Nyani Ngabu
kipindi nipo chuo mwaka wa mwisho 2013 kuna mdada mmoja nilimtongoza. Kwenye majibu akaniambia kama kweli nampenda nimpe sh. 5000.
Mimi nikampa elfu kumi kwa m-pesa. nilipokaa muda pasipo kuona mrejesho nikampigia simu kumuuliza kama ameiona. Alichonijibu ni ngoja aiangalie kama imeingia. Nilingoja mpaka jioni.
Jioni nikampigia, akaniambia simu yake iko chajini. Dahhh nikampotezea kama mwezi hivi baada ya kimya kirefu mara akaanza uko kimya sana.
kilichofuata namba yake nilii-donate kwa marafiki zangu wote wamtongoze. sasa alipotick kilichofuata nilitaka nibake sema basi tena.
sasaa hivi na kazi ila ata staff wangu sinaga mazoea nao maana wanapiga vizinga mpaka kweny chai