Kaitwa Mbowe, wengine mnaenda kufanya nini?

Kaitwa Mbowe, wengine mnaenda kufanya nini?

wajinga na wasio na akili wataandamana kumsindikiza mbowe na wataishia nje hawataingia ndani hawataulizwa chochote wataambiwa tu kwa lugha nyepesi jamani hamjaitwa ondokeni kwakuwa hawakuitwa kutokana na ujinga na kutokuwa na akili watakataa na kupiga makelele matokeo yake watapata maji ya washawasha virungu mabomu ya machozi na kuwekwa selo na hii ndo faida ya kuwa wajinga
 
Hali ya utulivu kabisa katika ofisi za jeshi la polisi makao makuu.Waandishi wa habari wametanda.Wananchi wamejitokeza na wanajitokeza,tukiwasubiri Makamanda wapiganaji.
 
sirluta;
kesi iliishaje? Kama hajatelekezwa!



wewe mbulula sirluta Jibu swali uliloulizwa acha kutangatanga kama mtetea anayetaka kutaga yai!
 
Last edited by a moderator:
mbona magamba wamechanganyikiwa kila kona, halaf mnafikiri wananchi ni waoga kama enzi zile eeh? naishukuru cdm kwa kuwafanya watz watambue kwamba haki haiombwi bali hudaiwa na sio hisani ya watawala!
 
umeajiriwa kuwa mwangaliz ta posts na comment jf? Endelea na tally

Kabla ya kuchangia lazima usome wenzako wamesema nini, huo ndio mjadala. Sasa mtu mmoja anajaza upu.uzi kibao kwa sentesi moja moja kama doti za kanga kabatini? Au wewe nawe ni wale wale washehereshaji wa JF?
 
sirluta;
kesi iliishaje? Kama hajatelekezwa!



wewe mbulula sirluta Jibu swali uliloulizwa acha kutangatanga kama mtetea anayetaka kutaga yai!

haikuwa hoja yangu. Twende kwenye hoja.
 
Last edited by a moderator:
Mliopo Ufipa na kwingineko tupeni updates ikiwa ni pamoja na picha, na kinachoendelea hadi mwisho yale yanayojiri katika maandamano ya wanachadema ya kumsindikiza kamanda Mbowe makao makuu ya polisi.

Vile vile nipeni majibu ya hoja hii; KINA LISSU NA JOPO LAKE LA MAWAKILI, JE NI MAWAKILI WA CHAMA? kama ni mawakili wa chama, mbona hawana desturi ya kuwatetea wanachama katika kesi mbalimbali kama kinA LWAKATARE bali wanaonekana kwenye issue za VIONGOZI WA CHAMA TU? tujadili kwa ustaarabu!

wewe haupo POLISI MAKAO MAKUU
 
tennessee-williams-dramatist-the-only-thing-worse-than-a-liar-is-a.jpg
 
Si vema mtu kujitafutia matatizo bila sababu yeyote. Kuitwa kwa Mbowe makao makuu ya polisi ambao hamjaitwa mnaenda kufanya nini? Ama tuseme kauli ya Mbowe ilikuwa kauli ya Chadema na mawakili wake?
Waandamanaji wa chadema huwa wanabeba visu, nondo na bisibisi mifukoni na kwenye soksi, pia hubeba mapanga kwenye makoti makubwa ili kwenda kupambana na polisi. Hivyo siyo vita ni nini? Ni vema wanachadema kufuata utaratibu, hakuna haja ya kutumia nguvu kujitafutia matatizo. Mwacheni Mbowe aende kama alivyoitwa, kama atasema alitumwa na chadema na mawakili wake, kila mmoja ataitwa kwa wakati wake.

Kumbe na siye kajamba nani tunapoenda kituoni kumbe tunaenda kula pingu tu na hatupati haki?! Hii dunia kuwa mkubwa ni kunyonya wadogo tu...
 
Huna cha kuandika?
Unajaza page kwa kuandika upuuzi?
 
Mliopo Ufipa na kwingineko tupeni updates ikiwa ni pamoja na picha, na kinachoendelea hadi mwisho yale yanayojiri katika maandamano ya wanachadema ya kumsindikiza kamanda Mbowe makao makuu ya polisi.

Vile vile nipeni majibu ya hoja hii; KINA LISSU NA JOPO LAKE LA MAWAKILI, JE NI MAWAKILI WA CHAMA? kama ni mawakili wa chama, mbona hawana desturi ya kuwatetea wanachama katika kesi mbalimbali kama kinA LWAKATARE bali wanaonekana kwenye issue za VIONGOZI WA CHAMA TU? tujadili kwa ustaarabu!

wakili peter kibatala
 
Back
Top Bottom