Sawa ila sasa Makambako TC,nyie mapato yenu yanaenda wapi? Mbona inaonekana hamsaidii mkoa?Now wanakaribisha wawekezaji na ukiwa juu ya safu za milima hii kipengere utaweza kuona kwa uzuri madhari ya miji ya makambako ,ilembula,igawa,rujewa ,ubaruku,mtwango,igwachanya nk
View attachment 2217505View attachment 2217506
Shida Ni wenye mamlaka mkuu wa wilaya naye kaongea Sana tu hawamwelewi ila kwenye GDP kimkoa wapo vizur tofauti na mapato ya ndaniSawa ila sasa Makambako TC,nyie mapato yenu yanaenda wapi? Mbona inaonekana hamsaidii mkoa?
Yaani Halmashauri zote za Mkoa wa Njombe zinawazidi wakati Makambako ni Mji mkubwa kwenye Mkoa wa Njombe na S/Highlands kiujumla..
Mnazingua bhana, Makambako haufai kuwa ya Mwisho,toeni Mchango wenu kwenye maendeleo ya Mkoa.
Kwani kuna shida gani huko? Wenye mamlaka wanafanyaje? DC kasemaje?Ishu
Shida Ni wenye mamlaka mkuu wa wilaya naye kaongea Sana tu hawamwelewi
Aliwambia Kuna shida ya watendaji kukusanya mapato pia haiwezekan halmashauri ikusanye kiwango kidogo Cha mapato ili hali Ina fursa nyingi tu za kupata mapato akawambia anataka mwaka ujao wabadilike na walimwaidi pia wakamwambia wameanza ujenzi wa kumbi za mikutano na masherehe ,viwanda vya tofari na ujenz wa parking kubwa ya magari ya mizigo na wameanzisha mashamba makubwa ya parachichi ambayo wameanza kuzivuna mwez huu walimwaidi yatapandaKwani kuna shida gani huko? Wenye mamlaka wanafanyaje? DC kasemaje?
Hizo pambio na nyimbo nimekuwa nazisikia miaka yote,kama mumeshindwa nendeni kwa Bashungwa amuondoe DED..Aliwambia Kuna shida ya watendaji kukusanya mapato pia haiwezekan halmashauri ikusanye kiwango kidogo Cha mapato ili hali Ina fursa nyingi tu za kupata mapato akawambia anataka mwaka ujao wabadilike na walimwaidi pia wakamwambia wameanza ujenzi wa kumbi za mikutano na masherehe ,viwanda vya tofari na ujenz wa parking kubwa ya magari ya mizigo na wameanzisha mashamba makubwa ya parachichi ambayo wameanza kuzivuna mwez huu walimwaidi yatapanda
Miji ya kanda ya ziwa ni sehemu na sehemu tu ndo kuna slums mfano mwanza ni kata mbili tu za mabatini na igogo...Slums zinafanana na za Mwanza na Kahama?
Kwamba Kirumba mule sio slums sio? 😆😆😆😆.Miji ya kanda ya ziwa ni sehemu na sehemu tu ndo kuna slums mfano mwanza ni kata mbili tu za mabatini na igogo...
Lakin maeneo mengine yako poa sana tu mfano eneo kama hili la bwiruView attachment 2217579View attachment 2217580View attachment 2217581View attachment 2217582
It seems hujui maana ya slums wew...kama kirumba ni slum bus Tanzania nzima ni slums.Kwamba Kirumba mule sio slums sio?.
Kahama ndio usiseme
Hata hiyo picha ya chini ni KirumbaMiji ya kanda ya ziwa ni sehemu na sehemu tu ndo kuna slums mfano mwanza ni kata mbili tu za mabatini na igogo...
Lakin maeneo mengine yako poa sana tu mfano eneo kama hili la bwiruView attachment 2217579View attachment 2217580View attachment 2217581View attachment 2217582
Na kati ya GDP na mapato ya ndan yapi yana mchango chanya kwa mkoa maana ukiangalia items of GDP makambako tc ndo inaongoza kimkoa wa njombe ikifuatiwa na njombe tc kwa report ya November 2020Hizo pambio na nyimbo nimekuwa nazisikia miaka yote,kama mumeshindwa nendeni kwa Bashungwa amuondoe DED..
Kwa kweli sijawahi ielewa Makambako TC,wenzie wote mapato yanapanda lakini hapo tuu hakuna cha maana..
Leo hii Wanging'ombe Halmashauri mpya inakwenda kufikisha 4 bln , Makambako mko kwenye 2bln miaka na miaka..
Njombe DC,Makete,Ludewa na Wanging'ombe zimewakuta na kuwapita tena Mji mkubwa,hii ni uzembe na aibu..
Yaani ukiangalia percentage za Halmashauri za Mkoa wa Njombe hapo chini,seems Halmashauri zote zitafikia malengo na kuvuka Kasoro Makambako tuu,inatuangusha Sana kama Mkoa.
View attachment 2217583
View attachment 2217584
View attachment 2217585
Iweke hapo hiyo ripoti wote tuioneNa kati ya GDP na mapato ya ndan yapi yana mchango chanya kwa mkoa maana ukiangalia items of GDP makambako tc ndo inaongoza kimkoa wa njombe ikifuatiwa na njombe tc kwa report ya November 2020
Inanizingua kudownload ipo kwenye profile la mkoa wa njombe nime copy na ku pasteIweke hapo hiyo ripoti wote tuione
Sasa huoni pesa wanakula wachache maana kama hamkusanyi mapato hata uwezo wenu wa kuhudumia jamii yenu ni mdogo,pesa za Halmashauri zinabakia kwenye Halmashauri husika so hamumkomoi mtu hapo..Tshs.
District
2016
2017
2018
2019
NjombeTC
3,661,674
4,756,514
4,768,358
5,601,876
Wanging'ombeDC
1,682,775
2,124,289
2,403,005
2,719,671
MaketeDC
2,143,392
2,451,777
2,623,507
2,726,711njombe tc ndo hiyo Ina 5na point na hiyo ya miaka 4