Mussa Montelli
Senior Member
- Jul 18, 2022
- 188
- 81
Haya naomb CBD ya kahama broPengine hujui at maana ya CBD 😂 Maana kama unajua usingesema utumbo Kwa sababu Kila wilaya adi vijiji vina CBD
Haya naomb CBD ya kahama broPengine hujui at maana ya CBD 😂 Maana kama unajua usingesema utumbo Kwa sababu Kila wilaya adi vijiji vina CBD
Ona huyu mhehe usipanik utajinyonga Bure, maana kahama CBD na mitaa Kwa ujumla Iko na lami za kutosha na watu hawalali biashara 24hrs uliza wahehe waliopo kahama wakujibu🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Alaf unasema kahama ni mji hv unaakili timamu maana mji lzma uwe na CBD yake sasa mji unakuwa kama mtaa wa kihesa pale iringa town
Haya naomb CBD ya kahama bro
Usipotoshe uma,kahama mc ina kata 20 na siyo 11 kama unavyo dai wew.kahama wilaya ina halmashauli 3 , ambozo ni kahama mc kata 20, ushetu kata 20,msalala kata 18. idad ya watu ni milion 1 na lak2.Iringa imeizd kahama ukubwa wa mji iringa mji una kata 18 kahama kata 11 ni level za mafinga yenye kata 9 iringa imeizd kahama usafi mpangilio wa mji na huduma za kijamii mfano mashule hospital na elimu,miundombinu pia hali ya hewa ya kusini huwez kufananisha na lake zone
Naomb uthibitisho wa hiyo takwimuUsipotoshe uma,kahama mc ina kata 20 na siyo 11 kama unavyo dai wew.kahama wilaya ina halmashauli 3 , ambozo ni kahama mc kata 20, ushetu kata 20,msalala kata 18. idad ya watu ni milion 1 na lak2.
Usiwe kilaza broKahama kuna fursa gan zaid ya biashara tu kaka au unatk useme kuchunga ng'ombe nayo ni fursa
Unataka uthibitisho pimbi ew huu hapaNaomb uthibitisho wa hiyo takwimu
Hizi Ndo hoteli mzee leta za mkoa wa shinyanga kama hazi fanani na lodge njombe region ni fireNani kapost mipa hoteli Sasa na Kam imepostiwa ni bahat mbaya but kahama Ina vitu na hoteli kubwa sana akina mond,alkiba,na wengine huja kpiga show kwann isiwe njombe?
Nikikuita mpumbavu utalaumu? Jibu swali Kwa vyote hivyo Kahama inaizidi nini Tunduma? Au hivyo vimewasaidiaje hapo gulioni?Kahama inaizidi sio TU tunduma mkoa wote wa njombe na kusini Kwa ujumla
1;;Kahama Kuna Bandari kavu ipo isaka,tren hushusha mizigo na magari yote ya Burundi,Rwanda,Kongo,Kenya na Uganda,
2:kahama Kuna SGR
3:Kuna mgodi buzwagi
4;kahama mji wa kibiashara na Tanzania nzima miji ya biashara ndo yenye maendeleo kuliko miji yote
Staki blaa blaa leta hospital ya gorofa 6 kama hiyo huko Vijijini kwenuHyo inakalishwa na hospitali ya mara pekee hujaja mwanza,, nyie mmejengewa juzi na hayat Kwa huruma lakin sisi Jiji lipo na hospitali kubwa kabisa ukiacha muhimbili inafata BUGANDO lakin pia tunayo ya sekou toure nayo ni zaidi ya hyo yenu
Haha CBD inaandaliwa hahaha kwel vitukoKuwa mpole itatumwa inaandaliwa
Sasa huko ni Rural MbambaBay Nyasa ila inakimbiza huoni kwamba nyie ni maskini?Ila kwakweli Sasa hyo hoteli haifikii at marine hoteli ya wilaya kahama
Kumbeken kahama wilaya halafu njombe mkoa lakin still doro
Unatma marudio ndo maana nmekwambia soma thread za Jana utaona Kila kitu tatizo nyie watu wafupi akili zenu fupi sanaHizi Ndo hoteli mzee leta za mkoa wa shinyanga kama hazi fanani na lodge njombe region ni fireView attachment 2545814View attachment 2545815View attachment 2545823View attachment 2545826View attachment 2545828View attachment 2545829View attachment 2545816View attachment 2545817View attachment 2545819View attachment 2545821
H
Kaka mbona CBD ya kahama hautumi au unasubl kuedit picha kwanzaUnatma marudio ndo maana nmekwambia soma thread za Jana utaona Kila kitu tatizo nyie watu wafupi akili zenu fupi sana
Inakimbiza Nini sasa at kwa mji wa mwadui pekee haifikiiSasa huko ni Rural MbambaBay Nyasa ila inakimbiza huoni kwamba nyie ni maskini?
Inakimbiza Nini sasa at kwa mji wa mwadui pekee haifikii
Kahama Wilaya sio Manispaa tena? 🤪🤪Kumbuka KAHAMA wilaya halafu njombe mkoa ila kahama inawakalisha hivo ngoja CBD itumwe
Sensa 2012Naomb uthibitisho wa hiyo takwimu
Leta CBD kahama
Kwa MUJIBU wakoKahama Wilaya sio Manispaa tena? 🤪🤪