasiishie tu kujipamba warudi jikoni kujifunza namna ya kuaandaa chakula, kutandika vitanda na usafi wa mazingira kwa ujumla hapo watapata kufanikiwa kuwa na familia za kweli vinginevyo watakuwa wakuachik KIL

Hata mwanaume asiyejua kutandika kitanda, kusafisha anapoishi na kujipikia ni wa kuachwa.

Ni mzigo and totally useless

Mtu mzima anapaswa kujua kujitegemea.
 
My dear solution ni kuweka dada wa kazi wawili,hata we ukitoka mizunguko ukute nyumba iko Sawa,vinginevoo wanaume wa kiafrika mi siwezi mtegemea kwny shughul za nyumbani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…