Mambo matano ambayo anatakiwa afanyiwe mwanamke
1.Mpe hela
2.Mpe hela
3.Mpe hela
4.Mpe tu hela
5.We mpeee tu helaaa
Noted with thanksKuwa mtu unayesimamia unachokiamini.. akili haitaki kutoa pesa lakini unamficha unamzungushazungusha kwanini mkuu.
Mwambie hauwezi kuwa katika mahusiano ya namna hiyo.... mchane. Sasa wewe unaonekana unamfichaficha na ni vibaya unadhulumu unachokiamini.
Asante BossSi umpige block yaishe
Amblock wa nini? amwambie tu dada sina tabia ya kutoa hela yangu haswa kwa msichana ambaye sijawa nae kwenye mahusiano ya kueleweka.Si umpige block yaishe
Ni huyo tu. Wengine uwa tunasimama kwa miguu yetu. Mambo vipi?Ndo wako hivyo,,wanafikiri kuzaliwa tu na jinsia ya kike
ni sawa na kuwa na SACCOS...
unawachangisha tu
Kweli mkuu?Ndo wako hivyo,,wanafikiri kuzaliwa tu na jinsia ya kike
ni sawa na kuwa na SACCOS...
unawachangisha tu
Uchoyo ndo akili!Ha ha ha uchoyo uo nyani
Ni huyo tu. Wengine uwa tunasimama kwa miguu yetu. Mambo vipi?
Mbona pia mijanaume inapenda kuomba omba hela kwa wadada...ptuuu yaani bure kabisa...
Mara naomba uninunulie hiki mara kile yaani ni full mariooo..
Kwangu wamenoa.WE NYANI, POLE SANA NGABU.. NDO DADA ZETU HAO, TUTAFANYAJE SASA!
Nyani ngabu ungemwambia njoo uchukue jioni
Vipi nakuomba papuchi unakuwaga mzito pia?Mimi katika vitu ambavyo siviwezi ni kuomba hela kwa mtu.
Sijui wengine wanawezaje tu!!!