Kaitwa Mbowe, wengine mnaenda kufanya nini?

Kaitwa Mbowe, wengine mnaenda kufanya nini?

nchi ya amni na utulivu, polisi wanamwagwa wa nini? kwanini wanapigwa mabomu?
 
Lumumba buku7 mmezidi kufatilia mambo ya Chama chetu mnaboa sana kama vipi fanyeni yenu.

pole kwa kichapo, na wewe ulipoteza nn? Ama ndo uliyepoteza sidiria nyeusi?
 
Maandamano yamefanyika kwa Polisi kushiriki kwa nguvu zote maeneo mbalimbali nchi nzima kwa kuandamana na kufikisha ujumbe kwa wananchi ni nini CHADEMA inahitaji juu ya hili Bunge batili la Katiba linaloendelea.

ubavu wa kuzuia katiba isitoke hamna, kafanyeni mambo mengine!
 
Kichapo wamechezea, popompo kaandika maelezo ya kuchochea, hapo alipo sasahv anasikilizia maumivu! Nimesikia alipanda ndege hayupo dsm huyo dj Mbowe! Maandamano mengine ni ln?
 
ITV tunaomba ule mdahalo wa Warioba siku moja kabla ya fedha zetu kuanza kufujwa na wachumia tumbo.
Mzee Butiku,Paramagamba na wengine wote ndo kimbilio letu.
 
ITV tunaomba ule mdahalo wa Warioba siku moja kabla ya fedha zetu kuanza kufujwa na wachumia tumbo.
Mzee Butiku,Paramagamba na wengine wote ndo kimbilio letu.

unamweka mwanadamu mwenzako mbele kuliko Mungu! Jambaz wewe!
 
Maandamano yapokwaajili ya kudai haki,kama wewe ni mtawala ukiona wananchi wako wanaandamana ujue kuwa kunajambo ambalo umelifanya isivyo.

Maandamano si lazima yawe ya kudai haki,mengine ni ya fujo kama haya.kesho waiandamana MASHOGA waache tu.Uhuru na sheria.mupigwe tu.
 
Si vema mtu kujitafutia matatizo bila sababu yeyote. Kuitwa kwa Mbowe makao makuu ya polisi ambao hamjaitwa mnaenda kufanya nini? Ama tuseme kauli ya Mbowe ilikuwa kauli ya Chadema na mawakili wake?

Waandamanaji wa chadema huwa wanabeba visu, nondo na bisibisi mifukoni na kwenye soksi, pia hubeba mapanga kwenye makoti makubwa ili kwenda kupambana na polisi. Hivyo siyo vita ni nini? Ni vema wanachadema kufuata utaratibu, hakuna haja ya kutumia nguvu kujitafutia matatizo.

Mwacheni Mbowe aende kama alivyoitwa, kama atasema alitumwa na chadema na mawakili wake, kila mmoja ataitwa kwa wakati wake.

Athari za kuzaliwa hospitali kwenye sakafu katika hospital ya mwananyamala hazijifichi
 
Kweli nyani haoni Ku. ndu. le Hivi angekuwa hata tu iwe ni makamu m/kiti wa ccm aliitwa polisi, huku mkijua kuwa kuna uwezekano wa kusumbuliwa na kunyanyaswa, mngeacha kwenda? Lumumba, furaha yenu kuna siku itawaishia tu.
 
Kweli nyani haoni Ku. ndu. le Hivi angekuwa hata tu iwe ni makamu m/kiti wa ccm aliitwa polisi, huku mkijua kuwa kuna uwezekano wa kusumbuliwa na kunyanyaswa, mngeacha kwenda? Lumumba, furaha yenu kuna siku itawaishia tu.

furaha ya nn wewe m.a.t.a.ko?
 
Shida ya chadema wanajifanya wamechanganyikiwa dawa ndiyo kuwatwanga tu.
 
mbowe ni mwenyekiti wetu CDM lazma tumpe sapoti maandamano bado yapo pale pale uonevu una mwisho wake
 
Back
Top Bottom