Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Sasa huoni anatoka shambani huyo? Ndo maana nasema hamna akili...kwanza ana viatu na anafanya kazi nyinyi si mnasema sijui wavivu...na hapo nyumba kali na watoto wake wanaenda shule...hvyo ndo watu wa kagera walivyo...
Yani wew huna akili sasa mlivyosema rami mbk kijijin mlikuwa mnajua vijiji gan acha kujitoa akili nyumbu wew jiwe aliwasaisdia nyumbu wenzake ila bdo yamezubaa kiakili kazi kuzaliana kama panya
 
Mwekezaji
Najua unapenda mabus...utakuwa utingo labda...
Nilipanda hilo bus sijui golden deer mbele limeandikwa new force...aisee bus kama daladala no charging yaan ni vurugu tupu mnazidiwa na mabus yakawaida yanayoenda huko Bukoba kama travel partner...


Huyu happy nation kaleta bus luxury la Dar to Bukoba...bus lina kila kitu hadi choo ndani...free wifi nk nk
Haya ni mambo ya kawaida kwa miji ya kanda ya ziwa...wala hutasikia wahaya wanajisifia...pamoja ya kuwa na epicentre ya masifa nchi hii
Screenshot_20230328-221724.jpg
 
Najua unapenda mabus...utakuwa utingo labda...
Nilipanda hilo bus sijui golden deer mbele limeandikwa new force...aisee bus kama daladala no charging yaan ni vurugu tupu mnazidiwa na mabus yakawaida yanayoenda huko Bukoba kama travel partner...


Huyu happy nation kaleta bus luxury la Dar to Bukoba...bus lina kila kitu hadi choo ndani...free wifi nk nk
Haya ni mambo ya kawaida kwa miji ya kanda ya ziwa...wala hutasikia wahaya wanajisifia...pamoja ya kuwa na epicentre ya masifa nchi hiiView attachment 2569189
Mfa maji hachoki kutapatapa ww maskin usingeweza kupanda ABC
 
Kagera huto tugorofa tuko mashambani huko na nyingi ni makazi ya watu sio majengo ya biashara ndio maana Mji umedumaa.
Kwan nyie mnaishi kwenye majemgo ya biashara?

Mnafanya kazi kwenye maghorofa halafu mnalala kwenye vibanda vya slums vilivyojaa iringa na huko mbeya....


Hiv mtu kweli unaweza kuishi hapa kweli? Halafu unalisikia linakejeli watu wa bukoba kujenga Vijiji vyao kwa maghorofa....


Mjipende aisee...

Mbeya sasa
Screenshot_20230326-193712.jpg
 
Usiletee takwimu walizokusanya watu wanaohesbia mbk mabanda wansema nyumba leta picha za hayo magorofa ya kagera nyumbu huwa mnaaminishwa ujinga mnaamn
Tafiti hubishiwa na tafiti....

Ndo maana tunajadili hapa hatuchezi hapa....


TOA FACTS....achana mambo ya hisia....

NBS inasema kagera ina maghorofa 200 zaidi kuliko Iringa we unabisha? Toa tafiti yako sasa
 
Kwan nyie mnaishi kwenye majemgo ya biashara?

Mnafanya kazi kwenye maghorofa halafu mnalala kwenye vibanda vya slums vilivyojaa iringa na huko mbeya....


Hiv mtu kweli unaweza kuishi hapa kweli? Halafu unalisikia linakejeli watu wa bukoba kujenga Vijiji vyao kwa maghorofa....


Mjipende aisee...

Mbeya sasaView attachment 2569192
Mbeya na kibera tofauti yao ni location tu
 
Kwan nyie mnaishi kwenye majemgo ya biashara?

Mnafanya kazi kwenye maghorofa halafu mnalala kwenye vibanda vya slums vilivyojaa iringa na huko mbeya....


Hiv mtu kweli unaweza kuishi hapa kweli? Halafu unalisikia linakejeli watu wa bukoba kujenga Vijiji vyao kwa maghorofa....


Mjipende aisee...

Mbeya sasaView attachment 2569192
Hapa panaitwa, kabwe na uhindini kwambali naona mwanjelwa.
 
Tafiti hubishiwa na tafiti....

Ndo maana tunajadili hapa hatuchezi hapa....


TOA FACTS....achana mambo ya hisia....

NBS inasema kagera ina maghorofa 200 zaidi kuliko Iringa we unabisha? Toa tafiti yako sasa
Watasema mengine yapo chini ya ardhi.
 
Tafiti hubishiwa na tafiti....

Ndo maana tunajadili hapa hatuchezi hapa....


TOA FACTS....achana mambo ya hisia....

NBS inasema kagera ina maghorofa 200 zaidi kuliko Iringa we unabisha? Toa tafiti yako sasa
Watoa tafiti watu kama wew na ww unaweza kutoa na kama hayo magorofa yapo tuma picha tuyaone
 
Back
Top Bottom