Kaitwa Mbowe, wengine mnaenda kufanya nini?

Kaitwa Mbowe, wengine mnaenda kufanya nini?

Hivi kweli kama mtu unakazi zako muda huu utakaa kwenda kushughulishwa na maandamano? Hii inaashiria mijitu isiyo na kazi ndio inashabikia maandamano

Maandamano yapokwaajili ya kudai haki,kama wewe ni mtawala ukiona wananchi wako wanaandamana ujue kuwa kunajambo ambalo umelifanya isivyo.
 
Si vema mtu kujitafutia matatizo bila sababu yeyote. Kuitwa kwa Mbowe makao makuu ya polisi ambao hamjaitwa mnaenda kufanya nini? Ama tuseme kauli ya Mbowe ilikuwa kauli ya Chadema na mawakili wake?

Waandamanaji wa chadema huwa wanabeba visu, nondo na bisibisi mifukoni na kwenye soksi, pia hubeba mapanga kwenye makoti makubwa ili kwenda kupambana na polisi. Hivyo siyo vita ni nini? Ni vema wanachadema kufuata utaratibu, hakuna haja ya kutumia nguvu kujitafutia matatizo.

Mwacheni Mbowe aende kama alivyoitwa, kama atasema alitumwa na chadema na mawakili wake, kila mmoja ataitwa kwa wakati wake.

unajitambua wewe so Burr kapimwe akili
 
mabuku saba yana memory za pono wao kila siku hubadili user name hawana kumbukumbu za kukumbuka password
 
Kwan nn tatizo??mbna mnas8ndikizana hata kwenye kuchukua fomu za ugombea???
 
Si vema mtu kujitafutia matatizo bila sababu yeyote. Kuitwa kwa Mbowe makao makuu ya polisi ambao hamjaitwa mnaenda kufanya nini? Ama tuseme kauli ya Mbowe ilikuwa kauli ya Chadema na mawakili wake?

Waandamanaji wa chadema huwa wanabeba visu, nondo na bisibisi mifukoni na kwenye soksi, pia hubeba mapanga kwenye makoti makubwa ili kwenda kupambana na polisi. Hivyo siyo vita ni nini? Ni vema wanachadema kufuata utaratibu, hakuna haja ya kutumia nguvu kujitafutia matatizo.

Mwacheni Mbowe aende kama alivyoitwa, kama atasema alitumwa na chadema na mawakili wake, kila mmoja ataitwa kwa wakati wake.


Mbowe sio Baba yako hata wa kusingiziwa....... anaokwenda nao sio wajomba zako wala waume zako.... Hayo masaburi yana kuwashia nini?
 
Tatizo akii za misukule zitawashawishi kucheza vibaya kwenye mdomo wa mamba

Lizaboni, wewe ndiye msukule wa ccm. Kwa taarifa yako kauli aliyoitoa Mheshimiwa Mbowe aliitoa kwa niaba ya chama. Hivyo wana CHADEMA hawana budi kumsindikiza mwenyekiti wao polisi. Upo? CHEZEA CHADEMA WEYE!
 
Ushabiki wa kisiasa hauna maana,tufanye siasa na sio kufanya siasa za matukio ili kujipatia wafuasi ni sawa na kufilisika kistratejia....
 
kama wewe ni WA KIUME KAANDAMANE!

Maandamano yamefanyika kwa Polisi kushiriki kwa nguvu zote maeneo mbalimbali nchi nzima kwa kuandamana na kufikisha ujumbe kwa wananchi ni nini CHADEMA inahitaji juu ya hili Bunge batili la Katiba linaloendelea.
 
Si vema mtu kujitafutia matatizo bila sababu yeyote. Kuitwa kwa Mbowe makao makuu ya polisi ambao hamjaitwa mnaenda kufanya nini? Ama tuseme kauli ya Mbowe ilikuwa kauli ya Chadema na mawakili wake?

Waandamanaji wa chadema huwa wanabeba visu, nondo na bisibisi mifukoni na kwenye soksi, pia hubeba mapanga kwenye makoti makubwa ili kwenda kupambana na polisi. Hivyo siyo vita ni nini? Ni vema wanachadema kufuata utaratibu, hakuna haja ya kutumia nguvu kujitafutia matatizo.

Mwacheni Mbowe aende kama alivyoitwa, kama atasema alitumwa na chadema na mawakili wake, kila mmoja ataitwa kwa wakati wake.

Na wewe unawashwa washwa kuanzisha thread inayomhusu kuitwa kwa mbowe jinsi uliguswa kuandika au kuanzisha thread ndivo hivo hivo hao wafuasi wa mbowe walivoguswa kuambatana mbowe police kwani baba yako akiitwa police na wewe ukiambatana naye ni dhambi nyambafu wewe
 
Lumumba buku7 mmezidi kufatilia mambo ya Chama chetu mnaboa sana kama vipi fanyeni yenu.
 
Na wewe unawashwa washwa kuanzisha thread inayomhusu kuitwa kwa mbowe jinsi uliguswa kuandika au kuanzisha thread ndivo hivo hivo hao wafuasi wa mbowe walivoguswa kuambatana mbowe police kwani baba yako akiitwa police na wewe ukiambatana naye ni dhambi nyambafu wewe

haya, ndo hao wamechezea kichapo hadi wengine wamepoteza sidiria!
 
Back
Top Bottom