The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
Dogo huna mtiririko mzuri wa maongezi Yako,utakuwa una tezi dume kwenye ubongo ππππππ Fala wewe, ninuke mdomo kama wewe kiboga
Dogo huna mtiririko mzuri wa maongezi Yako,utakuwa una tezi dume kwenye ubongo ππππππ Fala wewe, ninuke mdomo kama wewe kiboga
Una maneno ya kukera na kuudhi sana bwege sana wewe mmmkπππππππ yani Mwanza hii izidiwe na miji yakipagazi inayoishi zama za ujima.Arusha na Dom zimewanyea,mtamtambishia nani xaidi ya Mbeya?
Hicho ndio kiwanda kikubwa? ππππKiwanda kikubwa cha chuma kutoka wilaya ya magu lakini hatulingi kama sunk na mbeya yake
SAS njaa gani wakati kuna surplus.Saizi mnapewa Msaada wa chakula Cha njaa huko![]()

Ni pakiboyaWewe unaonaje?
Kwa Arusha mtaongea nini? Per Capita income imewazidi,pesa za TRA imewazidi,magorofa imewazidi, majengo marefu, Mahoteli nk imewawapiga chini Sasa nyie mnaizidi nini Arusha?Una maneno ya kukera na kuudhi sana bwege sana wewe mmmkπππππππ yani Mwanza hii izidiwe na miji yakipagazi inayoishi zama za ujima.
Surplus eti?SAS njaa gani wakati kuna surplus.![]()
Surplus au siyo? πππSAS njaa gani wakati kuna surplus.![]()
timesmajira.co.tz
Wee bata unajua tofauti ya msaada na bei nafuu.Surplus eti?
Surplus au siyo?
Msaada wa chakula shida njaa Kali
![]()
Mbunge Kishimba aipongeza Serikali kutoa Mahindi ya chakula Kwa Bei nafuu Kwa wananchi wake - Timesmajira
Na David John, TimesMajira Online MBUNGE wa Jimbo la Kahama Mjini Jumanne Kishimba amesema kuwa...timesmajira.co.tz





UyoleNi pakiboya
Excuses as usual,hiyo bei nafuu Kwa nini ipelekwe huko kwenu tuu kama sio njaa? ππππWee bata unajua tofauti ya msaada na bei nafuu.
Hiv southern highlands ndo akili zenu ziko hiv au mwehu ni wew mwenyew.
Mbona pabaya panafanana na kibondo kigoma.
Picha ya zamaniMbona pabaya panafanana na kibondo kigoma.
Acha kukalili mla maparachich wewExcuses as usual,hiyo bei nafuu Kwa nini ipelekwe huko kwenu tuu kama sio njaa?![]()


shida ya kula mapalachichi yasiokomaa ndo hii. Unadhani wanatoa wapi Sasa? Kinaletwa huko kwenu kwenye njaa Kali sio kwetu sie ndio wazalishaji..Acha kukalili mla maparachich wewshida ya kula mapalachichi yasiokomaa ndo hii.
Juzi bashe kasema serikali itatoa chakula ili kupunguza bei ya chakula sokon ,kwa akili zako zilizopo karibu na mkundustan unajua chakula hutolewa kama msaada pekee.
Hushangai kiwanda cha cement kuwa Mbeya, halafu Mbeya yenyewe imejaa nyumba za udongoHii kiboko yaani Kagera yenye kiwanda Cha Sukari is at the bottom harafu nyie maskini wa Geita ndio mnalima sana miwa ππππ.
Interesting
Nyumba za udongo za Mbeya ni cement tosha ndio maana materials ya cement Yako hapo hapo Mbeya.Hushangai kiwanda cha cement kuwa Mbeya, halafu Mbeya yenyewe imejaa nyumba za udongo



. Okay kapige ulete picha mpya. Tumekupa masaa 72 kwa upendeleo
Kajifunze tofauti ya msaada na bei nafuu ndo uje tujadili bata wewUnadhani wanatoa wapi Sasa? Kinaletwa huko kwenu kwenye njaa Kali sio kwetu sie ndio wazalishaji..
Yule bwege mwenzio si alikuwa anakuja na takwimu mwambie vipi tena mnapokea Msaada wa njaa?.
Mbunge wenu anashukuru kweli kweliView attachment 2493246



.Kwani hujui wafugaji wa kanda ya ziwa wametapakaa nchi nzimaKumbe Manyara,Dom,Arusha inawapekea moto kwenye ufugaji? Huwa tunaambiwa Mwanza ,Shinyanga na Geita ndio mnafuga sana kumbe ni fix ππππ