Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Mbeya na mbinga kahawa toka mwaka jana imerudi kwenye form vijana wadogo wadogo wa tukuyu, mlowo, mbalizi, mbinga, walianza na kununua wakiwa na mitaji midogo leo wako kwenye milioni 50 wengi hawahesabiki naona wanakimbia mno
 
Kanda ya ziwa tukae mkao wa kula kahama ardhi ipo juu na inakimbia kiuchumi lakini nachukua mfano kasulu mjini kuna viawanja vinauzwa milioni hadi 200 vile vya barabarani lakini Dar kuna eneo kibamba jijini ukiwa na milioni tano unakamata ardhi, mwanza usagara misungwi ukiwa na milioni laki tano ardhi unapata ndugu zangu bei za ardhi hasa kwenye makaratasi zisituchanganye tupambane maeneo yote kwenye fursa wewe nenda kapambane
 
Tumalize ubishi tusidharau maeneo maendeleo ya kusini kwa sasa sio ya kubeza jamaa wanakimbia sana lakini tusiishie kubishana hapa wakati mwinuka wa NFS njombe filling station keshawekeza kahama na mwanza anavituo vya mafuta twende na mwendo huo kanda ya ziwa na kusini ukiona upenyo wewe kapige pesa tusikalie ubishi dunia inakimbia
 
Kama ni Mbena au mkinga au mnyakyusa changamka ndio maana marehemu fulldozi alianza kununua kahawa ya kigoma na burundi zamani, karanga ya kahama inayoenda kenya na uganda ina fursa ni kupambana tu, dhahabu na machimbo ya dhahabu kanda ya ziwa wewe ukiona fursa pambana kokote kambi kikubwa fanya tafiti za kutosha usitapeliwe, kahama ukipeleka biashara ya vipuri vya magari na lubricants pesa ipo magari yanayopita pale ni mengi mno,
 
FB_IMG_16505129803540022.jpg
FB_IMG_16505129673119950.jpg
 
Kanda ya ziwa tukae mkao wa kula kahama ardhi ipo juu na inakimbia kiuchumi lakini nachukua mfano kasulu mjini kuna viawanja vinauzwa milioni hadi 200 vile vya barabarani lakini Dar kuna eneo kibamba jijini ukiwa na milioni tano unakamata ardhi, mwanza usagara misungwi ukiwa na milioni laki tano ardhi unapata ndugu zangu bei za ardhi hasa kwenye makaratasi zisituchanganye tupambane maeneo yote kwenye fursa wewe nenda kapambane
Ntaenda kote ila Lake zone siwezi ishizhuko kuna kansa kama zote na watu sio wastaarabu.
 
Tumalize ubishi tusidharau maeneo maendeleo ya kusini kwa sasa sio ya kubeza jamaa wanakimbia sana lakini tusiishie kubishana hapa wakati mwinuka wa NFS njombe filling station keshawekeza kahama na mwanza anavituo vya mafuta twende na mwendo huo kanda ya ziwa na kusini ukiona upenyo wewe kapige pesa tusikalie ubishi dunia inakimbia
Fursa zinatafutwa kokote,sio huko tuu alikowekeza bali mikoa yote ya Nyanda za Juu Kusini hadi Rukwa na Katavi yupo.
 
Lakini pia kusini hasa Songea wanamakaa yao ya mawe naona wenyeji akina mdaka five na feo na wengine wameanza kubeba makaa wanamalori mengi wanapeleka nje hasa uganda hapo bado kampuni kibao zinachukua makaa kule kumefunguka kule tuache ubishi jamani
Hao wasipoyavuna sasa yatakuja kuwa historia maana Dunia inaenda kuyapiga marufuku by 2035
 
Kampuni za kitalii zimeanza kubisha hodi ndani ya mji wa makambako hii Ni kutokana na kuwa jirani na mpanga kipengere takriban km 40
FB_IMG_16520265263283092.jpg
 
Back
Top Bottom