Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Ndio lakin nn mnatuzidi pamoja na kuwa wajanja maana kam mngekuwa wajanja bas serikali ingekuwa yenu na miradi mikubwa yote ingekuwa hiko lakin now Kila kizr lazima kifike lake zone huko mkija huku mnaishia kushangaa mataa na miradi
Hao warugaruga wana ujanja gani zaidi ya kulima maparchichi na udumavu wa akili.
 
Kahama ina mambo mengi ya kujifunza kwa mkwawa city kuanzia usafi mpangilio uzuri nk ukibisha nakwambia unipe picha ya CBD
Kwan hujioni pimbi ew kama kahama ni wilaya ila iringa ni mkoa lakin bado mnahaha hujion kuwa ni pimbi jike
 
Huna ata aibu kusini nyenye shenzi, et mnajipambania kuna nini huko mlichojenga kwa nguvu zenu bila msaada wa serikali, leta hapa tuone.
Mbeya
Mwenda zake aliikuta kahama ikiwa tayali imekamilisha mchakato wa kua manispaa pamoja na ilemela,ila ye ndo alo zuia kwa sababu watu walimpigia kura nying lowasa,mwamba akachukia,akasitisha.anae bisha atafute hotuba ya mizengo pinda ya kuhitimisha bunge 2015,kupitia iyo hotuba wazili mkuu pinda alitangaza maeneo yalio pandishwa hadhi,kahama ikiwa imepandishwa hadhi ya manispaa pamoja na ilemela.ndio maana 2020 kahama walipiga kura nyingi kwa ccm mwamba akafurah ndo akaipa manispaa aloizui yeye mwenyewe.hata moshi wapige kura nying2 wata pewatu jiji,vigezo sio lazima vitimie vyote vingine vitatimia mbele ya safar.maana ukisema vigezo vilivyo vingi ni wajibu waselikali,wanachi wakitimiza upandewao selikali inabidi iwapatie hadhi usika wakati ikijipanga kutimiza vigezo vya upande wake.
Kaka umeongea point mfano kahama kuna vigezo haikukidh haswa maswala ya miundombinu ila waliipa ili ipambane mbele ya safari
 
Mwenda zake aliikuta kahama ikiwa tayali imekamilisha mchakato wa kua manispaa pamoja na ilemela,ila ye ndo alo zuia kwa sababu watu walimpigia kura nying lowasa,mwamba akachukia,akasitisha.anae bisha atafute hotuba ya mizengo pinda ya kuhitimisha bunge 2015,kupitia iyo hotuba wazili mkuu pinda alitangaza maeneo yalio pandishwa hadhi,kahama ikiwa imepandishwa hadhi ya manispaa pamoja na ilemela.ndio maana 2020 kahama walipiga kura nyingi kwa ccm mwamba akafurah ndo akaipa manispaa aloizui yeye mwenyewe.hata moshi wapige kura nying2 wata pewatu jiji,vigezo sio lazima vitimie vyote vingine vitatimia mbele ya safar.maana ukisema vigezo vilivyo vingi ni wajibu waselikali,wanachi wakitimiza upandewao selikali inabidi iwapatie hadhi usika wakati ikijipanga kutimiza vigezo vya upande wake.
Waambie hao wafa maji.
 
Kusini wakijengewa at shule wanapost platform zote ad unajua kweli Hawa zumbukuku maendeleo kwao yalichelew sana wanaona fahar kumbe wamehujumiwa muda ilipaswa wawe nazo ghorofa hizo miaka hyo
 
Ukichanganya vyote hvyo vimiji unapata jibu GREEN CITY
Sasa MBEYA hii nayoijua iliyojaa uchawi na ukabila ambayo Haina ata tawi la BANK OF TANZANIA ( BOT), hii ambayo imejaa tope hapselewek, mbeya yenye Barabara moja tu ya lami, au ipi hyo
 
Taka aina ya wagen mnaopat huko pimbi unajua nyie mnafaa kuwa vivutio vya watalii maana mambo yenu ni irregular shape pimbi og
Hao walugaliga huwa ni vivutio na wanavyovaaga mabwanga na walivyo wafupi 😂😂😂😂
 
Kama wanautapiamlo wanakimbiza wangekuwa hawana ingekuaje? Kuwa na nywele nyingi sio kuwa na akili nyingi..

Kanda ya Ziwa inongoza Kwa Kansa,pale ocean Road mumejaa
Hiyo ocean road imejaa watu wenye utindio wa ubongo kutoka njombe.
 
Sikia pimbi sisi huku mwanza tna flyover ya pedestrian pale MABATINI, pia tna pedestrian flyover pale FURAHISHA mkabala na rock city mall Sasa ukisema kuomba kupiga picha tunakuona zumbukuku maana kwetu sio vigen kabisa labda hko kwenu mlizundua lift mwaka juzi
Hivyo ulivyotaja ni vidogo sasa Mwanza kunaujenzi wa flyover ya sgr 1.2 km, a.k.a hatutaki mazoea.
 
Ndio maana takwimu zinawakaa kabisa nyie watu, udumavu na lishe duni zinawafanya muwe na upungufu wa akili.

Nakutoa tongotongo wewe kisabengo, mbuga serengeti ndio namba moja afrika, mbuga hii ni sawa na mbuga zote za Tanzania na chenji inabaki.
Mwambie huyo kenge tatizo ni wafupi mno kama pimbi
 
Back
Top Bottom