instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,544
- 19,490
Twende mdogo mdogoo...usilieNaomb picha ya bukoba town


Tubaki hapo kwanza kwenye vijiji...
Hiz ni nyumba za watu binafsi huko vijijini Bukoba....
Twende mdogo mdogoo...usilieNaomb picha ya bukoba town


Nilikuwa naenda tunduma....Mfa maji hachoki kutapatapa ww maskin usingeweza kupanda ABC

...hamwezi jenga hata nyumba bora...Wapo 410005 tu.Mega city ni jiji lenye watu milioni 10 na kuendelea
Population ya Mbeya City haifikii hata milioni 1
Hao walugaluga hawana pesa za kuspend.Nilikuwa naenda tunduma....
Na hakuna bus luxury kwenda Tunduma...ni new forcd bovu bovu na ilo golden sijui deer....
Bus ikifika iringa hadi watu wanasimama kama daladala za mbagala ptu....
Option ya ndege sio kila siku...yaan ukanda wa kusini mnazidiwa na Bukoba kuna ndege kila siku na zaidi ya mara mbili...Asubuhi, mchana na jioni Bukoba hukosi ndege...nyinyi huko ni mara tatu kwa wiki na mnasema kuna jiji Huko na purchasing power kubwa...hamwezi jenga hata nyumba bora...
Cjakwambia ulete picha za nyumba elewa kiswahili wew nyumbu nimekwambia naomb picha ya bukoba town au CBD ya bukoba lbda kiswahili huelew vzrTwende mdogo mdogoo...usilie
Tubaki hapo kwanza kwenye vijiji...
Hiz ni nyumba za watu binafsi huko vijijini Bukoba....
View attachment 2569213View attachment 2569214View attachment 2569215View attachment 2569216View attachment 2569218
Ukitoa airport hakuna kingne cha kusemaNilikuwa naenda tunduma....
Na hakuna bus luxury kwenda Tunduma...ni new forcd bovu bovu na ilo golden sijui deer....
Bus ikifika iringa hadi watu wanasimama kama daladala za mbagala ptu....
Option ya ndege sio kila siku...yaan ukanda wa kusini mnazidiwa na Bukoba kuna ndege kila siku na zaidi ya mara mbili...Asubuhi, mchana na jioni Bukoba hukosi ndege...nyinyi huko ni mara tatu kwa wiki na mnasema kuna jiji Huko na purchasing power kubwa...hamwezi jenga hata nyumba bora...
Bukoba Port...Ukitoa airport hakuna kingne cha kusema
Cheki slums kule...kama hii ndo miji unayotaka bora wahaya waendelee kujenga vijijini aisee hio ni aibuUkitoa airport hakuna kingne cha kusema
Mbona nakuomba picha ya cbd hutumii na unajiksushaCheki slums kule...kama hii ndo miji unayotaka bora wahaya waendelee kujenga vijijini aisee hio ni aibuView attachment 2569257
Mji sio kurundika concrete houses mjini kati bro...mji ni kuwa na facilities zinazofanya watu wayaishi maisha....Mbona nakuomba picha ya cbd hutumii na unajiksusha


Huna hoja ya kueleweka na hutaweza kuelewa kamwe endelea kujifariji na picha tu na sio uhalisia mtu yoyote mjinga kwa picha tu ataamn kijiji cha bukoba kimeendelea ila akichunguza atagundua sumbawanga na songea zipo juu ya bukobaMji sio kurundika concrete houses mjini kati bro...mji ni kuwa na facilities zinazofanya watu wayaishi maisha....
Mfano kama hiv....nenda kusini nzima uniletee uwanja kama huu....
Yaan huko kusini ikifika saa 1 hakuna mchezo wowote unaoendelea...
Bukoba main stadium...Kaitaba...mind you huu uwanja haumilikiwi na CCM ni uwanja wa manispaa.....upo ndan ya top five ya viwanja vilivyoko nchini....View attachment 2569284View attachment 2569285View attachment 2569286View attachment 2569290
Narudi pale pale leta facts kutoka vyanzo vinavyoaminika......wew sio great thinker....you don't talk like a man...mimi nimetoa facts, picha kibao tu kuonyesha Bukoba iko mbali kimaendeleo wew umeshika maneno yale yale week nzima na maneno yenyew ni titles tu wala sio content...Huna hoja ya kueleweka na hutaweza kuelewa kamwe endelea kujifariji na picha tu na sio uhalisia mtu yoyote mjinga kwa picha tu ataamn kijiji cha bukoba kimeendelea ila akichunguza atagundua sumbawanga na songea zipo juu ya bukoba
Bukoba ina kanisa kubwa EA, Bukoba ina bandari kubwa mbili, Bukoba ina kiwanda kikubwa cha Sukari hapa Tz, Bukoba inaongoza kwa kilimo cha ndizi, bukoba ina ziwa victoria, Bukoba ina mto kagera ambao ni mto maarufu sana DunianiUkitoa airport hakuna kingne cha kusema
Uwanja kama huu kusini nzima hakuna labda serikali ya samia iwajengee, huu uwanja ni unanyasi safi kama upo kwenye godoro la TanformMji sio kurundika concrete houses mjini kati bro...mji ni kuwa na facilities zinazofanya watu wayaishi maisha....
Mfano kama hiv....nenda kusini nzima uniletee uwanja kama huu....
Yaan huko kusini ikifika saa 1 hakuna mchezo wowote unaoendelea...
Bukoba main stadium...Kaitaba...mind you huu uwanja haumilikiwi na CCM ni uwanja wa manispaa.....upo ndan ya top five ya viwanja vilivyoko nchini....View attachment 2569284View attachment 2569285View attachment 2569286View attachment 2569290
Mnaishi maisha ya tabu sana na hizi bottleneck. 😁😁Hamna serikali yenye akili timamu itathubutu kuitenga Kanda ya ziwaView attachment 2569671
Ila ndio lango la magonjwa kuingia Tanzania 🤣🤣Bukoba ina kanisa kubwa EA, Bukoba ina bandari kubwa mbili, Bukoba ina kiwanda kikubwa cha Sukari hapa Tz, Bukoba inaongoza kwa kilimo cha ndizi, bukoba ina ziwa victoria, Bukoba ina mto kagera ambao ni mto maarufu sana Duniani
Uwanja bila Timu ni makumbusho 🤪🤪🤪Uwanja kama huu kusini nzima hakuna labda serikali ya samia iwajengee, huu uwanja ni unanyasi safi kama upo kwenye godoro la Tanform