Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,586
- 112,629
Na ile part ya "washa taaaa, washa taaaa" isiachwe
Naona unapenda Sana masuala ya kuchi kuchiNa ile part ya "washa taaaa, washa taaaa" isiachwe
Wapi nimesema kuchi kuchi, au we ndio unapenda????Naona unapenda Sana masuala ya kuchi kuchi
Hivi amepangwa shule gan huyu Paula, maan post za 4m 5 tayar zimeshatoka.Ila maisha haya daahh!Leo Paula kawa staa ndani ya DKK!!!haya kila la heri ingawa Reality show kibongobongo bado sana
khaaaaaahKanye West ni producer maarufu wa hip hop duniani, Majani ni producer maarufu wa hip hop East Africa.
Kajala ni celebrity mlimbwende East Africa mwenye scandals za picha chafu...
Na ile part ya "washa taaaa, washa taaaa" isiachwe
dea bhana lolWapi nimesema kuchi kuchi, au we ndio unapenda????
Familia ya diamond wangeweza kufanya vizuri, wana drama sanaKajala tatizo kazubaa na hana nyota.
Sana,maana tokea anasoma kumbukumbu
Yule gigy komesha.Kajala reality show hawezi kwanza anakaa kazubaa fulani hivi. Reality show inataka drama queen type ya kina gigy, fanya vituko, drama nyingi upate watazamaji.
Kina wema, Jide, Irene Uwoya walishindwa coz zao zilikuwa too boring unaangalia kitu hakina drama hata moja. Katoka chumbani kaingia seblen Yuko kwenye gari karudi nyumbani.
Kuna kuachana kwa talaka hii ni baada ya kuoana.Kanye West ni producer maarufu wa hip hop duniani, Majani ni producer maarufu wa hip hop East Africa.
Kajala ni celebrity mlimbwende East Africa mwenye scandals za picha chafu...
Kwani ni vibaya kupenda kuchi kuchi?Wapi nimesema kuchi kuchi, au we ndio unapenda????
Reality show mtaji wake sio lazima uwe na utajiri,umaarufu ndo mtaji muhimu ktk reality show. Na ata maana/definition ya reality show haihusiani na kuonyesha ukwasi bali kuburudisha/ivyo ata ukionyesha maisha ya vijijini ni sawa. Mleta mada unajichanganya kufikiri kuwa ni matajiri tu ndo wanaoruhusiwa kufanya reality show.Mtu na mama yake ndo upumbavu wao ulipoishia hapa, mxieew reality show kwa maisha yapi waliokua nayo ? Kwa pesa Zipi? , yani kipi cha ajabu sana ambacho wanacho wakafanya mamillion ya watu waache kazi zao kuwatazama? Labda wa shoot porn...
View attachment 1815417
Yes hawa wakifanya reality show wata win mnoooh.Familia ya diamond wangeweza kufanya vizuri, wana drama sana
Kajala reality show hawezi kwanza anakaa kazubaa fulani hivi. Reality show inataka drama queen type ya kina gigy, fanya vituko, drama nyingi upate watazamaji.
Kina wema, Jide, Irene Uwoya walishindwa coz zao zilikuwa too boring unaangalia kitu hakina drama hata moja. Katoka chumbani kaingia seblen Yuko kwenye gari karudi nyumbani.
Familia ya diamond wangeweza kufanya vizuri, wana drama sana