Kaitwa Mbowe, wengine mnaenda kufanya nini?

Kaitwa Mbowe, wengine mnaenda kufanya nini?

sirluta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2012
Posts
6,324
Reaction score
2,494
Si vema mtu kujitafutia matatizo bila sababu yeyote. Kuitwa kwa Mbowe makao makuu ya polisi ambao hamjaitwa mnaenda kufanya nini? Ama tuseme kauli ya Mbowe ilikuwa kauli ya Chadema na mawakili wake?

Waandamanaji wa chadema huwa wanabeba visu, nondo na bisibisi mifukoni na kwenye soksi, pia hubeba mapanga kwenye makoti makubwa ili kwenda kupambana na polisi. Hivyo siyo vita ni nini? Ni vema wanachadema kufuata utaratibu, hakuna haja ya kutumia nguvu kujitafutia matatizo.

Mwacheni Mbowe aende kama alivyoitwa, kama atasema alitumwa na chadema na mawakili wake, kila mmoja ataitwa kwa wakati wake.
 
tulisha tulia kusikia stori za vitu vyenye ncha kali,lakini naona hii stori imerejea kwa kasi,ngoja nitulie pembeni kidogo nione sinema
 
Huwezi kulala nyumbani kwako haki ikakufuata huko. Haki lazima uitafute kwa gharama yeyote ile, mradi ujue ni haki ya kweli au gheresha? Kuitwa Mbowe ni sawa na wapinzani wote wameitwa!
 
Na wapigwe tu wakienda na fujo zao huko polisi
 
Si vema mtu kujitafutia matatizo bila sababu yeyote. Kuitwa kwa Mbowe makao makuu ya polisi ambao hamjaitwa mnaenda kufanya nini? Ama tuseme kauli ya Mbowe ilikuwa kauli ya Chadema na mawakili wake?

Waandamanaji wa chadema huwa wanabeba visu, nondo na bisibisi mifukoni na kwenye soksi, pia hubeba mapanga kwenye makoti makubwa ili kwenda kupambana na polisi. Hivyo siyo vita ni nini? Ni vema wanachadema kufuata utaratibu, hakuna haja ya kutumia nguvu kujitafutia matatizo.

Mwacheni Mbowe aende kama alivyoitwa, kama atasema alitumwa na chadema na mawakili wake, kila mmoja ataitwa kwa wakati wake.

Tatizo la kupenda bia za ofa unalewa mpaka asubuhi.
 
Huwezi kulala nyumbani kwako haki ikakufuata huko. Haki lazima uitafute kwa gharama yeyote ile, mradi ujue ni haki ya kweli au gheresha? Kuitwa Mbowe ni sawa na wapinzani wote wameitwa!
Mbowe ameitwa kutokana na ujinga na uchochezi anaoufanya. Nyie chadema vipi? Mbona nyote ka mataahira vile
 
Huwezi kulala nyumbani kwako haki ikakufuata huko. Haki lazima uitafute kwa gharama yeyote ile, mradi ujue ni haki ya kweli au gheresha? Kuitwa Mbowe ni sawa na wapinzani wote wameitwa!

sawa nendeni tu ili leo madaktari na manesi walio off wasitishe na wawepo kazini.
 
kwani kwenda polisi ni kujitafutia matatizo hujui polisi ndipo mahali pausalama acha uwoga wa kijinga.
 
kwani kwenda polisi ni kujitafutia matatizo hujui polisi ndipo mahali pausalama acha uwoga wa kijinga.
Tatizo akii za misukule zitawashawishi kucheza vibaya kwenye mdomo wa mamba
 
Hujui sheria......u have the right to remain silent....anything you say will be testified against you.....you have the right to call ur lawyer...... hata haya huyajui?

nenda peke yako usiende na mtoto, atalelewa na serikali maana umemzaa aje aishi maisha ya uyatima kwa kuwa una akili finyu! Utazikwa na hao chadema kama waliokwisha kuzikwa na watasahau, ila serikali italea hao watoto utakaowaacha.
 
Ameitwa mbowe lakini kumbuka mbowe ndiye aliyebeba dhamana ya kutuwakilisha hivyo hamna tatizo na sisi tukienda
 
Ameitwa mbowe lakini kumbuka mbowe ndiye aliyebeba dhamana ya kutuwakilisha hivyo hamna tatizo na sisi tukienda

kama ni mwakilishi wenu mwacheni aende atawawakilisha tu. Ninyi mnaenda kufanya nini wakati hamjaitwa? Pilipili usiyoila yakuwashia nini?
 
Back
Top Bottom