Kahama VS Njombe/Mafinga

Mkoa wa njombe umesha kuwa connected na lami wilaya zake zote hii ndo maana halisi ya mkoa kufunguka zaidi na kuwa organised
 
Barabara za lami Hadi Vijijini via Agri Connect km 21.

Nyanda za Juu Kuna mambo ni


 
Mkuu kweli unapajua vizuri sana njombe
 
Kama haujui mkoa wa njombe Bora ukae kimya swala uwekezaji watu tu wanaotoka mkoa wa njombe wanguvu kubwa ya uwekezaji na bado Kuna kampuni nyingi za kigeni zimengia kuwekeza njombe bila shida yoyote na biashara zinakwenda vizuri Sana na makampuni Yanazidi kuja tu ni mkoa ambao umebarikiwa kuwa na rasilimali nyingi na unamiundo mbinu mizuri ya usafirishaji na ni miongoni mwa mikoa michache inayo kuwa kwa Kasi hapa Tanzania kulingana na uboreshaji wa miundombinu na position ulipo na hayo ni baadhi tu ya makampuni ya kigeni yaliyowekeza mkoa wa njombe
Mkuu kweli unapajua vizuri sana njombe
 
W

Wakati Kahama wamejenga kwa mapato ya ndani jengo la zaidi ya B 2.6 bila msaada wa TAMISEMI. Halafu hata hawalingi sasa
View attachment 2518719
Sasa wewe una matatizo yaani hako Ka hospital kabaya ka 2.6 ndio kanakushushua?

Tunajenga madarasa ya magorofa ya zaidi ya bil.2
Soko la Dagaa Kwa 1.5 Bil.
Maegesho na parking.lots za bil.1.6
Machinga complex ya 2.3bln
Stand bil.1.6

Hayo mabilioni yote ni Mapato ya ndani..

Mwisho kwenye Barabara za Tarura Sasa Bajeti yetu imetoka 1b Hadi 4bln ,tuletee Bajeti ya Kahama kwenye Barabara
 
Baadhi ya miradi ya afya na elimu inayotekelezwa eneo hili ambalo zamani ilikuwa wilaya moja ya njombe na ndo eneo ambalo linakusanya mapato zaidi ya billion 20 nje ya wilaya za makete na ludewa
 
hapa Sasa roho yangu imetulia nasubiria kuona Sasa.

Fly over Jijini Mbeya

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…