Kaini alipata wapi mke wake?

Na kitabu cha Ufunuo ni hadithi tu?
Biblia imetokana na Torat (Biblia la Wayahudi ama Agano la kale), na Torat nayo imetokana na imani za Kemet (Misri) ambazo ni imani za Kiafrika. Wayahudi wakatunga Torat kufuatia taratibu zetu na kuweka kanuni zao, yaani walijiboreshea wenyewe Biblia lao. So ukiondoa imani za Kiafrika, hizi dini zote za Abrahanica ni za uzushi tu. You can never get ukweli from reading hivyo vitabu ila soma historia ya Ulaya kabla ya dini hazijatungwa na Warumi, Wayahudi, Waarab...utacheka, yaani ni usanii mtupu.
 
Biblia imetokana na Torat (Biblia la Wayahudi ama Agano la kale), na Torat nayo imetokana na imani za Kemet (Misri) ambazo ni imani za Kiafrika. Wayahudi wakatunga Torat kufuatia taratibu zetu na kuweka kanuni zao, yaani walijiboreshea wenyewe Biblia lao. So ukiondoa imani za Kiafrika, hizi dini zote za Abrahanica ni za uzushi tu. You can never get ukweli from reading hivyo vitabu ila soma historia ya Ulaya kabla ya dini hazijatungwa na Warumi, Wayahudi, Waarab...utacheka, yaani ni usanii mtupu.
Hahaha
 
Nahisi Ni kwa sababu biblia inataja vizazi vya watu kwa kupitia watoto wa kiume mfano Ni :Adam kumzaa kain,Abel na Seth so hii haimaanishi kuwa hao waliotajwa ndio peke yao tu walizaliwa na ADAM NA HAWA ukute Kain hata hakuwa wakwanza kuzaliwa kwa Hawa Bali waeza kuta walizaliwa wa kike wengi alafu yeye Ndo akafatia na kwa kuwa biblia kuhesabu watu ilikuwa inahesabu wanaume tu peke yao labda ndio maana
lakin mkuu mbona biblia iyo iyo imemtaja "Hawa"?? ilhali ni mwanamke??

mbona kuna sehem nyingi tu wanawake wametajwa tena kwenye agano la kale.
 
HOJA YA MSINGI

“Ikiwa Adamu na Hawa walikuwa na wana wawili, Kaini na Abeli, na baadae Seth, Je, mke wa Kaini alitoka wapi?”
Biblia ina habari za kutosha kujibu swali hilo kwa njia inayofaa, na kwenye hii mada tutajibu hili swali linalo wachanga sana watu.
MUKTASARI:
Katika Mwanzo sura ya 3 na ya 4 tunapata habari zifuatazo:

(1) Hawa alikuwa “mama ya kila mtu anayeishi.”

(2) Muda fulani ulipita kuanzia wakati Kaini alipozaliwa mpaka wakati alipotoa dhabihu ambayo ilikataliwa na Mungu.

(3) Baada ya kufukuzwa na kuwa “mwenye kutanga-tanga na mkimbizi,” Kaini alikuwa na wasiwasi kwamba huenda ‘mtu yeyote akakutana naye’ na kujaribu kumuua. [Angalia hoja hapa "Kaini anaogopa kuuwawa na watu wengine"] Hapa panaonyesha kuwa Kaini alikuwa na ndugu wengine.

(4) Mungu aliweka ishara ya kumlinda Kaini, jambo lililoonyesha kwamba ndugu au dada zake, au watu wengine wa ukoo wangejaribu kumuua. Kumbe basi Kaini alikuwa na ndugu wengine zaidi ya Abel na Seth.

(5) “Baadaye” Kaini alilala na mke wake “katika nchi ya Ukimbizi.”—Mwanzo 3:20; 4:3, 12, 14-17.

Naomba majibu tafadhari.
natamani kuandika somo moja refu hapa ili watu wanielewe ila muda ndiyo sina.

Ila kwa ufupi ni kwamba kaini alimwoa dada yake ambae walikuwa pacha nae.
kaini na habili wote wawili, kila mmoja alizaliwa na pacha wake wa kike (ingawa biblia haijamsema hata mtoto mmoja wa kike wa adam) ila walikuwepo).
 
kuna vitabu vingi sana vya kiimani nje na biblia, na vitabu hivyo havijaandikwa kwa ajili ya kuipotosha biblia bali huwa ni kwa ajili ya kuongeza maarifa ya kiimani na pia kuitafsiri biblia katika lugha rahisi zaidi (nafikiri unajua biblia imetumia lugha ya mficho sana) kwa hiyo vitabu hivi vya kiimani (ambavyo si biblia halisi) hujaribu kuelezea mafumbo hayo katika lugha rahisi.
 
kuna vitabu vingi sana vya kiimani nje na biblia, na vitabu hivyo havijaandikwa kwa ajili ya kuipotosha biblia bali huwa ni kwa ajili ya kuongeza maarifa ya kiimani na pia kuitafsiri biblia katika lugha rahisi zaidi (nafikiri unajua biblia imetumia lugha ya mficho sana) kwa hiyo vitabu hivi vya kiimani (ambavyo si biblia halisi) hujaribu kuelezea mafumbo hayo katika lugha rahisi.
Sawa
 
Nilishwahi uliza swali hili kwa mchungaji wangu mmoja na alinipa majibu haya.

1. Biblia tunayotumia haina rekodi ya kila kitu kilichotokea mwanzo, yaani siyo vyote viliandikwa na inasemekana kuna biblia ambayo ina record ya yote yaliyotokea mwanzo ( binafsi sijawahi kuiona ).

2. Matukio ya kwenye Bible yalikuwa yanaandikwa baada ya kupita muda fulani, yaani utaratibu wa kukusanya mistari ilikuwa ikifanyika ambapo kuna mistari ilibeba rekodi za miaka kadhaa mpaka mstari mwingine kutokea.

Kwa mfano hilo la Kaini, haijulikani ni baada ya miaka mingapi tukio hilo lilitokea na ndani ya huo muda Je, Adam na Hawa hawakufanikiwa kupata watoto wengine ? Ambao nao walitapakaa maeneo tofautitofauti.

3. Kupitia sababu hiyo ya pili ndipo hapo Kaini alipata mke ambaye inaonekana alikuwa ndugu yake either wa damu au alikuwa ndugu yake na ndugu zake wa damu.

Nilimuuliza mchungaji, kwanini sasa kwasasa mtu kumuoa dada yake au ndugu yake ni dhambi ilihali hapo zamani Kaini aliweza kufanya hivyo??

Alinipa jibu hili:

Kwa kipindi kile Mungu aliruhusu iwe hivyo ili watu waendelee kuzaliana na kuijaza dunia hivyo haikuwa dhambi tofauti na inavyotafsirika leo.

Baada ya kunipa ufafanuzi huo nilikuwa na maswali mengi sana ila nilimuaga mchungaji ili nisijeibua maswali yasiyokuwa na majibu
Sasa hapo Mungu alikwepa nini maana Kama aliruhusu toka wakati huo ndugu wanjunjane it means hata uzao uliotoka ulikuwa wa kindugundugu na mpk leo bado tunakulana kindugu tu maana ukifatilia kwenye Bible hakuna binadamu ambae hakutoka kwa Adam na Eva!.. haya Mambo ni Kama mbwai iwe mbwai tu..🤣
 
Nilishwahi uliza swali hili kwa mchungaji wangu mmoja na alinipa majibu haya.

1. Biblia tunayotumia haina rekodi ya kila kitu kilichotokea mwanzo, yaani siyo vyote viliandikwa na inasemekana kuna biblia ambayo ina record ya yote yaliyotokea mwanzo ( binafsi sijawahi kuiona ).

2. Matukio ya kwenye Bible yalikuwa yanaandikwa baada ya kupita muda fulani, yaani utaratibu wa kukusanya mistari ilikuwa ikifanyika ambapo kuna mistari ilibeba rekodi za miaka kadhaa mpaka mstari mwingine kutokea.

Kwa mfano hilo la Kaini, haijulikani ni baada ya miaka mingapi tukio hilo lilitokea na ndani ya huo muda Je, Adam na Hawa hawakufanikiwa kupata watoto wengine ? Ambao nao walitapakaa maeneo tofautitofauti.

3. Kupitia sababu hiyo ya pili ndipo hapo Kaini alipata mke ambaye inaonekana alikuwa ndugu yake either wa damu au alikuwa ndugu yake na ndugu zake wa damu.

Nilimuuliza mchungaji, kwanini sasa kwasasa mtu kumuoa dada yake au ndugu yake ni dhambi ilihali hapo zamani Kaini aliweza kufanya hivyo??

Alinipa jibu hili:

Kwa kipindi kile Mungu aliruhusu iwe hivyo ili watu waendelee kuzaliana na kuijaza dunia hivyo haikuwa dhambi tofauti na inavyotafsirika leo.

Baada ya kunipa ufafanuzi huo nilikuwa na maswali mengi sana ila nilimuaga mchungaji ili nisijeibua maswali yasiyokuwa na majibu
Huyo mchungaji anazingua..naye amekaririshwa tu
 
Kuna watu wamejitahidi kujibu ila bado majibu hayajitoshelezi,kwa sababu;
Hata kama Kain alioa moja ya watoto wa Adam ila tuambiwe yupi?.
Pili Kain alienda mbali alikooa huko huko
Labda mniambie watoto wa kike walikuwa wengi sana wakati watoto wapo wawili tu wa kiume i.e Abe na Kai kwa wakati huo
 
Nahisi Ni kwa sababu biblia inataja vizazi vya watu kwa kupitia watoto wa kiume mfano Ni :Adam kumzaa kain,Abel na Seth so hii haimaanishi kuwa hao waliotajwa ndio peke yao tu walizaliwa na ADAM NA HAWA ukute Kain hata hakuwa wakwanza kuzaliwa kwa Hawa Bali waeza kuta walizaliwa wa kike wengi alafu yeye Ndo akafatia na kwa kuwa biblia kuhesabu watu ilikuwa inahesabu wanaume tu peke yao labda ndio maana
Hawa alikuwa mwanaume
 
Kuna watu wamejitahidi kujibu ila bado majibu hayajitoshelezi,kwa sababu;
Hata kama Kain alioa moja ya watoto wa Adam ila tuambiwe yupi?.
Pili Kain alienda mbali alikooa huko huko
Labda mniambie watoto wa kike walikuwa wengi sana wakati watoto wapo wawili tu wa kiume i.e Abe na Kai kwa wakati huo
Ustusumbue humu...Cain alikuwa ni mtoto wa shetani palee Hawa alipoliwa tunda la katikati ya Bustani je unapajua alipoliwa??...basi ndo alipoliwa hapo... tunda safi na tamu ........ hapo ikamea Mimba ya Cain ndo maana alikuwa Muuaji Bila kujali km Babaye!......



CAIN ALIWOWA WAPI... SI KWAO!!;

Mkuu wa Ulimwengu alikuwa tayari yumo humu ulimwenguni na watoto wake pia wengi tu walikuwepo, ambao hao hawakuwa wakiishi bustanini ....so cain alitoka Bustanini kuelekea Mashariki ya kaskazini, akawowa hao wana wa Mkuu wa ulimwengu ndo hao hao!! walio muua Yesu!

ndo hao hao! watakao sababisha vita ya Almagedon! NWO, Alama ya mnyama ndo hao hao! na hii 666, ndo hao hao waliotabiriwa na king James kuwa Tawala zenye nguvu Duniani zitatokea kaskazini, ndo hao hao!! walio jitokeza kwa ndoto ya Nabii Daniel nk!

kumbuka Nefilim walikuwepo kabla na baada ya gharika......mpaka leo hii wapo je unawajua??......nakupa home work!
 
Ustusumbue humu...Cain alikuwa ni mtoto wa shetani palee Hawa alipoliwa tunda la katikati ya Bustani je unapajua alipoliwa??...basi ndo alipoliwa hapo... tunda safi na tamu ........ hapo ikamea Mimba ya Cain ndo maana alikuwa Muuaji Bila kujali km Babaye!......



CAIN ALIWOWA WAPI... SI KWAO!!;

Mkuu wa Ulimwengu alikuwa tayari yumo humu ulimwenguni na watoto wake pia wengi tu walikuwepo, ambao hao hawakuwa wakiishi bustanini ....so cain alitoka Bustanini kuelekea Mashariki ya kaskazini, akawowa hao wana wa Mkuu wa ulimwengu ndo hao hao!! walio muua Yesu!

ndo hao hao! watakao sababisha vita ya Almagedon! NWO, Alama ya mnyama ndo hao hao! na hii 666, ndo hao hao waliotabiriwa na king James kuwa Tawala zenye nguvu Duniani zitatokea kaskazini, ndo hao hao!! walio jitokeza kwa ndoto ya Nabii Daniel nk!

kumbuka Nefilim walikuwepo kabla na baada ya gharika......mpaka leo hii wapo je unawajua??......nakupa home work!
Daah..! Mbona naona ka inaukweli...!!
 
Adamu aliishi miaka 900 na ushee. Katika muda huo alizaa watoto kibao. Familia ya Yakobo ilikaa Misri miaka 400 na wakatoka watu 2m.

Sasa fikiria Kaini labda alioa miaka 500 baada ya kumuua ndugu yake, si alikuta dunia imejaa vitukuu na vituu vya Adamu. Vingine ni vidangaji havijali kuwa wewe ni Kaini au umevipita miaka 460.
Hata kukua ilikua hivohivo, unakuta kitoto kama cha drs. la kwanza kina miaka 400. So hoja yako inakuwa ngumu kumeza ...
 
HOJA YA MSINGI

“Ikiwa Adamu na Hawa walikuwa na wana wawili, Kaini na Abeli, na baadae Seth, Je, mke wa Kaini alitoka wapi?”
Biblia ina habari za kutosha kujibu swali hilo kwa njia inayofaa, na kwenye hii mada tutajibu hili swali linalo wachanga sana watu.
MUKTASARI:
Katika Mwanzo sura ya 3 na ya 4 tunapata habari zifuatazo:

(1) Hawa alikuwa “mama ya kila mtu anayeishi.”

(2) Muda fulani ulipita kuanzia wakati Kaini alipozaliwa mpaka wakati alipotoa dhabihu ambayo ilikataliwa na Mungu.

(3) Baada ya kufukuzwa na kuwa “mwenye kutanga-tanga na mkimbizi,” Kaini alikuwa na wasiwasi kwamba huenda ‘mtu yeyote akakutana naye’ na kujaribu kumuua. [Angalia hoja hapa "Kaini anaogopa kuuwawa na watu wengine"] Hapa panaonyesha kuwa Kaini alikuwa na ndugu wengine.

(4) Mungu aliweka ishara ya kumlinda Kaini, jambo lililoonyesha kwamba ndugu au dada zake, au watu wengine wa ukoo wangejaribu kumuua. Kumbe basi Kaini alikuwa na ndugu wengine zaidi ya Abel na Seth.

(5) “Baadaye” Kaini alilala na mke wake “katika nchi ya Ukimbizi.”—Mwanzo 3:20; 4:3, 12, 14-17.

Naomba majibu tafadhari.
Na Je, unafahamu kuwa Mke wa kwanza wa Adam hakuwa Hawa? Unafahamu mkewe wa kwanza, Lilith, kuwa alizaa naye? Labda tuanzie hapa tunaweza pata pa kuelekea.
 
Alioa toka kwa mijitu au wanefilo au nephilim kwa kimombo kitabu cha mwanzo 6: 4
The Nephilim were on the earth in those days—and also afterward—when the sons of God went to the daughters of humans and had children by them. Hii inaonyesha uongo wa biblia na quran kuwa Adam ndiye alikuwa mtu wa kwanza kuumbwa.
Uumbaji wa kwanza katika biblia. Kitabu cha Mwanzo ambapo Mungu anasema " Na tumumbe mtu mfano wetu". Kwanza hapa tunaona kuwa Mungu alizungumza na wengine aliokuwa nao wakati ule na akawaumba mke na mume. Baadae anamuumba Adam kwa udongo na baadae akaona ampatie nae mke hivyo anamuumba Hawa kwa kutumia ubavu wa Adam.
Hivyo ni dhahiri watoto Adam na Hawa waliweza kuoa kutoka kwa viumbe walioumbwa mwanzo. Hivyo Adam ni mwanadamu alieumbwa na Mungu kwa udongo na ndie aliekabidhiwa kila kitu katika bustani ya Eden. Inawezekana kuwa Kaini alipotupwa nje akaweza kwenda ukimbizini na kuoa kutoka katika wale walioumbwa kwa mfano wa Mungu.
 
Back
Top Bottom