onechromosome
JF-Expert Member
- Jul 10, 2014
- 1,243
- 780
Nasubir taarifa kwa hamu niandamane mie!
Kufikia post #14 katika thread hii umeshachangia mara 5 peke yako.Tatizo akii za misukule zitawashawishi kucheza vibaya kwenye mdomo wa mamba
umejitahidi kuwahi kupost buku 7 asubuhi asubuhi jitahidi zifikie 5
Kufikia post #14 katika thread hii umeshachangia mara 5 peke yako.
Mkuu huwezi kujenga post moja constructive ukaeleweka nini mchango wako katika mada iliyotolewa? Maana hivyo vipost vya sentensi mojamoja vimekaa kama mipasho ya kwenye kanga. Kuna watu tutaamini kuwa wenzetu mnahesabiwa post zenu kwa ajili ya vi allowance kama inavyosemwa kila siku.
jipe moyo
Through your comment i can come up with a lot of suggestions about your mental health.........i think u need to see a doctornenda peke yako usiende na mtoto, atalelewa na serikali maana umemzaa aje aishi maisha ya uyatima kwa kuwa una akili finyu! Utazikwa na hao chadema kama waliokwisha kuzikwa na watasahau, ila serikali italea hao watoto utakaowaacha.
Si vema mtu kujitafutia matatizo bila sababu yeyote. Kuitwa kwa Mbowe makao makuu ya polisi ambao hamjaitwa mnaenda kufanya nini? Ama tuseme kauli ya Mbowe ilikuwa kauli ya Chadema na mawakili wake?
Waandamanaji wa chadema huwa wanabeba visu, nondo na bisibisi mifukoni na kwenye soksi, pia hubeba mapanga kwenye makoti makubwa ili kwenda kupambana na polisi. Hivyo siyo vita ni nini? Ni vema wanachadema kufuata utaratibu, hakuna haja ya kutumia nguvu kujitafutia matatizo.
Mwacheni Mbowe aende kama alivyoitwa, kama atasema alitumwa na chadema na mawakili wake, kila mmoja ataitwa kwa wakati wake.
Si vema mtu kujitafutia matatizo bila sababu yeyote. Kuitwa kwa Mbowe makao makuu ya polisi ambao hamjaitwa mnaenda kufanya nini? Ama tuseme kauli ya Mbowe ilikuwa kauli ya Chadema na mawakili wake?
Waandamanaji wa chadema huwa wanabeba visu, nondo na bisibisi mifukoni na kwenye soksi, pia hubeba mapanga kwenye makoti makubwa ili kwenda kupambana na polisi. Hivyo siyo vita ni nini? Ni vema wanachadema kufuata utaratibu, hakuna haja ya kutumia nguvu kujitafutia matatizo.
Mwacheni Mbowe aende kama alivyoitwa, kama atasema alitumwa na chadema na mawakili wake, kila mmoja ataitwa kwa wakati wake.
Upuuzi wa siku..
Atapigwa m@m@ yako