Kaka kaka... Unatishaaa!!!! Umevuta ngapi Hizoo?

Kaka kaka... Unatishaaa!!!! Umevuta ngapi Hizoo?

Mkuu tatizo hawa jamaa ni wabishi sana
Mr Rocky ana maisha mazuri tu lakini sembe haachi sijui kwanini Erickb52 ana kampuni ya kusafirisha mizigo Afrika mashariki na kati lakini nae sembe haachi

Ngoja nipambane niwarudishe nyumbani lakini itabidi waache hii makitu ....lol!!!!!
Sembe ina raha yake....yan kununua Air Malaysia ni kitu cha sembe kilo 100 tu

BTW Mwambie Arushaone napatikana Jijini kwangu kama kawaida!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom