Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,310
- 5,968
Wew unayejua maana ya VIP ...hiyo achimwene yako inaizidi nini kisesa .... underrate yako Kwa mwanza ndio imekuponza watu wa mwanza hawapendi sifa ndio maana huwezi ona vitu vyao .ila mambo Yao sio haba . .Wacha kuleta porojo,unajua hata maana ya VIP wewe Hadi ulete hayo mabati chakavu ya Kisesa na sijui Libanika?
Ona wenzako wanaoujua ukweli wanavyoongea hapa
Kisesa express




