Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Hao wachapakazi 80% ni wasukuma walizamia huko kwenye mashamb ya wavivu, tunalima huko tunapata pesa tunaenda kujenga mahotel kahama.
Kwa nini msichape kwenu huko kunakoongoza Kwa umaskini mje kuchapa Kwetu? 😁😁😁

Excuses as usual 🏃🏃
 
Kahama kuna fursa gan zaid ya biashara tu kaka au unatk useme kuchunga ng'ombe nayo ni fursa
Kanda ya ziwa tunakula mchele kutoka kahama, kahama ni jiji la biashara, kilimo, ufugaji, madini na utalii wa starehe kwa hapa Tanzania.
 
Nguruwe na gombe wanalipa usisahau na uvuvi ndo biashara zetu maana lake zone ni biashara na ndo tunapepea manispaa na majiji soon bukoba itatangazwa Jiji Kaen mkao wa kuskia Hilo pimbi nyie
Kama vinalipa mbona Bado mnaongoza Kwa umaskini Tanzania?
 
Kanda ya ziwa tunakula mchele kutoka kahama, kahama ni jiji la biashara, kilimo, ufugaji, madini na utalii wa starehe kwa hapa Tanzania.
Kama Hilo gulio ndio Jiji Lenu basi nyie ni certified idiots 😁😁
 
Huko huko mnakoyegemea kuishi Kwa chakula Cha njaa Cha Serikali 🙆🙆🙆

Jinga hili la Sengerema huko
Ndio sisi tunafunga,tunavua,na ndo biashara je huko Kuna Fursa gan mtu akija afanye si hamna mtaanza et alime viazi Sasa zao la kusubuli msimu ndo maana hamuendelei ila sisi huku masika kiangazi tunapeta TU maana kwetu ni biashara TU mbwa nyie
 
Punguani Hilo linaropoka ooh Sgr na blaa blaa kibao,hivi huyo hajui kwamba Tazara ipo toka miaka ya 70 na ni reli nzuri na Bora Toka zamani?

Eti dry port 😝😝, Tunduma iliyoko border na Kahama wapi Kuna Drypoint Og bila hata serikali kuhangaika na kujenga?.

Huyo kiasi anatakiwa kuelewa kwamba Tunduma inazidiwa mapato na Majiji,na Manispaa za Dar tuu tena baadhi sio Kigamboni na Mkoa wa Songwe ni namba 6 Kwa Kodi Tanzania na 90% ya pesa zinatoka Tunduma harafu analeta blaa blaa za kijinga hapa.
Kama Tazara ipo kwanini manalilia sgr kila wakati, hiyo tazara yenu imetia hasara hii nchi na hakuna faida yoyote huko limebaki kama tembo mweupe ndani ya pori.
 
Punguani Hilo linaropoka ooh Sgr na blaa blaa kibao,hivi huyo hajui kwamba Tazara ipo toka miaka ya 70 na ni reli nzuri na Bora Toka zamani?

Eti dry port 😝😝, Tunduma iliyoko border na Kahama wapi Kuna Drypoint Og bila hata serikali kuhangaika na kujenga?.

Huyo kiasi anatakiwa kuelewa kwamba Tunduma inazidiwa mapato na Majiji,na Manispaa za Dar tuu tena baadhi sio Kigamboni na Mkoa wa Songwe ni namba 6 Kwa Kodi Tanzania na 90% ya pesa zinatoka Tunduma harafu analeta blaa blaa za kijinga hapa.
Acha maneno leta data za mwak huu kama hiyo tunduma inafikisha ata 9 bilion kwa mwaka.
 
Wewe acha kuaibishwa Iringa na Vimiji vya kipumbavu kama Kahama sijui takataka gani huko Usukumani hakuna Mji wakulinganisha na Iringa..

Vimji vyao size yake ni Njombe,Mafinga, Makambako labda na Songea.
Kahama huwezi kulinganisha na mji ambao ukikohoa kidogo kamji kote k iringa kanasikika poleni sana nyie mbayuwayu.
 
Kahama huwezi kulinganisha na mji ambao ukikohoa kidogo kamji kote k iringa kanasikika poleni sana nyie mbayuwayu.
Kahama ina mambo mengi ya kujifunza kwa mkwawa city kuanzia usafi mpangilio uzuri nk ukibisha nakwambia unipe picha ya CBD
 
Back
Top Bottom