The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
Acha wehu wewe,onyesha hiyo 40 iliko,weka hapa NambaGDP ipi ya kumi na mbili Kanda ya ziwa ina GDP ya trillion 40 sawa na theluthi Moja ya uchumi wa nchi
Acha wehu wewe,onyesha hiyo 40 iliko,weka hapa NambaGDP ipi ya kumi na mbili Kanda ya ziwa ina GDP ya trillion 40 sawa na theluthi Moja ya uchumi wa nchi
3800 wapi ..kahama Mchele ni 2600 na grade one ni 3000 ....Mwanza ni 2700 Hadi 3000 ...hizo 3800 huko dar na ArushaNapunguzaje wakati mm ni mkulima? Kwanza kwetu bei ni 2700.nyie 3800 Sasa kuleni madini
Jumlisha hapa ...Acha wehu wewe,onyesha hiyo 40 iliko,weka hapa Namba
Usijichoshe weka figure afu jumlisha mwenyeweJumlisha hapa ...View attachment 2509155
Usijichoshe weka figure afu jumlisha mwenyewe
Wewe nyoko aliyechangamka
Mtu mwenye pesa zakeSunk pambana 2025 ukachukue usukani, Mzee wetu umri umekwenda
View attachment 2509245
Kuzaa sio shida jiografia na ukuaji wake ndo tunalo liangalia na mwingiliano mkubwa wa watuGeita wilaya imezaa halmashauri 4 ..geita mjini, geita vijijini,nyang'wale na busanda..soon pia kutakuwa halmashauri ya katoro ....
Bariadi wilaya imezaa 4 .itilima , bariadi mjini,bariadi vijijini na imechangia kuzaa wilaya ya busega ....
Rafik hata hueleweki ..Ukuaji Gani unaouzungumzia.,sijui geografia imefanya nini .kiufupi tu hoja yako ishapanguliwa tafuta nyingine.Kuzaa sio shida jiografia na ukuaji wake ndo tunalo liangalia na mwingiliano mkubwa wa watu


Kanda ya ziwa ina gdp ya ngapi? Na hizo dhahabu na resources nyingine zinaochangia sana ata uchumi wa dar, kwa mfano kampuni kubwa za dhahabu zinafungua ofisi zao Dar, mapato na yote yanahesabika huko dar.......Ni lini utakuwa na akili Mzee? Yaani GDP ya 12 ndio inajenga Nchi?
Saizi tuu mnaolalamika Njaa si mtakuwa kama Wa Ethiopia kukimbia kwenu? Mtakula dhahabu?
Malizeni kwanza njaa ndio mje kutusumbua,njaa ni fedheha.Kanda ya ziwa ina gdp ya ngapi? Na hizo dhahabu na resources nyingine zinaochangia sana ata uchumi wa dar, kwa mfano kampuni kubwa za dhahabu zinafungua ofisi zao Dar, mapato na yote yanahesabika huko dar.......
Hebu angalia hapo utajua naongea Nini HiYo tunavo sema organised halmashauri haziachani umbali mkubwa mfano mkoa wa mwanza au dsm sio halmashauri moja unaenda zaidi ya km 80Rafik hata hueleweki ..Ukuaji Gani unaouzungumzia.,sijui geografia imefanya nini .kiufupi tu hoja yako ishapanguliwa tafuta nyingine.![]()
![]()
Rafik hata hueleweki ..Ukuaji Gani unaouzungumzia.,sijui geografia imefanya nini .kiufupi tu hoja yako ishapanguliwa tafuta nyingine.![]()
Ujue sikuelew nin kimekuonesha distance ya halmashauri to halmashauri za geita ni 80 km.Hebu angalia hapo utajua naongea Nini HiYo tunavo sema organised halmashauri haziachani umbali mkubwa mfano mkoa wa mwanza au dsm sio halmashauri moja unaenda zaidi ya km 80 View attachment 2509596View attachment 2509598View attachment 2509599
😀😀😀😀😀😀Anajaribu kucheza na akili yako.Ujue sikuelew nin kimekuonesha distance ya halmashauri to halmashauri za geita ni 80 km.
Unapotoa maelezo data unazoattach lazima ziwe fair na facts based ...map ya geita umetumia yenye scale tofauti na map yako ya njombe.....nikuambie Kwa taarifa yako halmashauri zote za mkoa wa geita ukiacha chato ziko within 60 km .......Tena ukitaka kujua ni maeneo gani yenye mwingiliano wa watu katizame populationHebu angalia hapo utajua naongea Nini HiYo tunavo sema organised halmashauri haziachani umbali mkubwa mfano mkoa wa mwanza au dsm sio halmashauri moja unaenda zaidi ya km 80 View attachment 2509596View attachment 2509598View attachment 2509599
Huo si mgawanyo wa tarafa za wilaya ya dodomaMfano mwingine angalia Hilo jiji la dodoma lilivyo gawanywa hapo badae hizo zone zinakuwa manispaa afu mtu unakuja na point nyepesi et geita na bariadiView attachment 2509661
View attachment 2509659




..HIV unajua vigezo vya manispaa wew au unaongea tu