Kaifuta namba yangu kisa sikumpa hela!!!

Kaifuta namba yangu kisa sikumpa hela!!!

[emoji23] [emoji23]. Dah mademu hawa.. Kuna mmoja alinipga mzinga akisema nimkopeshe na najua huwa halipi nmtumie 25K nikampa, nkamuambia mm najua huwezi kunirudshia, akajibu kama simuamin nikajambe,..
Nilichofanya nikapiga simu crdb sim banking waka I block ile hela.. Wakairudisha.. Yule demu mpaka leo kaniblock kuanzia whatsaap, Facebook Instagram
 
Kuna mwingine toka mwezi wa 3 anaomba kodi nmpe 100k nmuongezee kodi yani anweza piga simu hata saa 12 asubuh anakumbushia kama vile kaeka, nmemzungusha miezi yote hyo na papuchi nmekula.. Nashukuru sasa hv kajiongeza kuwa hela sitompa..
 
Hii hali imezidi sasa jaman kina dada hata sisi tunazipenda pesa zetu atiiiiii 🙁 binafsi week hili linaloisha leo kwanzaia juma tatu nishaombwa pesa mpaka nataman kutupa sim

fb na whatsApp zimekidhiri kutaka kutupa hasara
 
Hii hali imezidi sasa jaman kina dada hata sisi tunazipenda pesa zetu atiiiiii 🙁 binafsi week hili linaloisha leo kwanzaia juma tatu nishaombwa pesa mpaka nataman kutupa sim

fb na whatsApp zimekidhiri kutaka kutupa hasara
Weee toa tuu kak angu kutoa ni moyo
 
FB_IMG_1497870736329.jpg
 
ivi lakini unazani kweli huwa tuna roo nzuri sanaaa kuwapeni mkwanja wetu ? hapana mnatuzid tu akili ila hatupendi kutoa kweli tena
[emoji38] [emoji38] [emoji38]sasa mbona mnatoaga jamanii
 
Suala la Pesa ishakuwa noma sasa... yanii mpaka naogopa kutongoza maana ntakuwa naongeza umaskini..!!
 
Hivi hii mada mbona imekaa kama vile kuna third parties,utatoa hutoi?,anyway the reality to al KEs and MEs ni kwamba mkono mtupu haulambwiiiii!
cc.miss natafuta
 
Back
Top Bottom