Kahama VS Njombe/Mafinga

Mkoa mzma wa shinyanga una ghorofa 300 🤣🤣🤣🤣🤣alaf kuna mlemavu mmoja anajichetua huku kushinda na na ukanda wa magorofa nyanda za juu kusini
 

Attachments

  • inbound8387390829006072898.jpg
    253.6 KB · Views: 7
Kahama ikifka level hzi ndo ntakuja kubishana
 

Attachments

  • inbound1844410117893220418.jpg
    238.4 KB · Views: 7
Watu wanapambana kukusanya wewe unataka wachezee hela.
 
Bila pesa za Msaada za Mgodi Halmashauri za Tarime,Geita DC,Geita Tc ni kama makambi ya Wakimbizi. 😜😜

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…