Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Kwan ww sio Yeye
Ndio sio yeye

Updates Mwanza Jiji(Nyamagana na Ilemela) imeshindwa kufikisha Wakazi Mil.moja,jumla ni 830,000 tuu..

Mbeya nayo imeshindwa kufikisha Wakazi Laki tano,wako 468,000 tuu..

Halmashauri zingine Bado hazijafanya updates kwenye website zao ikiwemo Dodoma cc na Arusha Cc
 
Kahama,Njombe nk fanyeni updates ya idadi ya watu kwenye Miji Yenu..

Tunduma TC Ina Wakazi 180,000 kutoka Wakazi 98,000 (2012)
 
Ndio sio yeye

Updates Mwanza Jiji(Nyamagana na Ilemela) imeshindwa kufikisha Wakazi Mil.moja,jumla ni 830,000 tuu..

Mbeya nayo imeshindwa kufikisha Wakazi Laki tano,wako 468,000 tuu..

Halmashauri zingine Bado hazijafanya updates kwenye website zao ikiwemo Dodoma cc na Arusha Cc
Endelea kujidanganya ,, takwimu za mwaka 2016 ...be aware nbs wanatoa takwimu mwezi wa tatu ....hamna halmashauri yenye data za watu mpaka sasa
 
Ndio sio yeye

Updates Mwanza Jiji(Nyamagana na Ilemela) imeshindwa kufikisha Wakazi Mil.moja,jumla ni 830,000 tuu..

Mbeya nayo imeshindwa kufikisha Wakazi Laki tano,wako 468,000 tuu..

Halmashauri zingine Bado hazijafanya updates kwenye website zao ikiwemo Dodoma cc na Arusha Cc
Una uhakika mwanza jiji ni Nyamagana na ilemela?..


Mimi najua mwanza jiji ni nyamagana peke yake....ilemela ni manispaa inajitegemea...

Wew hiyo mwanza jiji gani unaongelea....


Mwanza jiji+ ilemela watu million wanafika na kuzidi....
 
Una uhakika mwanza jiji ni Nyamagana na ilemela?..


Mimi najua mwanza jiji ni nyamagana peke yake....ilemela ni manispaa inajitegemea...

Wew hiyo mwanza jiji gani unaongelea....


Mwanza jiji+ ilemela watu million wanafika na kuzidi....
Ingia kwenye tovutiView attachment 2513609
Screenshot_20230211-141027.jpg


Harafu Mwanza itoe wapi hao mil.1 wakati Mkoa mzima ongezeko halijafika hata mil.1?
 
Endelea kujidanganya ,, takwimu za mwaka 2016 ...be aware nbs wanatoa takwimu mwezi wa tatu ....hamna halmashauri yenye data za watu mpaka sasa
unajifariji sio?

Hizo takwimu ziko sahihi Mzee,wame update .

Swala la NBS kutoa takwimu mwezi wa 3, Wala halizuii kujua hesabu ya watu baada ya sensa Kwa Kila ngazi..

Kitakachotolewa mwezi wa 3 ni uchambuzi wenye mambo mengi sio ya idadi ya watu kwenye Miji pekee
 
unajifariji sio?

Hizo takwimu ziko sahihi Mzee,wame update .

Swala la NBS kutoa takwimu mwezi wa 3, Wala halizuii kujua hesabu ya watu baada ya sensa Kwa Kila ngazi..

Kitakachotolewa mwezi wa 3 ni uchambuzi wenye mambo mengi sio ya idadi ya watu kwenye Miji pekee
Kwa taarifa yako ,,,hyo figure ilikuwepo Toka mwaka Jana 2021 ..,,,na hizo ni estimate za mwaka 2016 ...
 
Kwa taarifa yako ,,,hyo figure ilikuwepo Toka mwaka Jana 2021 ..,,,na hizo ni estimate za mwaka 2016 ...
Acha uongo wewe,mwaka 2023 waweke estimates za 2016?

Acha utaahira,ambao hawaja update taarifa zao wameweka figures za sensa ya 2012
 
Mwaka huu wa 2022/23 , Halmashauri za Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini hazishikiki Kwa mapato.

Kyela DC,Huku ndiko tunakotoa pesa,hakuna TRQ hapo Bali wakulima wamezivuna
Screenshot_20230211-121833.jpg
 
Acha uongo wewe,mwaka 2023 waweke estimates za 2016?

Acha utaahira,ambao hawaja update taarifa zao wameweka figures za sensa ya 2012
Hamna takwimu za sensa hii Kwa level ya halmashauri ambazo zimetoka ......Hadi nbs watoe kwanza mwezi march
 
Hamna takwimu za sensa hii Kwa level ya halmashauri ambazo zimetoka ......Hadi nbs watoe kwanza mwezi march
Sasa wewe unasubiria za kutoka NBS,hivi Waliokuwa wanahesabu Kwa ngazi za Halmashauri hawana takwimu?

Kwamba unadhani walipohesabu zilienda Moja kwa Moja NBS na Halmashauri hazina au? Kila Halmashauri Ina code namba zake na hivyo takwimu zipo ila kinachosubiliwa formalities tuu..

Nimekwambia NBS watakapoa hio March hawatoi idadi ya watu kwenye Miji tuu Bali watakuja na uchambuzi mwingine
 
Nina screenshot ya tarehe 11 august ya nyamagana View attachment 2513669
Basi ngoja tusubirie ila nakuhakikishia Mwanza kamwe haiwezi kuvuka 800,000 na Kwa sababu hata ongezeko la Mkoa kiujumla ni chini ya mil.1.

Nakuhakikishia Dodoma ndio itanufaika pakubwa na ongezeko la watu maana ndio Mkoa pekee ambao umeongea wakazi wake Kwa zaidi ya mil.1 na watu si chini ya 300k wamehamia Dodoma Mjini.
 
Back
Top Bottom