uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 14,683
- 20,459
nitaua bila panga wangu mumuache tenaa hee subiri.
kwani wako ni nani vile?
nitaua bila panga wangu mumuache tenaa hee subiri.
nitaua bila panga wangu mumuache tenaa hee subiri.
sweetheart, unakuja au?
Lady d keshasema she is fed up.
Arushaone alikuwa tajiri enzi zetu;
Mkuu tatizo hawa jamaa ni wabishi sana
Kitu gani hiki umesema hapa?Sweetheart, unakuja au?
Lady d keshasema she is fed up.
asa si uongee na wewe kiutu uzima?hahaha acha kuvunga!tena kwako
endelea tu😱😱😱🙁😎🙄🙄
Aisee nimekupenda bure.
Naomba tuunde team ya kuiba ze husbands of azas.:biggrin:
actuary hiri rijamaa ni ritajiri mpaka sasa, na ukipanda hayo mabasi na ukajitamburisha mwana jf huripi nauri.
cc:: kiwatengu Arushaone Lady doctor
![]()
![]()
Mambo ya Billionaire wa Arusha hayo.. Arushaone.
Ndiyo maana mabinti wakali wakali huwa wana sticky kwa jamaa yangu.
Mamndenyi, black woman na Madame B haya mambo mlimwacha nao?
kwa sasa Lady doctor anayamaintain kwa ukaribu zaidi. (tunza mali shemu)..
hapa kiwatengu nikishangaa baada yakujikuta narudishiwa nauli..
![]()
Mnisamehe kwa kuiweka picha yangu halisi...