Kaimu Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, Naomba Usiruhusu Udhalilishaji Huu Ndani ya Mahakama Zetu!.


Wanabodi,

Tanzania ni nchi yenye katiba inayoendeshwa kwa misingi ya haki, the rule of law kwa kufuata misingi ya sheria, taratibu na kanuni. Kwenye kila jambo linatekelezwa kwa mujibu wa sheria taratibu na kanuni, mahakamani ni mahali pa kutoa haki, tunaomba usiruhusu vyumba na maeneo ya mahakama kutumika kuwa ni sehemu ya udhalilishaji wa watuhumiwa!. Status ya Watuhumiwa wowote mbele ya sheria ni innocent until proven guilt!. Kwa nini watuhumiwa wadhalilishwe tena mbele ya kamera huku wakipigwa picha na video?!.

Tanzania inafuata mfumo wa sheria wa ya Uingereza, common law, ambapo mtuhumiwa huhesabiwa not guilt until proven guilt. Mfumo huu hauruhusu kuwapiga picha watuhumiwa wowote wakiwa mikononi mwa polisi au ndani ya vyumba vya mahakama. Lengo la kuzuia ni ili kuwaepushia watuhumiwa kuhukumiwa na media, "media trial".

Kitendo walichofanyiwa watuhumiwa hawa wawili, Rugemalila na Sing kuchuchumalishwa chini mbele ya camera za waandishi, ni udhalilishaji wa hali ya juu ya haki za watuhumiwa na ni kinyume cha sheria, taratibu na kanuni!.

Lengo la watuhumiwa kuchuchumalishwa, ni wale watuhumiwa wanaoshikwa kwa kufanya fujo, hivyo huchuchumalishwa ili kuwazuia wasitoroke chini ya ulinzi, hivi kweli Rugemalila na umri ule, na Singasinga na unene ule, walikuwa na tishio lolote la kutoroka chini ya ulinzi hadi kuwa chuchumalisha?!.

Sio mara moja au mbili, watuhumiwa wanafolenishwa na kupigwa picha mikononi mwa polisi. Watuhumiwa wanapigwa picha ndani ya vyumba vya mahakama!. Huu ni ukiukwaji wa haki za watuhumiwa!.

Tanzania – Code of Ethical Practice for media photographers and ...

"Contravene laws or lawful orders prohibiting the taking for pictures in the precincts for courts. The law prohibits the taking of pictures of any person (Judges, jurors and witnesses) involved in a proceeding before the court, whether civil or criminal; or to publish any photograph taken in contravention of the order. It could be in the courtroom, in the precincts of the building in which the court is held, or the persons leaving or entering the precincts".

Kwa msio fahamu, hata watuhumiwa nao ni binadamu na haijalishi wamefanya kosa gani, nao wanastahili heshima na utu wa ubinaadamu wao na sio kudhalilishwa. Watuhumiwa wana haki zao ambao zinapaswa ziheshimiwe.

Hata wahalifu wanaohukumiwa kunyongwa, pia wana haki zao zinazopaswa kuheshimiwa. Mfano mtu aliyehukumiwa kunyongwa mpaka kufa, japo lengo ni afe, kabla adhabu hiyo haijatekelezwa kwanza daktari ataitwa na kumpima akikutwa na ugonjwa wowote, adhabu ile haitekelezwi hadi atibiwe apone kabisa akiwa fit ndipo anyongwe hadi kufa. Kumnyonga mtu mgojwa ni kumuonea!. Kabla ya kunyongwa viongozi wa dini huitwa kumsalisha sala ya toba, kumuungamisha na kumuombea dua na kama ni Muislamu hutazamishwa kibla ndipo hunyongwa!. Lengo la kueleza haya ni kuonyesha kuwa hata wahalifu wana haki.

Hivyo ni ombi maalum kwa Kaimu Jaji Mkuu wetu, Dr. Ibrahim Juma, tunakuomba please usiruhusu maeneo ya mahakama na vyumba vya mahakama kutumika kama sehemu ya udhalilishaji utu wa watuhumiwa huu unaofanywa wanapokuwa mikononi kwa polisi na ndani ya vyumba vya mahakama zetu!.

Ndani ya vyumba vya mahakama za Uingereza, India na Afrika Kusini, watuhumiwa hawaruhusiwi kupigwa picha wakiwa ndani ya vyumba vya mahakama, au mikononi mwa polisi. Kama sisi tumerithi sheria za Uingereza, kwa nini tuende kinyume cha wenzetu, unless kwa kufanya hivyo, ndio maendeleo yenyewe!.

Kitendo cha kuwapiga picha watuhumiwa ndani ya vyumba vya mahakama, huku kamera za video zikiwamulika, ni kama kuwahukumu kupitia kitu kinachoitwa "media trial", mtu akiishaonyeshwa kwenye TV ni jambazi, hata akijakukutwa hana hatia, mtaani kila apitapo, watu watanyoosheana vidole, "jambazi yule!"

Naamini polisi wanajua kumpiga picha mtuhumiwa mikononi mwa polisi ni kinyume cha kanuni, kumpiga picha mtuhumiwa akiwa ndani ya chumba cha mahakama ni kinyume cha kanuni, kwa nini haya yanafanyika na tunayanyamazia wakati sheria, taratibu na kanuni zipo wazi?!.

Wanasheria mliopo jf mtatusaidia kwa hili kama tulibadilishwa kutoka kufuata the common law or English Law into American law.

Nimetokea kumfahamu Prof. Ibrahim Juma kwa karibu na sina mashaka kabisa na uadilifu wake katika kutenda haki na kutoa haki ili tuu sio haki itendeke bali pia haki kuonekana imetendeka, "Justice must not only be done but must be seen to be done".

Paskali.
Rejea
Utetezi wa kutetea haki za binaadamu humu jf, sikuanza leo, na wala siwatetei hawa kwa sababu ni matajiri, nimepigia kelele siku nyingi na haya chini ni mabandiko yangu kutetea haki
1. Bango la "Mwizi Mkenya!" Mlimani City ni Ubaguzi!, Udhalilishaji ...

2. Watetezi Wa Kweli wa Haki za Binaadamu Tanzania ni Kina Nani ...

3. Huu ni udhalilishaji wa Polisi kuwavisha mabango watuhumiwa ...

4. Anachofanya Waziri Mkuu, sio sawa, sio haki, sio good governance ...

5. Tukio zima la wachawi wawili waliodondoka na ungo huko kahama ...

6. ITV na "Morbid Curiosity", Very Unprofessional! | JamiiForums ...

7. Siku ya Kupinga Adhabu ya Kifo | JamiiForums | The Home of Great ...

8. Nini hasa maana ya utu? | Page 6 | JamiiForums | The Home of Great ...

9. Swali kuhusu ma-fumanizi, na reaction za wafumaniaji ...

10. Mchawi akamatwa jijini Dar na kuuawa baada ya kudondoka na ungo ...

11. IGP Mwema, Please, Please, Please, Stop This Police Brutality ...

12. Vifo vya Mahabusu Mwanza, IGP Mangu, Usikubali Kudanganywa ...

13. Waziri Nchimbi na IGP Mwema, Mnasubiri Nini Kujiuzulu? | Page 2 ...

14. TISS ni Watekaji, Watesaji na Wauaji!. Wasijadiliwe na Bunge bali ...

15. Chan. Ten:Inastahili Pongezi kwa "Freedom of Expression, Watangaza ...

16. Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na ..

17. Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know ...

18. Character Assassination ni Modus Oparandi ya Madikiteta Katili .

19. Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...

20. Katazo la Rais Kusafiri Nje ya Nchi bila Vibali: Je, Halikiuki .

21. Rais hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mtumishi yeyote .

22. Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...

23. Naibu Spika Anna Makinda ni Dikteta! |

24. Je, Huu Sio Uvunjaji wa Haki Za Msingi za Binaadamu Unaofanywa na ...

25. Kutoka Geneva: Prof Mchome atoa msimamo kuhusu mpango wa ..

26. Je, Kila utumbuaji ni wa haki, au kuna kumkomoa Kikwete .

27. Kagoda: Kamwe haitafikishwa Mahakamani! | J

28. Kitendo Cha Rev. Mtikila Kugomea Arrest!, Kinastahili Pongezi ...

29. Wito kwa Baba *****: Watendee Haki Kina ***** Wote Ili Nao Wapate ...

30. Udhalimu wa Waarabu Zanzibar na Pemba: Ndugu zetu wali-teswa ...

kazi kubwa sana kuwaelimisha hawo wote wanao dhalilisha watu.
Kichapo chambwa koko na maneno mengine ya matusi na kutisha ndio yalozoeleka kwa vyombo vya dola.
 

Angalieni mtu alivyodhalilishwa hapa, kumbe hana hatia yoyote!. Pamoja na mtu huyu kuachiwa huru, kama ikitokea bado ana maumivu ya moyoni kutokana na mateso haya na kudhalilishwa huku, then, karma haina mswalia mtume na wahusika!, wanaojua kufuatilia mambo, by now wanajua jinsi karma inavyofanya mambo yake usikute hata naniliu... pia ni karma!.

Baada ya Mzee JR kuachiwa huru bila makosa yoyote, nayadurusu baadhi ya mabandiko yangu kuhusu kadhia hii, and I was 100% right.

Pia najua, itakuwa miongoni mwa masharti ya kuachiwa ni kutoishitaki serikali kudai fidia, lakini hata asiposhitaki, karma ya mateso yake, imeisha washughulikia baadhi ya watesi wake na waliobakia, karma yao inawasubiri.
Naendelea kusisitiza viongozi wetu tendeni haki.

Mzee JR, pole sana kwa mapito uliyopitia. Mungu ni mwema, shukuru kwa yote, karibu uraiani.

Paskali
 
Leo umeamka vizuri kidogo.

Ashukuriwe Mungu asiyewasahau watu wake, hatimaye Rugemarila amekuwa huru.

Mwili wake umeteswa na dharau amepambana nazo.

Amshukuru Mungu aliyeiokoa roho yake pengine kupitia maombi aliyokuwa akiomba na kuombewa na watu wote wenye nia njema.

Mungu alipigana vita yake na mtesi wake kweli hayupo tena.

Mpeni pole sana, Mungu aitunze afya yake.
 
Angalieni watu walivyodhalilishwa, kumbe hana hatia yoyote!. Pamoja na mtu huyu kuachiwa huru, kama ikitokea bado ana maumivu ya moyoni kuhusu mateso haya na kudhalilishwa huku, then, karma haina mswalia mtume na wahusika!, wanaojulia kufuatilia mambo, by now wanajua jinsi karma inavyofanya mambo yoke usikute hata naniliu na karma!.

Baada ya Mzee JR kuachiwa huru bila makosa yoyote, nayadurusu baadhi ya mabandiko yangu kuhusu kadhia hii, and I was 100% right.

Pia najua, itakuwa miongoni mwa masharti ya kuachiwa ni kutoishitaki serikali kudai fidia, lakini hata asiposhitaki, karma ya mateso yake, imeisha washughulikia baadhi ya watesi wake na waliobakia, karma yao inawasubiri.
Naendelea kusisitiza viongozi wetu tendeni haki.

Mzee JR, pole sana kwa mapito uliyopitia. Mungu ni mwema, shukuru kwa yote, karibu uraiani.

Paskali
Paskalli ni Kama sumaye kuna mda zinakuja kuna mda zinapotea
 
Angalieni watu walivyodhalilishwa, kumbe hana hatia yoyote!. Pamoja na mtu huyu kuachiwa huru, kama ikitokea bado ana maumivu ya moyoni kuhusu mateso haya na kudhalilishwa huku, then, karma haina mswalia mtume na wahusika!, wanaojulia kufuatilia mambo, by now wanajua jinsi karma inavyofanya mambo yoke usikute hata naniliu na karma!.

Baada ya Mzee JR kuachiwa huru bila makosa yoyote, nayadurusu baadhi ya mabandiko yangu kuhusu kadhia hii, and I was 100% right.

Pia najua, itakuwa miongoni mwa masharti ya kuachiwa ni kutoishitaki serikali kudai fidia, lakini hata asiposhitaki, karma ya mateso yake, imeisha washughulikia baadhi ya watesi wake na waliobakia, karma yao inawasubiri.
Naendelea kusisitiza viongozi wetu tendeni haki.

Mzee JR, pole sana kwa mapito uliyopitia. Mungu ni mwema, shukuru kwa yote, karibu uraiani.

Paskali
Sijui mwendazake huko aliko anajisikiaje! Hili jambo la JR tupende tusipende alihusika 100% na haya mateso aliyopitia huyu mzee na Sigh. Pia mamia ya wengine wengi waliteseka kwa amri yake kwa kutumia sheria mbovu.
Natumai atakuwa analambwa bakora huko aliko
 
Angalieni watu walivyodhalilishwa, kumbe hana hatia yoyote!. Pamoja na mtu huyu kuachiwa huru, kama ikitokea bado ana maumivu ya moyoni kuhusu mateso haya na kudhalilishwa huku, then, karma haina mswalia mtume na wahusika!, wanaojulia kufuatilia mambo, by now wanajua jinsi karma inavyofanya mambo yoke usikute hata naniliu na karma!.

Baada ya Mzee JR kuachiwa huru bila makosa yoyote, nayadurusu baadhi ya mabandiko yangu kuhusu kadhia hii, and I was 100% right.

Pia najua, itakuwa miongoni mwa masharti ya kuachiwa ni kutoishitaki serikali kudai fidia, lakini hata asiposhitaki, karma ya mateso yake, imeisha washughulikia baadhi ya watesi wake na waliobakia, karma yao inawasubiri.
Naendelea kusisitiza viongozi wetu tendeni haki.

Mzee JR, pole sana kwa mapito uliyopitia. Mungu ni mwema, shukuru kwa yote, karibu uraiani.

Paskali

What makes you think they are both innocent:

(a) is it because the current regime has orchestrated an atmosphere that portrays them innocent?

(b) is it because the concept of justice is way beyond your horizons of the moment?

(c) is it because things are quickly changing, we should therefore allow ourselves to be carried away so blindly by the whirlwind of change?

(d) or, you have to say something almost about anything that vindicates your quasi-relevance in the face of reason?
 
What makes you think they are both innocent:

(a) is it because the current regime has orchestrated an atmosphere that portrays them innocent?

(b) is it because the concept of justice is way beyond your horizons of the moment?

(c) is it because things are quickly changing, we should therefore allow ourselves to be carried away so blindly by the whirlwind of change?

(a) or, you have to say something almost about anything that vindicates your quasi-relevance in the face of reason?
Mtu yoyote atachukuliwa hana hatia hadi itakapothibitishwa vinginevyo pasipo mashaka na mahakama huru.

A person is presumed to be innocent until proven guilty.

The burden of proof is on the one who declares, not on one who denies.
 
Angalieni watu walivyodhalilishwa, kumbe hana hatia yoyote!. Pamoja na mtu huyu kuachiwa huru, kama ikitokea bado ana maumivu ya moyoni kuhusu mateso haya na kudhalilishwa huku, then, karma haina mswalia mtume na wahusika!, wanaojulia kufuatilia mambo, by now wanajua jinsi karma inavyofanya mambo yoke usikute hata naniliu na karma!.

Baada ya Mzee JR kuachiwa huru bila makosa yoyote, nayadurusu baadhi ya mabandiko yangu kuhusu kadhia hii, and I was 100% right.

Pia najua, itakuwa miongoni mwa masharti ya kuachiwa ni kutoishitaki serikali kudai fidia, lakini hata asiposhitaki, karma ya mateso yake, imeisha washughulikia baadhi ya watesi wake na waliobakia, karma yao inawasubiri.
Naendelea kusisitiza viongozi wetu tendeni haki.

Mzee JR, pole sana kwa mapito uliyopitia. Mungu ni mwema, shukuru kwa yote, karibu uraiani.

Paskali
Umesahau ni awamu ipi iliyowadhalalisha hao? Sio ya Msukuma mwenzio? Ulikuwa wapi hukukemea wakati huo? Ulipojaribu kujidai kujipendekeza na kujitutumua kwa Msukuma mwenzio, ukashushuliwa na kuitwa "njaa".
 
Umesahau ni awamu ipi iliyowadhalalisha hao? Sio ya Msukuma mwenzio? Ulikuwa wapi hukukemea wakati huo? Ulipojaribu kujidai kujipendekeza na kujitutumua kwa Msukuma mwenzio, ukashushuliwa na kuitwa "njaa".
Kujua sheria raha, mnakaa mnachukua pesa bila idhini ya mwenzako na unampa Rugemalira kununua shares zake.

Ambaye yeye muuza shares anashiriki kupatikana pesa kutoka benki. Hana hatia kwa kutengeneza makaratasi huku zaidi budget ya wizara 5 kwa mwaka katia tumboni.
 
Umesahau ni awamu ipi iliyowadhalalisha hao? Sio ya Msukuma mwenzio? Ulikuwa wapi hukukemea wakati huo? .
Dada yangu FaizaFoxy , sijui ulipotelea wapi?. Swali zuri sana kwamba nilikuwa wapi sikukemea wakati huo. Nilidhani kwa seniority yako humu jukwaani, ukifungua bandiko, unaangalia ni la lini.
Nimekemea mambo mengi sana enzi hizo.
Mwache Bro wangu apumzike kwa amani huko alipo.
P
 
Angalieni mtu alivyodhalilishwa hapa, kumbe hana hatia yoyote!. Pamoja na mtu huyu kuachiwa huru, kama ikitokea bado ana maumivu ya moyoni kutokana na mateso haya na kudhalilishwa huku, then, karma haina mswalia mtume na wahusika!, wanaojua kufuatilia mambo, by now wanajua jinsi karma inavyofanya mambo yake usikute hata naniliu... pia ni karma!.

Baada ya Mzee JR kuachiwa huru bila makosa yoyote, nayadurusu baadhi ya mabandiko yangu kuhusu kadhia hii, and I was 100% right.

Pia najua, itakuwa miongoni mwa masharti ya kuachiwa ni kutoishitaki serikali kudai fidia, lakini hata asiposhitaki, karma ya mateso yake, imeisha washughulikia baadhi ya watesi wake na waliobakia, karma yao inawasubiri.
Naendelea kusisitiza viongozi wetu tendeni haki.

Mzee JR, pole sana kwa mapito uliyopitia. Mungu ni mwema, shukuru kwa yote, karibu uraiani.

Paskali
Unapulizia upewe mgawo wako sio?

Hakuna Karma inayofanya kazi kwa muktadha wa tafsiri yako

Wataje ni nani na nani wanaohusika na matokeo hasi ya Karma?

Je, rushwa haikutokea kwenye sakata la IPTL?


Mharifu namba moja dunia ni MWANASIASA
 
Umesahau ni awamu ipi iliyowadhalalisha hao? Sio ya Msukuma mwenzio? Ulikuwa wapi hukukemea wakati huo? Ulipojaribu kujidai kujipendekeza na kujitutumua kwa Msukuma mwenzio, ukashushuliwa na kuitwa "njaa".

Wewe mambo usukuma yanatoka wapi??

Hao ndio mastaa wa movi ya IPTL ba escrow? Hayo mambo yote yaliibuliwa na kujadiliwa na kutajwa bungeni kipindi cha KIKWETE.

Kama udhalilishaji, ulianza hapo.
 
Wewe mambo usukuma yanatoka wapi??

Hao ndio mastaa wa movi ya IPTL ba escrow? Hayo mambo yote yaliibuliwa na kujadiliwa na kutajwa bungeni kipindi cha KIKWETE.

Kama udhalilishaji, ulianza hapo.
Escrow na IPTL ilikuwa ni enzi za Kikwete sio JPM (ReferUchunguzi wa kamati ya Mwakyembe hadi waziri mkuu Lowasa kujiuzulu na mawaziri kadhaa waandamizi kuvuliwa uwaziri kama Tibaijuka nk)

Udhalilishaji ulifanyika kipindi hicho lakini hakuna hatua zilizochukuliwa) baada ya hapo alipoingia madarakani alichukua hatua na baadhi walirejesha fedha rejea aliyewahi kuwa waziri wa nishati na madini Ngereja.

Uovu wote ulipandwa, kustawishwa na kukomazwa enzi za JKM, lakini JPM alipochukua hatua lawama zote anatupiwa yeye maajabu ya dunia ndani ya nchi isiyo ya asili Tanzania
 
Back
Top Bottom