Kaifuta namba yangu kisa sikumpa hela!!!

Kaifuta namba yangu kisa sikumpa hela!!!

Baby J mbona wewe hujawahi kuniomba hela?

Huzipendi US dola wewe?
yaani nikikuomba hela ujue nakupenda sana namalizia interview yangu ya mwisho nikuweke moyoni .sasa hapo wengi wenu ndo huwa mnaharibu .mtapishana na malaika mlangoni kisa elf 30.maana ya mwanaume ni nini sasa?
 
yaani nikikuomba hela ujue nakupenda sana namalizia interview yangu ya mwisho nikuweke moyoni .sasa hapo wengi wenu ndo huwa mnaharibu .mtapishana na malaika mlangoni kisa elf 30.maana ya mwanaume ni nini sasa?

Mimi usiponiomba omba hela ndo ntakupenda na nikishakupenda utashangaa nilivyomkarimu na pesa zangu!

Red bottoms utazivaa hadi useme poooo.
 
kuombwa hela ni interview unafanyiwa na mwanamke kama wewe ni responsible man!

Siwezi kuwa responsible kwa kila mwanamke

wengine hata interests ya ku hit bado haija develop why nianze kuwa responsible?
 
Siwezi kuwa responsible kwa kila mwanamke

wengine hata interests ya ku hit bado haija develop why nianze kuwa responsible?
mimi ukinitongoza tu lazima ulipie .ukifaulu huo mtihani aah utakula mema ya nchi.hyo ndo interview yangu simple tu .
 
Back
Top Bottom