Hilo jina lisikutishe....niko cool noma...ukiniona huwez hisi ndio jina hilo linanihusu.Jina lenyewe tofali,mumeo akikuzingua si unampiga tofali la kichwa wewe
Huyo hajaoa bado ht usihangaike..ikifika wkt anataka oa .atajuaSiyo swala la kazi zote za ndani mkuu ishu ni kwamba uwe na mke ambaye ni msafi wa asili siyo kubumba owa wewe mwenye kucha za kubandika, kope za kubandika, Wigi au aliyefuga kucha alafu uwe na mtoto mdogo ndani utamkumbuka mtoa mada.
Hahaha nikutajie iliiiii.????mume wako anaitwa nani
Nini maana ya Msaidizi? Kama hata kukutengenezea chai hawezi je anakusaidia nini? Uchi tu?Sasa huyo ni MKE au mfanyakazi wa nyumbani?Mambo ya MKEO ndiyo awe anapika na kufua ni MAMBO ya zanani sana mkuu!Mke ni mshauri wangu mkuu pia ni mtu wangu wa karibu kimwili na kiroho!
Mke wangu kupika ni weekends tu tukiwa home tena anapika chakula chetu tu!Tuache haya mambo kugeuza mke kama mfanyakazi!!Chakula cha watu wote hapa kwangu wapo wanaopika sio WIFE
Hahahaa jamaniii kama ana kaka ake au mdogo ake niunganishie...mwanaume akiwa mwelewa I find him romantic...
We kaka umenivutia....ngoja niishie hapaKama unapika mwenyewe kwa kupenda is OK!Lkn kufanya kupika ni majukumu ya lazima ya mke wangu HAPANA
This is so sweet..lakini huku mwishoni kumbe ni imaginary wife tena...I'm one up on you hommie.
Me and my [imaginary] wife cook together😉.
And I can vouch to you that that is one of the most romantic things you and your better half can do.
I mean, what's more romantic than cooking dinner together at home and eat it under candlelight.....?
Marriage is a two-way street. In order for it to be successful, a lot of give-and-take is required from both husband and wife.
The synergistic effect of working together as a tag team just can't be beat.
I can't be an arrogant and domineering husband. My [imaginary] wife is my life partner. Not my maid.
U have spoken something you are experiencing recently,sio wote wapo hivyo its hast generalization fallacyVijana wenzangu unapoamua kuoa mrembo, msomi na binti wa digital, lazima ukubaliane na haya;
1. Wasichana wengi sasa hawajui kupika. Wanajifanya wamechoka nitanunua msosi sana tu, tena usipokaza hata chai ataenda kununua.
2. Usishangae nguo zako kutofuliwa wiki mbili, anaweza kumuita mdogo ake anamlipa afue. Yeye anachart sio na wewe ujue ni shotizooo.
3. Kupiga deki sahau kijana mwenzangu. Aanze tu kupinda mgongo. Kama unataka usafi wa nyumba yako tafuta housegirl.
4. Jua kuwa utawahi wewe kuamka, yeye bado kalala. Amechoka kazi za ofisini za jana yake.
5. Bajet ya saloon iwepo ya kila wiki nywele na kucha.
Pambo la ndani ndiyo liwe chafuIla labda tuseme kitu kimoja hivi unapokwenda kuoa mwanamke wa jinsi hiyo unataraji nini.
Ila mimi msimamo wangu bado upo pale pale usioe mwanamke ili awe mfanyakazi mwanamke ni pambo la ndani.
Hivi unaona tabu gani wewe ukimfulia nguo zake na ukafangia ndani hivi kuna sheria gani ambayo inaeleza kwamba mwanamke afanye kazi zote hizo.
Huyo jamaa hazimtoshi eti anapika chakula chao tuu kwa hiyo dada yeye ale kwa jirani ua alale njaa acheni hizo chakula cha familia kinaliwa na wote chenu. Ni tendo la ndoa tuu.Nini maana ya Msaidizi? Kama hata kukutengenezea chai hawezi je anakusaidia nini? Uchi tu?
Kazi namba moja ya mke ni kutengenwza familia na ushauri ndani ya ndoa!Haiwezekani umchukie mke wako sababu hapiki chakula wala hafuiNini maana ya Msaidizi? Kama hata kukutengenezea chai hawezi je anakusaidia nini? Uchi tu?
Kutengeneza familia na kutoa ushauri sio usaidizi? Kwanini asikusaidie na hilo la kupika?Kazi namba moja ya mke ni kutengenwza familia na ushauri ndani ya ndoa!Haiwezekani umchukie mke wako sababu hapiki chakula wala hafui
Ndoa za zamani sana hizi,ndoa za babu zetu
Ni usaidizi halali huo na akishindwa kutimiza haya ni halali kuachana LKN siwezi muacha mke sababu hajapika supu!Kutengeneza familia na kutoa ushauri sio usaidizi? Kwanini asikusaidie na hilo la kupika?
Kwahiyo ndoa za sasa ni bora kuliko za wakati wa mababu zetu kutokana na changes hizo?
Mkuu hilo la kuoa wake wengi ili kutunzwa achana nalo linahitaji mada yake special....Ni usaidizi halali huo na akishindwa kutimiza haya ni halali kuachana LKN siwezi muacha mke sababu hajapika supu!
Kwa mawazo yangu ndoa za zamani zilikuwa za mfumo dume mno na ni jukumu langu mm na ww kuyakataa haya mambo!Kyela mme anaoa Wanawake wengi ili wawe wanamtunza