Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

20230204_165627.jpg
20230204_165631.jpg
20230204_165636.jpg

Kahama
 
Njombe Town Council (Halmashauri ya mji Njombe) unataka upambane vs Kahama Municipal Council - Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

Hivi kweli Halmashauri ya Mji ipambane na Manispaa?
Shangaa na wewe,Njombe imezidi Kahama MC Kila kitu kasoro idadi maskini mjini na mapato tuu.

Wewe Kwa akili Yako Town inayo host Makao Makuu ya Mkoa inaweza lingana na Hilo gulio?

Njombe
20221231_123417.jpg
20221231_123455.jpg
20221231_125002.jpg
 
Hivi watu wa nyanda za juu kusini na kanda ya ziwa mi lini mtaacha ushamba? Lini mtastaarabika? Mara mshabikie mabasi sauli, Golden Deer sijui NewFocrcw, sijui Ally's Stars. Mnashbikia na kubet kwasababu ya mali za wanaume wenzenu. Mara ligi katika miji, mbona wenzenu wa kaskazini huwezi kuwapata ktkt huu ushamba wenu? Ni kwamba hayo mambo ndiyo mmeyajua siku za hivi karibuni? Kweli umaskini unawasumbua na udumavu wa akili. Njombe na Mafinga nayo ni miji ya kuja kuiandika huku JF? Ni kwamba hamjatembea kabisa. Mafinga ule ni mji mi mbona naona sqwatas tu, hata Njome mji uko wapi, mkiona jengo moja tu mnakuja kulirusha. Acheni ushamba ficheni huu ujinga wenu. Ondoeni hii thread imekuwa kichefuchefu maana ni muda mrefu mnairudisha kila mara, ficheni hii aibu.
Finishing inaendelea makambako tc
View attachment 2506106
uli
 
Hivi watu wa nyanda za juu kusini na kanda ya ziwa mi lini mtaacha ushamba? Lini mtastaarabika? Mara mshabikie mabasi sauli, Golden Deer sijui NewFocrcw, sijui Ally's Stars. Mnashbikia na kubet kwasababu ya mali za wanaume wenzenu. Mara ligi katika miji, mbona wenzenu wa kaskazini huwezi kuwapata ktkt huu ushamba wenu? Ni kwamba hayo mambo ndiyo mmeyajua siku za hivi karibuni? Kweli umaskini unawasumbua na udumavu wa akili. Njombe na Mafinga nayo ni miji ya kuja kuiandika huku JF? Ni kwamba hamjatembea kabisa. Mafinga ule ni mji mi mbona naona sqwatas tu, hata Njome mji uko wapi, mkiona jengo moja tu mnakuja kulirusha. Acheni ushamba ficheni huu ujinga wenu. Ondoeni hii thread imekuwa kichefuchefu maana ni muda mrefu mnairudisha kila mara, ficheni hii aibu.

uli
Tukana walioanzisha Uzi usitutukane wote tafadhari kuwa na adabu. Hawa akina fala sunk kila siku wanatamba humu tumeamua kuwajibu hatimaye. So, kuwa mwelewa.
 
Back
Top Bottom