mambo ya msingi yapi unayoyajua ni yapi! we umevimbiwa ufisadi ndo ndo maana unautetea mfumo huu wa kifisadiKaongea mambo ya msingi sana. Wewe ndo umelewa
Hivi wewe mathalan polisi wanakuita utaenda mwenyewe au utaomba aliye karibu na wewe akusindikize? Uwe mkweli katika kunijibu
juzi tu rais kawafukuza wafurukutwa wa ccm pale alipotembelea kituo cha ebola pale tmkMwenyekiti wa CCM anapokuwa kwenye ziara mbalimbali za kikazi ndani ya nchi na nje ya nchi ndege nzima huwa wanajaa watu wengine ambao siyo marais na wanakuwa hawajaitwa,kazi inayokwenda kufanyika ni ya Rais.Je hao watu wanaoandamana na Rais kwenye kazi zinazo muhusu Rais huwa wanakwenda kufanya nini?.
kama NINYI NI WA KIUME, NENDENI MKAANDAMANE!
nenda peke yako usiende na mtoto, atalelewa na serikali maana umemzaa aje aishi maisha ya uyatima kwa kuwa una akili finyu! Utazikwa na hao chadema kama waliokwisha kuzikwa na watasahau, ila serikali italea hao watoto utakaowaacha.
Kikwete ni raisi wa Tz, Mbowe ni raisi wa Bilcanas according to ur comments, dnt compare them. Compare Kikwete and Kenyatta, or Kagame na siyo na Mbowe! Wee vp??
Hivi nawe pia umesom,au ni msomi wa chuo gani,maana walichofanya wanasheria kumsindikiza mbowe,hakihitaji post hii ulioituma,labda utueleze bila buku 7basaba za lumumba husomi,huandiki,hunusi,hupapasi hata hisia tu huna,nihatari maana hapo nizaidi ya ukipofu,ububu na magonjwa mengine yanayo athiri wanadamu, vijana badilikeni,
Si vema mtu kujitafutia matatizo bila sababu yeyote. Kuitwa kwa Mbowe makao makuu ya polisi ambao hamjaitwa mnaenda kufanya nini? Ama tuseme kauli ya Mbowe ilikuwa kauli ya Chadema na mawakili wake?
Waandamanaji wa chadema huwa wanabeba visu, nondo na bisibisi mifukoni na kwenye soksi, pia hubeba mapanga kwenye makoti makubwa ili kwenda kupambana na polisi. Hivyo siyo vita ni nini? Ni vema wanachadema kufuata utaratibu, hakuna haja ya kutumia nguvu kujitafutia matatizo.
Mwacheni Mbowe aende kama alivyoitwa, kama atasema alitumwa na chadema na mawakili wake, kila mmoja ataitwa kwa wakati wake.
serikali ipige marufuku matumizi ya vinywaji vizito asubuhi kama hvi
Namfananisha sana mbowe na kikwete tofauti yao makengeza.
2005 kama ulikuwapo wote walipigwa jua kwa miezi mitatu wanaoga vumbi. Tofauti yao mmoja akawa mwizi kumshinda mwingine.
Wote ni viongozi wa kitaifa wakuu wa vyama tena mmoja anaongoza chama cha viwavijeshi.
Usimfananishe Mbowe na bongo movie labda captain comba coz hata wadada wanakula wote na bongo movie.
mbowe si Vincent kigosi labda mwigulu coz wote wasanii.
Mbowe si mbowe tu coz nyuma yake kuna watu
ushauri: punguza vinywaji vizuto asubuhi!
Si vema mtu kujitafutia matatizo bila sababu yeyote. Kuitwa kwa Mbowe makao makuu ya polisi ambao hamjaitwa mnaenda kufanya nini? Ama tuseme kauli ya Mbowe ilikuwa kauli ya Chadema na mawakili wake?
Waandamanaji wa chadema huwa wanabeba visu, nondo na bisibisi mifukoni na kwenye soksi, pia hubeba mapanga kwenye makoti makubwa ili kwenda kupambana na polisi. Hivyo siyo vita ni nini? Ni vema wanachadema kufuata utaratibu, hakuna haja ya kutumia nguvu kujitafutia matatizo.
Mwacheni Mbowe aende kama alivyoitwa, kama atasema alitumwa na chadema na mawakili wake, kila mmoja ataitwa kwa wakati wake.