Kaitwa Mbowe, wengine mnaenda kufanya nini?

Kaitwa Mbowe, wengine mnaenda kufanya nini?

Pumbavu!!!!mnataka mle kodi na jasho letu bila faida?????Haitawezekana!!!!Nitaandamana hata kama niko mwenyewe
 
Hivi kila atakaeitwa Police akaenda na wafuasi wake itakuwa je
 
Pumbavu!!!!mnataka mle kodi na jasho letu bila faida?????Haitawezekana!!!!Nitaandamana hata kama niko mwenyewe

unachangia shs ngapi wewe kishoia? Hizo unayoiba na kupora vichochoroni huwa zinakatwa kodi? Utaliwa tigo hadi uhame mjini!
 
Wanajitoa ufahamu Hawa....mfano akiitwa mkeo gesti nawewe utaenda??? .....ohooo utaliwaaaa kubwa...
 
Ndugu yangu utambuwe kuwa Kwenye kutoa maelezo polisi huwa kuna karatasi inayosema unaweza kujieleza mwenyewe au ukajieleza mbele ya wakili/mawakili wako kwahiyo mawakili kumsindikiza Hilo si kosa.
 
Ndugu yangu utambuwe kuwa Kwenye kutoa maelezo polisi huwa kuna karatasi inayosema unaweza kujieleza mwenyewe au ukajieleza mbele ya wakili/mawakili wako kwahiyo mawakili kumsindikiza Hilo si kosa.

mawakili wa chama wakiitwa wataenda na nani?
 
Back
Top Bottom