Paprika
JF-Expert Member
- Feb 25, 2017
- 5,952
- 9,863
Kuna shosti yangu fulani kila mwanaume anaemtongiza facebook na insta anawakubali... Ila cha kwanza anawaomba hela... Atakaemtumia hela ya kueleweka ndo anakutana nae...
Yaani wengine wamekosa mshipa wa aibu!!! Mimi wazazi wangu tu wenyewe kuwaomba hela shida!!! Na wanalijua hilo
Yaani wengine wamekosa mshipa wa aibu!!! Mimi wazazi wangu tu wenyewe kuwaomba hela shida!!! Na wanalijua hilo