Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

FB_IMG_16755774735529061.jpg
FB_IMG_16755766379959198.jpg
banner-4.jpg
11-16.jpg
FDGWihCXoAIjyK1.jpg
 
Barabara ya zege ludewa tayari kwa kuingia magari na kufungua fursa mpya ya migodi njombe ambapo tayar nje ya chuma na makaa ya mawe Kuna dhahabu ,Shaba na manganese yamegundulika njombe region mkoa unakuja kasi ya 5G
FB_IMG_16757340856327748.jpg
FB_IMG_16755770785740455.jpg
FB_IMG_16755766733581043.jpg
 

Attachments

  • FB_IMG_16757340856327748.jpg
    FB_IMG_16757340856327748.jpg
    32.5 KB · Views: 8
Mwaka 2011 hii ilikuwa wilaya moja ya njombe dc kabla mkoa haijaanzishwa kutokana na Kasi ya ukuaji imezaa halmashauri tatu ambazo kutoka halmashauri moja kwenda nyingi ni km 30 ni eneo lenye ukubwa wa km za mraba 8000 plus sawa na wilaya ya mufindi ila ndo eneo lenye watu wengi kimkoa kama laki sita plus
Fig1-The-location-of-Mjimwema-in-Njombe-Tanzania_Q640.jpg

A-map-showing-the-study-districts-and-their-respective-wards-in-Njombe-region-Tanzania~3.jpg

FB_IMG_16755156558181220.jpg

FB_IMG_16728517915595809.jpg

FB_IMG_16692513695829666.jpg

maxresdefault(8).jpg
 
Kanda ya ziwa ina export asilimia 90 ya dhahabu nchini..Kwa hyo kwenye trillion 6.5 ,,trilion 5.9 zinatoka Kanda ya ziwa ....
Kanda ya ziwa ina export asilimia 95 ya samaki nchini kwenye bilion 388 ,,bilion 300 zinatoka Kanda ya ziwa ..in addition Kanda ya ziwa ina export asilimia 98 ya pamba na asilimia:50 ya kahawA ... source BOT.
20230206_220043.jpg
 
Ndio maana serikali inaogopa sana utawala wa majimbo kwasababu kands ya ziwa ndio inajenga nchi lakini tunazidi kunyonywa kila siku.
Mgodi wa pili, huoni hata aibu, kawadanganye Wagagaigikoko wenzako.
View attachment 2508517
Na bado inakuja Nyanzaga ndio utakuwa mgodi mkubwa kuliko yote Tanzania hii 23.4 km square.....tunaawaambia tena Souther Highland mnapata barabara kwa ufadhili wa dhahabu za LZ
 
Mwaka 2011 hii ilikuwa wilaya moja ya njombe dc kabla mkoa haijaanzishwa kutokana na Kasi ya ukuaji imezaa halmashauri tatu ambazo kutoka halmashauri moja kwenda nyingi ni km 30 ni eneo lenye ukubwa wa km za mraba 8000 plus sawa na wilaya ya mufindi ila ndo eneo lenye watu wengi kimkoa kama laki sita plusView attachment 2509034
View attachment 2509026
View attachment 2509027
View attachment 2509028
View attachment 2509030
View attachment 2509031
Geita utasemaje sasa ,,,vip bariadi nayo
 
Ndio maana serikali inaogopa sana utawala wa majimbo kwasababu kands ya ziwa ndio inajenga nchi lakini tunazidi kunyonywa kila siku.
Ni lini utakuwa na akili Mzee? Yaani GDP ya 12 ndio inajenga Nchi?

Saizi tuu mnaolalamika Njaa si mtakuwa kama Wa Ethiopia kukimbia kwenu? Mtakula dhahabu?
 
Kanda ya ziwa ina export asilimia 90 ya dhahabu nchini..Kwa hyo kwenye trillion 6.5 ,,trilion 5.9 zinatoka Kanda ya ziwa ....
Kanda ya ziwa ina export asilimia 95 ya samaki nchini kwenye bilion 388 ,,bilion 300 zinatoka Kanda ya ziwa ..in addition Kanda ya ziwa ina export asilimia 98 ya pamba na asilimia:50 ya kahawA ... source BOT.View attachment 2509060
Mtakula Madini? Huoni wabunge wenu wanavyolia njaa huko?
 
Geita Gani mzee ya kulinganisha na eneo Hilo ambalo tayali wamegawa halmashauri nne na zipo fire hatari
Geita wilaya imezaa halmashauri 4 ..geita mjini, geita vijijini,nyang'wale na busanda..soon pia kutakuwa halmashauri ya katoro ....
Bariadi wilaya imezaa 4 .itilima , bariadi mjini,bariadi vijijini na imechangia kuzaa wilaya ya busega ....
 
Back
Top Bottom