Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Mtanyooka sana mbwa nyie
Halafu pia njoon kushangaa lake zone SGR ni fly over
Screenshot_20230220-133652.jpg
 
Acha ujuaji hilo dude mipa hotel ipo kahama mjini, nenda kajifungue naona uchungu umekushika.
Baada ya kubanwa mbavu na mkoa wa njombe hadi unathubutu kusema gorofa hili lipo shinyanga wakati lipo mwanza Nyerere road yan ww bado sana
 
Hutu tu vitu ndio mmeanza kutuona mwaka huu naona vinawatia uwendawazimu poleni sana kwa kuchelewa.
Nyie mlianza kutuona lini? 🤪🤪 Rais wenu alishindwa hata kuwamalizia lile hofu lenu bila Samia mungekoma..

Tunduma hospital
tunduma_town_council_167852809177255.jpg
tunduma_town_council_167852809177229.jpg
tunduma_town_council_1678528091772139.jpg
tunduma_town_council_1678528091772676.jpg
tunduma_town_council_1678528091772758.jpg
tunduma_town_council_1678528091772203.jpg
tunduma_town_council_1678528091772246.jpg
tunduma_town_council_1678528091772400.jpg
tunduma_town_council_167852809177289.jpg
tunduma_town_council_1678528091772281.jpg
 
Kanda ya ziwa Kila kitu kipo

Serengeti
Lake victory
Lubondo island national park
Sanane island reserve
Bismark rock
Minerals
International airport mwanza
Yet mnaongoza Kwa umaskini 😝😝

Shida hamna akili 🏃🏃
 
Toa hoja mm nimekup fact watalii wanakuja na ndo tumepiga JPM bridge, na SGR, maana Kuna hivyo nilitaja haya pimbi taka huko kwenu Kuna Nini Cha kumleta mzungu mbwa nyie
Tena hilo daraja litakuwa ni chanzo kingine cha utalii kanda ya ziwa, zile kanda za watu wenye chuki na kanda ya ziwa wajiandae kupata ugonjwa wa kideli.
 
Njombe ndio limkoa linaloongoza kwa watu wenye utapiamlo a viribatumbo na udumavu wa akili pamoj na mwili.
Kama wanautapiamlo wanakimbiza wangekuwa hawana ingekuaje? Kuwa na nywele nyingi sio kuwa na akili nyingi..

Kanda ya Ziwa inongoza Kwa Kansa,pale ocean Road mumejaa
 
Back
Top Bottom