The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,586
- 14,138
Mbinga 👇
The Pride of Southern Highlands 👇
View attachment 2227962
View attachment 2227963
View attachment 2227964
View attachment 2227965
Proud of Njombe
Hivi mkuu! Lile bwawa la kuzalisha umeme la Ruhudji liko Njombe au Iringa, vipi kuhusu utekelezaji wake maana sisikii chochote kinachoendelea wala kuongolewa wakati hapo nyuma lilikuwa likizungumziwa sana.The Pride of Southern Highlands
View attachment 2227962
View attachment 2227963
View attachment 2227964
View attachment 2227965
Ruhudji liko Njombe Mjini tuu pale,ule mto unaovuka kuingia/ kutoka mjini ndio mto Ruhudji..Hivi mkuu! Lile bwawa la kuzalisha umeme la Ruhudji liko Njombe au Iringa, vipi kuhusu utekelezaji wake maana sisikii chochote kinachoendelea wala kuongolewa wakati hapo nyuma lilikuwa likizungumziwa sana.
Mimi siyo mtu wa huko ila ninapenda kujua vitu kama hivi.
Ahsante sana kwa ufafanuzi mzuri, kiukweli nyanda za juu kusini zinanichanganya sana baada ya kugawa maeneo mapya ya mikoa na Wilaya ramani haisomeki vizuri.Ruhudji liko Njombe Mjini tuu pale,ule mto unaovuka kuingia/ kutoka mjini ndio mto Ruhudji..
Kuhusu mradi wa Umeme wa Ruhudji maelezo ya serikali ni wanatafuta pesa,by the way nguvu kubwa imewekwa kukamilisha Bwawa la Nyerere..
Labda baada ya 2025 ndio linaweza Anza kujengwa kwa sababu ni lazima lijengwe maana by 2030 mahitaji ya Umeme yatakuwa makubwa zaidi wastani WA mgwt 10,000
Unplanned settlementsIt seems hujui maana ya slums wew...kama kirumba ni slum bus Tanzania nzima ni slums.
Kirumba ni eneo lenye watu wa kawaida..
Hii hapa mitaa ya kirumbaView attachment 2217588View attachment 2217589View attachment 2217590
Hiki kijana kimenikamata kweli kweli, mimi napenda miti,misitu, kijani haijalishi iko mikoa gani.Nasifia hapa kwa mapenzi yangu. Hongereni sana Tanzania kuibadili kuwa ya kijani yote inawezekana.