kson m
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 6,682
- 3,066
Lost books of the bible/forgotten books of edenMkuu kitabu gani hicho?
Lost books of the bible/forgotten books of edenMkuu kitabu gani hicho?
Alimuoa dada yake. Na pia ni mojawapo ya chanzo cha ugomvi na mdogo wake abel. Ilikuwa aolewe na abel lakini kaini akawa anamtaka. Soma apocrypha kitabu cha adam, 1-6HOJA YA MSINGI
“Ikiwa Adamu na Hawa walikuwa na wana wawili, Kaini na Abeli, na baadae Seth, Je, mke wa Kaini alitoka wapi?”
Biblia ina habari za kutosha kujibu swali hilo kwa njia inayofaa, na kwenye hii mada tutajibu hili swali linalo wachanga sana watu.
MUKTASARI:
Katika Mwanzo sura ya 3 na ya 4 tunapata habari zifuatazo:
(1) Hawa alikuwa “mama ya kila mtu anayeishi.”
(2) Muda fulani ulipita kuanzia wakati Kaini alipozaliwa mpaka wakati alipotoa dhabihu ambayo ilikataliwa na Mungu.
(3) Baada ya kufukuzwa na kuwa “mwenye kutanga-tanga na mkimbizi,” Kaini alikuwa na wasiwasi kwamba huenda ‘mtu yeyote akakutana naye’ na kujaribu kumuua. [Angalia hoja hapa "Kaini anaogopa kuuwawa na watu wengine"] Hapa panaonyesha kuwa Kaini alikuwa na ndugu wengine.
(4) Mungu aliweka ishara ya kumlinda Kaini, jambo lililoonyesha kwamba ndugu au dada zake, au watu wengine wa ukoo wangejaribu kumuua. Kumbe basi Kaini alikuwa na ndugu wengine zaidi ya Abel na Seth.
(5) “Baadaye” Kaini alilala na mke wake “katika nchi ya Ukimbizi.”—Mwanzo 3:20; 4:3, 12, 14-17.
Naomba majibu tafadhari.
... sijui lengo lako ni kupotosha au nini kwa sababu Biblia imeeleza vizuri tu. Soma Mwa 5: 1 - 5;HOJA YA MSINGI
“Ikiwa Adamu na Hawa walikuwa na wana wawili, Kaini na Abeli, na baadae Seth, Je, mke wa Kaini alitoka wapi?”
Biblia ina habari za kutosha kujibu swali hilo kwa njia inayofaa, na kwenye hii mada tutajibu hili swali linalo wachanga sana watu.
MUKTASARI:
Katika Mwanzo sura ya 3 na ya 4 tunapata habari zifuatazo:
(1) Hawa alikuwa “mama ya kila mtu anayeishi.”
(2) Muda fulani ulipita kuanzia wakati Kaini alipozaliwa mpaka wakati alipotoa dhabihu ambayo ilikataliwa na Mungu.
(3) Baada ya kufukuzwa na kuwa “mwenye kutanga-tanga na mkimbizi,” Kaini alikuwa na wasiwasi kwamba huenda ‘mtu yeyote akakutana naye’ na kujaribu kumuua. [Angalia hoja hapa "Kaini anaogopa kuuwawa na watu wengine"] Hapa panaonyesha kuwa Kaini alikuwa na ndugu wengine.
(4) Mungu aliweka ishara ya kumlinda Kaini, jambo lililoonyesha kwamba ndugu au dada zake, au watu wengine wa ukoo wangejaribu kumuua. Kumbe basi Kaini alikuwa na ndugu wengine zaidi ya Abel na Seth.
(5) “Baadaye” Kaini alilala na mke wake “katika nchi ya Ukimbizi.”—Mwanzo 3:20; 4:3, 12, 14-17.
Naomba majibu tafadhari.
Hilo ndilo jibu sahihi.... sijui lengo lako ni kupotosha au nini kwa sababu Biblia imeeleza vizuri tu. Soma Mwa 5: 1 - 5;
1 Hiki ndicho kitabu cha vizazi vya Adamu. Siku ile Mungu alipoumba mtu, kwa sura ya Mungu alimfanya;
2 mwanamume na mwanamke aliwaumba, akawabariki akawaita jina lao Adamu, siku ile walipoumbwa.
3 Adamu akaishi miaka mia na thelathini, akazaa mwana kwa sura yake, kwa mfano wake, akamwita jina lake Sethi.
4 Siku za Adamu baada ya kumzaa Sethi zilikuwa miaka mia nane, akazaa wana, waume na wake.
5 Siku zote za Adamu alizoishi ni miaka mia kenda na thelathini, naye akafa.
... kumbe Adam na mkewe walikuwa na wana (wa kike na kiume) zaidi ya Kaini, Abel, na Sethi! Very clear indeed!
Unawezaje kusema Mungu alikataza ngono kwa watu wa familia moja na wakati sisi sote asili yetu ni watoto wa baba na mama mmoja? Maana yake kwa namna moja ama nyingine bado tuna oana watu kutoka asili ya baba na mama mmoja ( Adam na Hawa)Ikiwa kulikuwa na familia moja tu, Kaini alipata wapi mke wake?
Mwa. 3:20: “Adamu akamwita mke wake jina lake Hawa, kwa sababu ndiye angekuja kuwa mama ya kila mtu anayeishi.” (Kwa hiyo, wanadamu wote wangekuwa wazao wa Adamu na Hawa.)
Mwa. 5:3, 4: “Adamu akaishi miaka 130. Ndipo akazaa mwana kwa mfano wake, kwa sura yake. Akamwita jina lake Sethi. Siku za Adamu baada ya kumzaa Sethi zikawa miaka 800. Wakati uleule akazaa wana na mabinti.” (Mmoja wa wana wa Adamu alikuwa Kaini, na bila shaka mmoja wa binti za Adamu alikuja kuwa mke wa Kaini. Wakati huo, wanadamu walipokuwa wangali wana afya bora na nguvu kimwili, kama inavyoonyeshwa na urefu wa maisha yao, hapakuwa na uwezekano mkubwa wa kuwapitishia wazao wao kasoro kwa sababu ya kuoa mtu wa ukoo.
Hata hivyo, baada ya miaka 2,500 hivi ya historia ya wanadamu, wakati hali ya kimwili ya wanadamu ilipokuwa imezorota sana, Yehova aliwapa Waisraeli sheria zilizokataza ngono kati ya watu wa familia moja.)
Mwa. 4:16, 17: “Kaini akaenda zake kutoka usoni pa Yehova na kukaa katika nchi ya Ukimbizi [au, Nodi] upande wa mashariki wa Edeni. Baadaye Kaini akalala na mke wake [“akamjua mkewe,”] naye akapata mimba, akamzaa Enoko.” (Ona kwamba Kaini hakukutana na mke wake katika nchi aliyokimbilia, kana kwamba mke huyo alitoka katika familia nyingine. Badala yake, huko ndiko alipolala na mke wake ili amzalie mwana
Kabisa Mkuu..labda wasema si vizuri kuoana ndugu wa karibu...!Mimi naamini kuna kizazi ambacho hakijaandikwa kwenye biblia sababu ukisoma ya kwenye bibilia hata sasa hatutakiwi kuoana maana sisi ni damu moja
Kwahiyo tunakubaliana kimsingi kwamba, Adamu na Hawa walizaa watoto wengine wa kike na hawakua recorded sawa na utamaduni wa watu wa mashariki ya kati? Right!?Kaini alimwoa dada yake ambae walizaliwa wote(pacha) na mdogo wake Seth akamwoa pacha wa marehemu Abel. Kwa Taarifa ni kwamba Adam alipata watoto watano tu. Wavulana watatu na wasichana wawili. Baada ya Abel kuuawa wakabaki wanne. Kutoka hao wanne ndipo dunia ikajazwa.
Ndugu hizi informations umezitoa wapi?Kaini alimwoa dada yake ambae walizaliwa wote(pacha) na mdogo wake Seth akamwoa pacha wa marehemu Abel. Kwa Taarifa ni kwamba Adam alipata watoto watano tu. Wavulana watatu na wasichana wawili. Baada ya Abel kuuawa wakabaki wanne. Kutoka hao wanne ndipo dunia ikajazwa.
Kwa Mungu lolote lawezekana Kwa ajili ya kusudi lake !Haiwezekani tu watoto wawili, walikuwa na dada yao, na Mungu alihalalisha kaka kuzaa na dada yake.
Lost books of the bible!Ndugu hizi informations umezitoa wapi?
Ukisoma vizuri kitabu cha mwanzo kimeeleza kuwa Adamu na Eva walipata watoto wakike na kiume., Japo maelezo zaidi ya hao wa kike hayakutolewa hapo.Kwahiyo tunakubaliana kimsingi kwamba, Adamu na Hawa walizaa watoto wengine wa kike na hawakua recorded sawa na utamaduni wa watu wa mashariki ya kati? Right!?
Kwa hiyo mpaka sasa bado tunaoana ndugu kwa ndugu?Ndio kwa sababu mimi ni mtoto wa ADAM.
binadamu ni neno la kiarabu.
BIN-ADAM
YAANI MTOTO WA ADAM.
Kwa hyo kila binadamu ni mtoto wa adam.
Napata taabu kuamini hili. Maana siku Moja kwa Mungu, ni miaka elfu kwetu huku.Ndio
Ndio maana hadi leo
Hatuzidishi kuishi zaidi ya miaka 120
Ukivuka hapo huwi Binadamu tena bali Kiumbe tu.
Kutokana na tamko la Mwanzo 6:3
Na kuna watu ni watalaam wa kuongea nayo. Si wayaulize, ?Swali:- Wakati Yesu yupo duniani anatoa pepo/majini wachafu, kuna wakati pepo walikuwa wanatamka "Tuna nini nawe mwana wa Mungu?"
Inawezekana Majini/mapepo yameishi hapa duniani kwa miaka mingi sana, sasa kwanini binadamu wasitumie hayo majini kujua ukweli wa dunia hii?
Nasikia kuna watu wanafuga majini basi wafanye hizo tafiti.
Naomba nikanushe swali langu ni kupata jibu na sio kupotosha... sijui lengo lako ni kupotosha au nini kwa sababu Biblia imeeleza vizuri tu. Soma Mwa 5: 1 - 5;
1 Hiki ndicho kitabu cha vizazi vya Adamu. Siku ile Mungu alipoumba mtu, kwa sura ya Mungu alimfanya;
2 mwanamume na mwanamke aliwaumba, akawabariki akawaita jina lao Adamu, siku ile walipoumbwa.
3 Adamu akaishi miaka mia na thelathini, akazaa mwana kwa sura yake, kwa mfano wake, akamwita jina lake Sethi.
4 Siku za Adamu baada ya kumzaa Sethi zilikuwa miaka mia nane, akazaa wana, waume na wake.
5 Siku zote za Adamu alizoishi ni miaka mia kenda na thelathini, naye akafa.
... kumbe Adam na mkewe walikuwa na wana (wa kike na kiume) zaidi ya Kaini, Abel, na Sethi! Very clear indeed!
senseSawa