The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
Kwenye mambo ya shule huko tulishavuka kitambo Sasa hivi tuko huku 👇
Kwenye mambo ya shule huko tulishavuka kitambo Sasa hivi tuko huku 👇
Njombe gorofa zipo za kutosha ila mafinga bado labda vituo vya mafuta ndo vina vigorofa kama vitano ila uwingi wa visima makambako ndo inavyo vingi zaidiKwenye mambo ya shule huko tulishavuka kitambo Sasa hivi tuko huku 👇View attachment 2506770View attachment 2506771View attachment 2506772View attachment 2506773View attachment 2506774View attachment 2506775
Tunaomba Mgogoro wa Russia na Wazungu uendelee Kwa miaka 3 zaidi tutakuwa tumevuna pesa ndefu sana.Kampuni la max coal ludewa kupitia makaa ya mawe litazalisha mafuta na gas maana dissel na petrol na kazi inaendelea pia yanatumika kuutengeneza na mbolea
View attachment 2506837View attachment 2506838
We kweli hujielewi. ...VIP ya happy national ndo haikuwepo ...ila semi luxury zilikuwepoKwa Sasa nimeona Kampuni zimeongezeka Kipande hiyo ila ulikuwa una tu fix kumbe Happy Nation haikuwepo huko
Ila Bado sana kufikia kuwa na Luxury za kuzidi kama za Mbeya View attachment 2506745View attachment 2506746View attachment 2506747View attachment 2506748View attachment 2506749View attachment 2506750View attachment 2506751View attachment 2506752



Naona mwanza imewapiga 5:0 kwenye mabus 


We kweli hujielewi. ...VIP ya happy national ndo haikuwepo ...ila semi luxury zilikuwepo
Naona mwanza imewapiga 5:0 kwenye mabus
![]()
Hizo kumi ziko wapi .. tofauti na NBS ,pamoja SAULI ....by the way mwanza Ina kampuni 17 za usafiri wa kwenda dar ...na zote ni semi luxury..na VIP ,...Nyie ndio kwanza mnaanza kupata VIP tena mpaka Sasa kampuni ni hizo 2 tuu ya Ally's na Hawa Happy Nation kama watakuja..
Mbeya tuna VIP kibao za Dar siku nyingi zaidi ya kampuni 10..
Sasa hivi nimekuta Kuna VIP ya Mwanza Ile Isamilo VIP ya Tanga inaitwa Mbeya City express,Mabasi mazuri kama Dreamliners.
Sas isamilo VIP inahesabiwa mwanza au mbeya .Nyie ndio kwanza mnaanza kupata VIP tena mpaka Sasa kampuni ni hizo 2 tuu ya Ally's na Hawa Happy Nation kama watakuja..
Mbeya tuna VIP kibao za Dar siku nyingi zaidi ya kampuni 10..
Sasa hivi nimekuta Kuna VIP ya Mwanza Ile Isamilo VIP ya Tanga inaitwa Mbeya City express,Mabasi mazuri kama Dreamliners.




🤣🤣🤣🤣🤣 NBS?Hizo kumi ziko wapi .. tofauti na NBS ,pamoja SAULI ....by the way mwanza Ina kampuni 17 za usafiri wa kwenda dar ...na zote ni semi luxury..na VIP ,...
Ko zimeisha auNBS?
VIP Class hizi hapa
Achimwene,
Sauli,
ABC Upper Class,
Master Lux,
New Force/Golden Deer
Imani Plus,
Al Saedy.



Kote koteSas isamilo VIP inahesabiwa mwanza au mbeya .![]()
Wacha kuleta porojo,unajua hata maana ya VIP wewe Hadi ulete hayo mabati chakavu ya Kisesa na sijui Libanika? VIP ni Ally's tuu hizo zingine ni Luxury standards.Ko zimeisha au
Libanika
Allys
New best line
travel partner
Happy national (soon)
isamilo Express
Kisesa express
Hizi zote ni VIP NA VVIP
hivi mbeya Kuna VVIP hata Moja kweli kama hili dubwanaView attachment 2506977View attachment 2506978