Kaifuta namba yangu kisa sikumpa hela!!!

Kaifuta namba yangu kisa sikumpa hela!!!

Hawa viumbe ndiyo zao,ukitaka utulivu wa akil achana na hawa viumbe mkuu,na ikitokea umempa tambua imekula kwako
 
Hahahahahaaaaa wakati unammnyima mwanamke buku anapokea muamala kutoka kwangu IMETHIBITISHWA UMEPOKEA SH 80,000 KUTOKA KWA........ lazima afute namba yako hahahaaa pole
Hapo utajioona mjanja!!!!watu wa mikoani bhana ushamba tu umewajaa,udomo zege ndio tatizo kwenu
 
Back
Top Bottom