Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Naona umekuja Kwa jina jingine...
Utakoma tu hapa
20230210_103702.jpg
20230205_135945.jpg
20230207_234705.jpg
 
Awamu zote 3 zitagharimu bil 250,Maji yatafika Hadi Songwehttps://www.instagram.com/reel/CoaGEiOAbIj/?igshid=YmMyMTA2M2Y=
 
Bukoba inakua kimya kimya....waislamu wa Bukoba wameamua...

Kwa wale wasiojua Bukoba kuna ushindani mkubwa wa kimaendeleo hasa kati ya dini tatu za Catholics, Lutherans na Islam...wote wanashindana kwa vitega uchumi...
1. Tayari wakatoliki wanajenga conference centre na pastoral centre kubwa hapo Bk mjini kati..picha nitazileta...bila kusahau kanisa lao kuu ambayo ni kama landmark ya mji wa bk
2. Lutheran wana jengo lao la kitega uchumi hapo mjini kati
3. Sasa waislam baada ya kufungua msikiti wao kupitia istiqaama na shule ya Jaffery sasa wanakuja na shopping centre

Kesho wanaweka jiwe la msingi....na ni katikati ya mji kabisa....

Bakwata kagera shopping centre...ujenzi unaanza kesho
Screenshot_20230209-182917.jpg
Screenshot_20230209-182925.jpg
Screenshot_20230209-183011.jpg
Screenshot_20230209-183112.jpg
Screenshot_20230209-183116.jpg
Screenshot_20230209-183151.jpg
 
Im
Bukoba inakua kimya kimya....waislamu wa Bukoba wameamua...

Kwa wale wasiojua Bukoba kuna ushindani mkubwa wa kimaendeleo hasa kati ya dini tatu za Catholics, Lutherans na Islam...wote wanashindana kwa vitega uchumi...
1. Tayari wakatoliki wanajenga conference centre na pastoral centre kubwa hapo Bk mjini kati..picha nitazileta...bila kusahau kanisa lao kuu ambayo ni kama landmark ya mji wa bk
2. Lutheran wana jengo lao la kitega uchumi hapo mjini kati
3. Sasa waislam baada ya kufungua msikiti wao kupitia istiqaama na shule ya Jaffery sasa wanakuja na shopping centre

Kesho wanaweka jiwe la msingi....na ni katikati ya mji kabisa....

Bakwata kagera shopping centre...ujenzi unaanza keshoView attachment 2512465View attachment 2512466View attachment 2512467View attachment 2512468View attachment 2512469View attachment 2512470
Inasimikwa mitaa gani Boss??
 
Back
Top Bottom