Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Bukoba...
Screenshot_20230402-200341.jpg
 
Tatizo moja la mji wa Bukoba limeanza kufanyiwa kazi...ujenzi wa stendi umeanza upya baada ya kukwama za zaidi 15years...bado soko sasa...sijui mtaisema Bukoba kwa lipi sasa

Nimependa kutumia mkandarasi wa hapo hapo Bukoba...

Mkuu, sasa hivi Manispaa ya Bukoba imeongezewa eneo Kata za Maruku, Kanyangereko, Katoma, Karabagaine na eneo dogo la Kemondo zimerudi ndani ya Manispaa na siyo tena Halmashauri ya Bukoba Vijijini.

Kwa ukubwa huu wa eneo la mraba kuna kitu kikubwa kinakuja.
 
Hii nyumba ni Kwa ajili ya wafanya KAZI ( Kambi ya ya wavuvi wadogo msije fikiri ni hospitali maana ingekuwa kusini ingekuwa hospital
IMG_20230329_162146_706.jpg
 
Happy Nation na Al Saedy ni Wakongwe sana wa route ya Mbeya..

Amekua sana na Sasa anawafikia washamba wa Lake zone 🤪🤪

Unyama mwingi sana Kwa Happy Natio 💪💪💪
 
Back
Top Bottom