Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Mji wa biashara usio na mapato ya maana ni gulio la Kijiji 😝😝

Ndio maana hakuna hoteli Bali Kuna ma lodges maana watu hawana pesa ni wachuuzi
Mawazo mgando au umedandia Uzi bila kusoma Rudi nyume hatua moja tu utaona Kila kitu
 
Huo ni utani na sio uhalisia kama itashindwa kufutwa tanga kwenye list ya majiji basi mbeya haiwez kufutwa
Mbeya ilipewa hadhi ya Jiji Ili kusionekane ukanda maana kusini pekee Iko doro Kwa Kila kitu hivo wakasema acha tuipe mbeya wafarijike
 
Mbeya ilipewa hadhi ya Jiji Ili kusionekane ukanda maana kusini pekee Iko doro Kwa Kila kitu hivo wakasema acha tuipe mbeya wafarijike
Ingekuwa unachoongea ni kwel basi ningeumia ila kwakuwa ni jokes acha tuendelee kucheka siku ziende
Porojo hazina tija tajen fursa za jombe Nas tutaje za kahama
Njombe kuna biashara ya madini na kilimo na kahama kuna biashara ya madini
 
Kahama ni Manispaa jina tuu aliyowapa Jiwe ila Haina lolote..

Mwisho wewe unadhani Kahama inazidi Tunduma Kwa lipi?

Kahama inaizidi sio TU tunduma mkoa wote wa njombe na kusini Kwa ujumla

1;;Kahama Kuna Bandari kavu ipo isaka,tren hushusha mizigo na magari yote ya Burundi,Rwanda,Kongo,Kenya na Uganda,
2:kahama Kuna SGR
3:Kuna mgodi buzwagi
4;kahama mji wa kibiashara na Tanzania nzima miji ya biashara ndo yenye maendeleo kuliko miji yote
 
Ingekuwa unachoongea ni kwel basi ningeumia ila kwakuwa ni jokes acha tuendelee kucheka siku ziende

Njombe kuna biashara ya madini na kilimo na kahama kuna biashara ya madini
Sio jokes ew ukiangalia mbeya inafanana kuwa Jiji ukweli Hilo ni Yale ya nipen kura nitangaze mkoa wenu kuwa jiji
 
Sio jokes ew ukiangalia mbeya inafanana kuwa Jiji ukweli Hilo ni Yale ya nipen kura nitangaze mkoa wenu kuwa jiji
Nipe sifa za kuwa jiji na huwez kuutangaza mkoa au mji wkt hata wew umeshindwa kujitangaza anza kutangaza mji wenu wa washamba huko ndo uje kwa wajanja
 
Sio jokes ew ukiangalia mbeya inafanana kuwa Jiji ukweli Hilo ni Yale ya nipen kura nitangaze mkoa wenu kuwa jiji
Kama bil hayat kujenga hiyo hospital ya ghorofa na hiyo lift yenu ya mwaka 2014 mngeficha wap sura maana now mnaona mmeupiga mwingi kumbe ushamba tembeeni majiji muone
 
Mbeya sifa zokes mbeya Haina zote

Quality of infrastructure and planning
Congestion/ population density

Nipe sifa za kuwa jiji na huwez kuutangaza mkoa au mji wkt hata wew umeshindwa kujitangaza anza kutangaza mji wenu wa washamba huko ndo uje kwa wajanja
Ote
 
Ila kwakweli Sasa hyo hoteli haifikii at marine hoteli ya wilaya kahama

Kumbeken kahama wilaya halafu njombe mkoa lakin still doro
Mkoa wa shinyanga hili ndo gororo refu wanaita tower ndo mnakuja kushinda na mkoa wa njombe asee shinyanga maendeleo bado Sana mnasafari ndefu Sana kuikuta njombe afu jamaa bila aibu anaposti gorofa za mwanza eti ipo shinyanga
hqdefault(9).jpg
maxresdefault(16).jpg
 
Back
Top Bottom