instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,544
- 19,490
Hapo mjini kati karibu na msikiti wao wa jamia au ijumaa....mbele ya hospital ya mkoaIm
Inasimikwa mitaa gani Boss??
Hapo mjini kati karibu na msikiti wao wa jamia au ijumaa....mbele ya hospital ya mkoaIm
Inasimikwa mitaa gani Boss??
Na pia kuna conference centre kubwa sana inajengwa maeneo ya RumuliIm
Inasimikwa mitaa gani Boss??
Hii ni Tanzania?
Yes mkoa wa njombeHii ni Tanzania?
Arusha is the best ila Sina ndoto za kuishi Home sweet home According to huu Acha niifikirie kahama mh ila nasikia shinyanga Kuna wachawi balaa amtaki wageni Nini niende zangu tu Goba instead of kigamboni




na wewe bila shaka umeshkuwa mchawiWewe jamaa tofauti na mabasi huwa kitu kingine cha kujivunia MbeyaWalau mnaanza kujitahidi ila Bado sana kufikia level hiziView attachment 2512490View attachment 2512489View attachment 2512492View attachment 2512491View attachment 2512493View attachment 2512494View attachment 2512497View attachment 2512495View attachment 2512496
Sisi tupo kwenye bidhaa za bustani,mbao,chai,Makaa ya mawe,nafaka nk..nadhani umeoverlook.Parachichi Vs Dhahabu, tukiwaambia barabara za Njombe zinatengenezwa kwa dhahabu ya Kahama mnasonya, sasa kataeni na hizi data hapa.
View attachment 2508491
Bado Samaki na mazao yake imemeza mbao na chai zote za Njombe, Tanzanite na yenyewe inapumulia mashine hukoo 😛 😛 😛 😛
Tukiwaambia uchumi wa nchi ni dhahabu muwe mnaelewa....

Huoni zote hzo ni manispaa njombe ni mji kwa haziwezi kuwa level mojaKwa hiyo Kwa Sasa Kanda ya Ziwa yote mnashindana na Njombe si ndio?
Ongeza pale kwamba Njombe vs Kahama/Shy/Mwanza/Bukoba![]()
Tunduma TC imetoa ombi rasmi Kwa Serikali Ili kuipandisha hadhi kuwa Manispaa..
Si Haki Halmashauri ya Mji yenye Makusanyo zaidi ya Bil.14 Kwa mwaka kuwa na hadhi ya Mji..

Kwenye Mabasi tulishavuka kitambo
Maandalizi ya ujenzi wa mgodi mkubwa wa dhahabuTunduma Hospital

