Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

20230205_225541.jpg
20230205_225026.jpg
20230205_230329.jpg
 
Parachichi Vs Dhahabu, tukiwaambia barabara za Njombe zinatengenezwa kwa dhahabu ya Kahama mnasonya, sasa kataeni na hizi data hapa.
1675688436922.png


Bado Samaki na mazao yake imemeza mbao na chai zote za Njombe, Tanzanite na yenyewe inapumulia mashine hukoo 😛 😛 😛 😛

Tukiwaambia uchumi wa nchi ni dhahabu muwe mnaelewa....
 
Parachichi Vs Dhahabu, tukiwaambia barabara za Njombe zinatengenezwa kwa dhahabu ya Kahama mnasonya, sasa kataeni na hizi data hapa.
View attachment 2508491

Bado Samaki na mazao yake imemeza mbao na chai zote za Njombe, Tanzanite na yenyewe inapumulia mashine hukoo 😛 😛 😛 😛

Tukiwaambia uchumi wa nchi ni dhahabu muwe mnaelewa....
Bahati nzuri Mgodi wa pili Kwa ukibwa wa dhahabu uko Chunya Mbeya,Chunya ni namba 2 baada ya Kahama..

On top of that Kuna makaa ya mawe,kokoa,mbao,bidhaa za matunda,nafaka bila kusahau Madini mengine, vyote hivyo ni chata Nyanda za Juu Kusini.

2023
 
Bahati nzuri Mgodi wa pili Kwa ukibwa wa dhahabu uko Chunya Mbeya,Chunya ni namba 2 baada ya Kahama..

On top of that Kuna makaa ya mawe,kokoa,mbao,bidhaa za matunda,nafaka bila kusahau Madini mengine, vyote hivyo ni chata Nyanda za Juu Kusini.

2023

Mgodi wa pili, huoni hata aibu, kawadanganye Wagagaigikoko wenzako.
1675689795002.png

Na bado inakuja Nyanzaga ndio utakuwa mgodi mkubwa kuliko yote Tanzania hii 23.4 km square.....tunaawaambia tena Souther Highland mnapata barabara kwa ufadhili wa dhahabu za LZ
 
Mgodi wa pili, huoni hata aibu, kawadanganye Wagagaigikoko wenzako.
View attachment 2508517
Na bado inakuja Nyanzaga ndio utakuwa mgodi mkubwa kuliko yote Tanzania hii 23.4 km square.....tunaawaambia tena Souther Highland mnapata barabara kwa ufadhili wa dhahabu za LZ
Ningeshangaa coz kuna takwimu nilisoma GGM ni ya Pili Africa baada ya kampuni iliyopo Jberg
 
Mgodi wa pili, huoni hata aibu, kawadanganye Wagagaigikoko wenzako.
View attachment 2508517
Na bado inakuja Nyanzaga ndio utakuwa mgodi mkubwa kuliko yote Tanzania hii 23.4 km square.....tunaawaambia tena Souther Highland mnapata barabara kwa ufadhili wa dhahabu za LZ
Kahama Kwa Sasa hakuna Mgodi unaofanya kazi so Mgodi wa pili baada ya GGM ni WA Chunya.

 
Back
Top Bottom