mashoodjr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2016
- 2,222
- 1,512
Wewe toa uongo wako hapa.Mbona pia mijanaume inapenda kuomba omba hela kwa wadada...ptuuu yaani bure kabisa...
Mara naomba uninunulie hiki mara kile yaani ni full mariooo..
Wewe toa uongo wako hapa.Mbona pia mijanaume inapenda kuomba omba hela kwa wadada...ptuuu yaani bure kabisa...
Mara naomba uninunulie hiki mara kile yaani ni full mariooo..
KWA STYLE HIYO HATA KAMA NI HIS ALMIGHTY BORA NIPISHANE NAYE TUyaani nikikuomba hela ujue nakupenda sana namalizia interview yangu ya mwisho nikuweke moyoni .sasa hapo wengi wenu ndo huwa mnaharibu .mtapishana na malaika mlangoni kisa elf 30.maana ya mwanaume ni nini sasa?
Haahahhaha[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mambo matano ambayo anatakiwa afanyiwe mwanamke
1.Mpe hela
2.Mpe hela
3.Mpe hela
4.Mpe tu hela
5.We mpeee tu helaaa
Kutoka nae kivipiMmmh... Mimi ni muoga sana wa kuomba hata niwe na shida vipi siwezi kuomba,, hata boy niliyetoka nae alikuwa ananipa tuu akijisikia hila siyo kwa kumuomba aseee
Mi nafikiri mademu wa humu wameisha panta kitchen patai, sidhani kama watakuja kumwomba member humu hela.
Acha ubahili mkuu
ila kiuhalisia ka moyo kanauma
Si hadi ATM iliishiwa pesa kwa kunipa mimi tu,mimi tena na weweNani amekaumiza hako kamoyo kako wewe?
Halafu, hivi wewe nshawahi kukuhonga hela kweli?
asanteeee, hela itolewe tu[emoji3]Mambo matano ambayo anatakiwa afanyiwe mwanamke
1.Mpe hela
2.Mpe hela
3.Mpe hela
4.Mpe tu hela
5.We mpeee tu helaaa
hivi harusi yako ilishanipita? mlifunga kimya kimya jomoniiNilipo tosheka na kuuziwa mbuzi kwenye guniaa ndio ndomana niliamua nirejee bongo tu aiseeeeee....[emoji25] [emoji25] [emoji25]