Dr Emma John
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 820
- 196
Mliopo Ufipa na kwingineko tupeni updates ikiwa ni pamoja na picha, na kinachoendelea hadi mwisho yale yanayojiri katika maandamano ya wanachadema ya kumsindikiza kamanda Mbowe makao makuu ya polisi.
Vile vile nipeni majibu ya hoja hii; KINA LISSU NA JOPO LAKE LA MAWAKILI, JE NI MAWAKILI WA CHAMA? kama ni mawakili wa chama, mbona hawana desturi ya kuwatetea wanachama katika kesi mbalimbali kama kinA LWAKATARE bali wanaonekana kwenye issue za VIONGOZI WA CHAMA TU? tujadili kwa ustaarabu!
Ndio maana huwa mnaishia kutukanwa.Hebu nitajie jopo la mawakili waliosimamia kesi ya Lwakatale.