Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Kumbuka KAHAMA wilaya halafu njombe mkoa ila kahama inawakalisha hivo ngoja CBD itumwe
Unaongea Nini kuhusu njombe wew mkoa wa njombe umewakalisha mkoa mzima wa shinyanga Cha msingi leta CBD YA KAHAMA
Just imagine Kanda zote zijitegemee hivi kusini mtategemea Nini chanzo Cha mapato
Yan ww sijui unaongea nn juzi tu mmepewa mahindi ya msaada kutoka kusini Yan nyie mtakufa kama mbwa
 
Punguani Hilo linaropoka ooh Sgr na blaa blaa kibao,hivi huyo hajui kwamba Tazara ipo toka miaka ya 70 na ni reli nzuri na Bora Toka zamani?

Eti dry port 😝😝, Tunduma iliyoko border na Kahama wapi Kuna Drypoint Og bila hata serikali kuhangaika na kujenga?.

Huyo kiasi anatakiwa kuelewa kwamba Tunduma inazidiwa mapato na Majiji,na Manispaa za Dar tuu tena baadhi sio Kigamboni na Mkoa wa Songwe ni namba 6 Kwa Kodi Tanzania na 90% ya pesa zinatoka Tunduma harafu analeta blaa blaa za kijinga hapa.
kweli ufupi nyundo KAZI kweli Sasa TAZaRa unafaidika nayo ew pimbi
 
Unaongea Nini kuhusu njombe wew mkoa wa njombe umewakalisha mkoa mzima wa shinyanga Cha msingi leta CBD YA KAHAMA

Yan ww sijui unaongea nn juzi tu mmepewa mahindi ya msaada kutoka kusini Yan nyie mtakufa kama mbwa
Wilaya gan au mkoa gan tumepewa mahindi pia ndo ujiulize mahindi ni fursa za kujenga Kanda? Sisi lake zone ukiskia jina TU unajua Kila kitu kiufupi at tukipewa kuwa nchi tunajiweza asilimia mia
 
Unaongea Nini kuhusu njombe wew mkoa wa njombe umewakalisha mkoa mzima wa shinyanga Cha msingi leta CBD YA KAHAMA

Yan ww sijui unaongea nn juzi tu mmepewa mahindi ya msaada kutoka kusini Yan nyie mtakufa kama mbwa
Rudi nyuma hatua mbili utakutana na picha zote kabisa za mahoteli na CBD
WEwe huwezi jua maeneo inayopita hii reli wanajua faida zake
Hakuna Kila kitu jiulize kusini yote hamna uwanja wa ndege wa maana ata masoko nayo shida ad hayat aliwapendelea kawaoa kasoko kadogo makambako maana yake hakn frusa serikali itaharibu Hela cheki anga la kanda ya ziwa limejaa ndege na viwanja ad kahama upo uwanja wa ndege na zinatua
 
Rudi nyuma hatua mbili utakutana na picha zote kabisa za mahoteli na CBD

Hakuna Kila kitu jiulize kusini yote hamna uwanja wa ndege wa maana ata masoko nayo shida ad hayat aliwapendelea kawaoa kasoko kadogo makambako maana yake hakn frusa serikali itaharibu Hela cheki anga la kanda ya ziwa limejaa ndege na viwanja ad kahama upo uwanja wa ndege na zinatua
Cjakwambia nataka picha za hotel ila natak picha ya CBD ya kahama hotel zipo kila mkoa n
 
Rudi nyuma hatua mbili utakutana na picha zote kabisa za mahoteli na CBD

Hakuna Kila kitu jiulize kusini yote hamna uwanja wa ndege wa maana ata masoko nayo shida ad hayat aliwapendelea kawaoa kasoko kadogo makambako maana yake hakn frusa serikali itaharibu Hela cheki anga la kanda ya ziwa limejaa ndege na viwanja ad kahama upo uwanja wa ndege na zinatua
Soko la njombe hili haya naomb picha ya soko la unyumbuni huko
 

Attachments

  • inbound6440015229782700763.jpg
    inbound6440015229782700763.jpg
    67.1 KB · Views: 5
Leta soko kama hili mkoa wa shinyanga kama sio madereva wa ngombe tu
FB_IMG_16766126260119800.jpg

FB_IMG_16766126458904099.jpg
 
Kanda inayoongoza kuwa na washamba weng tz ni kanda ya ziwa kwa wasukuma
Ushamba nini? Huwa nawaona kama mazumbukuku, kila mkizidiwa mnaleta hoja za ushamba, kila mtu ni mshamba hapa dunia.

Maana ya ushamba ni kuwa mgeni juu ya jambo fulani au eneo fulani ma juu ya tamaduni, mila na desturi husika.
Ata mtu wa dar akija mbeya mtamuona mshamba coz atakuwa haujui A wala B ya sehemu husika.
 
Back
Top Bottom