miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
ni mmoja tu ndiyo sababu ila alinifungua siku hizi nawafaidi sanaWanaume walokuumizaga kimapenz wasiwe ndo sababu ya wewe kuchuna wanaume wengine miss chagga
ni mmoja tu ndiyo sababu ila alinifungua siku hizi nawafaidi sanaWanaume walokuumizaga kimapenz wasiwe ndo sababu ya wewe kuchuna wanaume wengine miss chagga
nini cha thaman zaidi ya pesa?tunawafanyiea interview mbona tunawapa cha thamani zaidi ya pesa?
NonsenseMambo matano ambayo anatakiwa afanyiwe mwanamke
1.Mpe hela
2.Mpe hela
3.Mpe hela
4.Mpe tu hela
5.We mpeee tu helaaa
Kwa huu usawa usawa wa magufuli ununue Prado?.. Wacha masihara.Ndo maana sipend kumwomba hela mwanaume nisiyejua anamrengo gan na mim ,ni hero nimwombe kaka ,dada na wazaz Wang naam kwa hao sitakosa kabisa ,kuliko kupewa hela ya masimango na halaf MTU mwenyew hakupend ndo man nakazan niwe na hela ,niwe na kwang na ninunue gari aina ya Prado,nimechukia mapenz na nimekata tamaa,ila kwenye kutafuta pesa ndio ajenda yang
Mwingine hiyo[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]....atataka kukutoa za shopping sasa hivi[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]my baby kumbe wewe ni wa extent hyo?
Ingia pm bac...siku nyingi sijapewa intavyuumimi ukinitongoza tu lazima ulipie .ukifaulu huo mtihani aah utakula mema ya nchi.hyo ndo interview yangu simple tu .
Kwa huu usawa usawa wa magufuli ununue Prado?.. Wacha masihara.
[emoji108] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Ndo hadi nikutongoze sasa....kama hujatongozwa usiombe hela
Labda uende kwa mzee wa kikombeMtatoa tu.
Hili tatizo limekuwa sugu Sasa hivi.Kuchat Na mtu siku hizi ni kuongeza idadi ya wapiga mizinga.Hata kuonana hatujaonana. Hajui hata naitwa Nyani nani [jina langu la ukoo], lakini huwa tunachati tu hapa na pale.
Juzi ananicheki kwa WhatsApp...bebi hivi bebi vile.
Mara ananipiga mzinga. Eti anaumwa halafu anataka kwenda kumsalimia mama'ake huko Shinyanga.
Nilipomnyima akaja juu. Eti kwa nini namnyima huku wakati anashida. Akasema anaifuta namba yangu.
Nami nilivo kichaa nikaifuta yake kabla hata hajaifuta yangu.
Hata kama ndo ujasiria-vagina lakini siyo to that extent.
Utamwombaje hela mtu ambaye hata humjui kivile?
Mi hata kumwomba tu mtu anikopeshe huwa ninafikiria karibu hata mwezi mzima na mwisho wa siku naishia kupotezea tu. Siombi wala sikopi.
Lakini kwa wengine kuomba ni kama anatoa salamu! Hata mshipa wa kujistukia hana.
Ama kweli tumeumbwa tofauti.
Unaanzaje kumpa hela mtu hata hamjawahi onana Na ukisema Aje achukue physically hataki huu ni utapeli tuMambo matano ambayo anatakiwa afanyiwe mwanamke
1.Mpe hela
2.Mpe hela
3.Mpe hela
4.Mpe tu hela
5.We mpeee tu helaaa
Na nyinyi jifunzeni ukauzu.....mwanaume atakuombaje pesa ukamkubalia wakati wewe mwenyewe chokambayaMbona pia mijanaume inapenda kuomba omba hela kwa wadada...ptuuu yaani bure kabisa...
Mara naomba uninunulie hiki mara kile yaani ni full mariooo..
Unaanzaje kumpa hela mtu hata hamjawahi onana Na ukisema Aje achukue physically hataki huu ni utapeli tu
Nyani ngabu pore