Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,651
- 68,598
Whats so special about Zari by the way, a whole of East Africa !!!. seriously !!
kama content ya kipindi ni hustles na motherhood sidhani kama anafikia hata level ya Akothee
Kama content ni controversies ama drama zinazoweza kuuza mtaani, sidhani kama anaweza kumfikia Diamond au the whole of WCB hata kwa 30%
Biashara ya content sio kuonesha upo lounge, umevaa wigi flani au unakunywa champagne na Bonang Matheba, watu wanahitaji drama vitu flani vya kuongelea hususani kwa wabongo. Sasa ukiangalia mtu kama Omotola na influence yake lakini alishindwa au Wema kwenye peak alishindwa.. Zari ataweza kusimama mwenyewe bila baby dady !!!