Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,310
- 5,968
Naona umekuja Kwa jina jingine...
Utakoma tu hapa
Naona umekuja Kwa jina jingine...
Kajipange upyaNaona umekuja Kwa jina jingine...
Utakoma tu hapaView attachment 2512387View attachment 2512388View attachment 2512389
Umefufua parody??? wacha tuwashtue JamiiForums wakulime block jingine 😄 😄 😄Kwa hiyo Kwa Sasa Kanda ya Ziwa yote mnashindana na Njombe si ndio?
Ongeza pale kwamba Njombe vs Kahama/Shy/Mwanza/Bukoba![]()
Ingizo jipya




we fala kweli waambie wa upgrade systems zao nimecheka kifala 

Kwa hiyo Sunkcost ndio hatuko nae tena???we fala kweli waambie wa upgrade systems zao nimecheka kifala
Mumeanza kuomba Msaada Kwa mods ,ngoja niendelee kuwatandika vitasa .
Imemenywa kwenye makaratasi.kwa Ajili ya MbeyaView attachment 2512412
Wamempa ban,atakuwepo mwisho wa mweziKwa hiyo Sunkcost ndio hatuko nae tena???


Hustler fundPesa gani? Mnagawiwa bure
Sidhani kama hyo video inauma kuliko hizi habariKwa video hii lazima roho ziwaume.
Bil.100 zinamwagwa kwenye Maji Jijini Mbeya

Musoma to mwanza kitu piruuAwamu zote 3 zitagharimu bil 250,Maji yatafika Hadi Songwehttps://www.instagram.com/reel/CoaGEiOAbIj/?igshid=YmMyMTA2M2Y=




Wao pazuri aisee....This is shycity huwez pata sehem kama hii huko kwenu njombeView attachment 2511347
Sunk cost fallacy kwenye ubora wako.
Wewe huku tulishavuka kitambo sanaSidhani kama hyo video inauma kuliko hizi habariView attachment 2512448View attachment 2512450View attachment 2512451View attachment 2512452
Inasimikwa mitaa gani Boss??Bukoba inakua kimya kimya....waislamu wa Bukoba wameamua...
Kwa wale wasiojua Bukoba kuna ushindani mkubwa wa kimaendeleo hasa kati ya dini tatu za Catholics, Lutherans na Islam...wote wanashindana kwa vitega uchumi...
1. Tayari wakatoliki wanajenga conference centre na pastoral centre kubwa hapo Bk mjini kati..picha nitazileta...bila kusahau kanisa lao kuu ambayo ni kama landmark ya mji wa bk
2. Lutheran wana jengo lao la kitega uchumi hapo mjini kati
3. Sasa waislam baada ya kufungua msikiti wao kupitia istiqaama na shule ya Jaffery sasa wanakuja na shopping centre
Kesho wanaweka jiwe la msingi....na ni katikati ya mji kabisa....
Bakwata kagera shopping centre...ujenzi unaanza keshoView attachment 2512465View attachment 2512466View attachment 2512467View attachment 2512468View attachment 2512469View attachment 2512470
Walau mnaanza kujitahidi ila Bado sana kufikia level hizi
View attachment 2512490View attachment 2512489View attachment 2512492View attachment 2512491View attachment 2512493View attachment 2512494