Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Kiwanda kikubwa cha chuma kutoka wilaya ya magu lakini hatulingi kama sunk na mbeya yake
Hicho ndio kiwanda kikubwa? 😁😁😁😁

Afu
IMG_20230121_120054_753.jpg
Jifunze kuweka picha
 
Una maneno ya kukera na kuudhi sana bwege sana wewe mmmkπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ yani Mwanza hii izidiwe na miji yakipagazi inayoishi zama za ujima.
Kwa Arusha mtaongea nini? Per Capita income imewazidi,pesa za TRA imewazidi,magorofa imewazidi, majengo marefu, Mahoteli nk imewawapiga chini Sasa nyie mnaizidi nini Arusha?
 
Excuses as usual,hiyo bei nafuu Kwa nini ipelekwe huko kwenu tuu kama sio njaa?
Acha kukalili mla maparachich wew shida ya kula mapalachichi yasiokomaa ndo hii.

Juzi bashe kasema serikali itatoa chakula ili kupunguza bei ya chakula sokon ,kwa akili zako zilizopo karibu na mkundustan unajua chakula hutolewa kama msaada pekee.
 
Acha kukalili mla maparachich wew shida ya kula mapalachichi yasiokomaa ndo hii.

Juzi bashe kasema serikali itatoa chakula ili kupunguza bei ya chakula sokon ,kwa akili zako zilizopo karibu na mkundustan unajua chakula hutolewa kama msaada pekee.
Unadhani wanatoa wapi Sasa? Kinaletwa huko kwenu kwenye njaa Kali sio kwetu sie ndio wazalishaji..

Yule bwege mwenzio si alikuwa anakuja na takwimu mwambie vipi tena mnapokea Msaada wa njaa? 🀣🀣🀣🀣.

Mbunge wenu anashukuru kweli kweli πŸ‘‡
Screenshot_20230123-201746.jpg
 
Back
Top Bottom