KONK MASTER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,223
- 512
Kahama
Miji imeungana na juzi nilikuwekea plan ya kuhamishia maeneo ndani ya Jiji unaendelea kuuliza maswali ya kindezi 😁😁Sunk hivi jiji la mbeya linaanzia wapi adi wapi nataka kujua jiji kama jiji🙏🙏
Ila huu mji ni wa ajabu sana na mgumu kuuelewa na haujlikani wapi ni wapi?Miji imeungana na juzi nilikuwekea plan ya kuhamishia maeneo ndani ya Jiji unaendelea kuuliza maswali ya kindezi 😁😁
Mbeya Jiji linaloshwa kuanzia nyuma ya Nsalaga pale ukimaliza mlima Hadi Songwe Viwandani iliko Mbeya cement kote hapo Kati ni makazi na viwanda.
Songwe Airport kubadilishwa jina na kuwa Mbeya Airport
Utaekewaje na wewe unaishi huko zizini? 🤣🤣.Ila huu mji ni wa ajabu sana na mgumu kuuelewa na haujlikani wapi ni wapi?
Sitak kulielewa hilo li mji nakujaga nikiwa naenda kula ubaridi wa kule kitulo.Utaekewaje na wewe unaishi huko zizini? 🤣🤣
Mji umejengwa Kwa mbanano ata njia ni shida yaan hawaachiani space ya bajaji ni Chocho Kwa ChochoUtaekewaje na wewe unaishi huko zizini? 🤣🤣
Kwani Maswali hakunaga ubarudi 😁😁🤪🤪Sitak kulielewa hilo li mji nakujaga nikiwa naenda kula ubaridi wa kule kitulo.
Matajiri wakubwa wanalenga majiji makubwa ukanda huu wa EA, na Mwanza huwezi kuitenga kama unataka kufanya biashara.
Misungwi haiwezi kuwa kilofa hivi, hii labda ni misasi na misasi kuna majumba makali na barabara safi adi mlangoni, hii ni nsalaga.